Mlimani City walikuwa wanajiamini na nini hadi kumgomea Magufuli hivi? Inamilikiwa na nani?

Mlimani City walikuwa wanajiamini na nini hadi kumgomea Magufuli hivi? Inamilikiwa na nani?

Wewe ndiye ulimchanja?
Kwani wewe ndio uliyemuambukiza hiyo corona au wewe ni nani hadi ndio tukubali ulichosema kuwa ndio kweli?
Elewa kwamba Magufuli alishanja kisirisiri hivyo hauwezi kuja kudai kafa na corona.
 
Kwa udikteta na ushenzi ule unafikiri hilo lengo lingefikiwa? Huwezi kuangusha mbuyu kama unakata mgomba.
Wakati ccm wanavuruga huo mchakato wa katiba mpya rais alikuwa ni Kikwete,na ipo wazi kuwa ccm hawataki katiba mpya sasa hapo Dikteta unambebesha tu lawama. Samia mwenyewe anasema kelele za katiba mpya ni za mitandaoni tu.
 
Ukiwa msafi kwenye biashara zako, hakuna makandokando lazima ujiamini.
Wengine walikuwa wanazijua weak spot zao. Wangekomaa wangepigwa kwenye Achilles heels zao.

Pia sehemu kama hotels ni rahisi kukutwa na makosa ya uchafuzi wa mazingira, kanuni za afya, sheria za kodi na uhamiaji kwa wafanyakazi na wageni. Mlimani City wamiliki wa biashara ya miundombinu ya kutolea huduma siyo watoa huduma hivyo ngumu kukutwa na makosa hayo niliyotaja.
 
Dua za kuiondoa ccm chanzo cha matatizo yote mbona hajawahi kujibu? Unaweza kueleza kwanini?
Wewe unanipangia cha kumuomba Mungu.?? Mm so chadema, cuf wala ccm mm ni mtanzania sawa. Sina chama. Hatujuani hivyo tusielezeane ambayo hatujuani.
 
Wewe unanipangia cha kumuomba Mungu.?? Mm so chadema, cuf wala ccm mm ni mtanzania sawa. Sina chama. Hatujuani hivyo tusielezeane ambayo hatujuani.
Kwani huyo uliyemuomba ni wa peke yako tuseme kwamba ni wewe tu ukimuomba ndio anakujibu ila wale wakimuomba hajibu? Acheni kumuhusisha Mungu kwa mambo yenu ya kipuuzi, hapo ulipo si ajabu una matatizo hadi kwenye nyayo ila hujamuomba Mungu akaziondoa halafu et ukamuombe Mungu amuondoe mtu duniani!


Miaka yote ccm imekuwa ikilaaniwa na kuombewa iondoke na huko ccm ndipo alipotoka Magufuli na kama atatokea Magufuli mwengine basi atatokea huko huko ccm maana ndio kajimilikisha nchi, ila hadi leo dua hazijibiwi wala laana haziwafikii sasa wewe umeona mtu kafariki unakuja na upuuzi wa kwamba et ulimuomba Mungu.
 
Kwani huyo uliyemuomba ni wa peke yako tuseme kwamba ni wewe tu ukimuomba ndio anakujibu ila wale wakimuomba hajibu? Acheni kumuhusisha Mungu kwa mambo yenu ya kipuuzi, hapo ulipo si ajabu una matatizo hadi kwenye nyayo ila hujamuomba Mungu akaziondoa halafu et ukamuombe Mungu amuondoe mtu duniani!


Miaka yote ccm imekuwa ikilaaniwa na kuombewa iondoke na huko ccm ndipo alipotoka Magufuli na kama atatokea Magufuli mwengine basi atatokea huko huko ccm maana ndio kajimilikisha nchi, ila hadi leo dua hazijibiwi wala laana haziwafikii sasa wewe umeona mtu kafariki unakuja na upuuzi wa kwamba et ulimuomba Mungu.
Ndo Mungu katupa ahueni maana tuliteseka
 
Anaandika Boniface Jacob ambaye alikuwa Meya wa Ubungo na Mjumbe wa Kamati Kuu Chadema, aisee inaonekana wafanyabishara wote wa ndani na wa kigeni walikuwa wakimuogopa Magufuli isipokuwa mmiliki wa Mlimani City kama anavyoandika Boniface Jacob hapa
================

ZAMA ZILE ZA GIZA kumbi nyingi sana Dar es Salaam ziligoma Kupokea Pesa za Chadema Kwa ajili ya Kukodi Kumbi za Kufanyia mikutano ya Kamati kuu 2016 Kuelekea Operation Ukuta Giraffe Hotel wao Katikati ya Kikao Walifuatwa na Magari ya Polisi, Wakaturudishia pesa zetu tuondoke

Basi tukavunja Kikao wakiwa wameshapika Chakula cha Wajumbe na Break fast, Ila wakarudisha pesa zote Tiffany Diamond, Wao Siku ya Kikao cha Kamati kuu,Waligoma Kufungua Ukumbi Kufuatia Vitisho walivyo pokea kutoka Serikalini, Wakaturudishia pesa zetu, tukatafuta Kumbi Nyingine

2017 Double Tree Hotel wao Walipokea pesa za Chadema Kwa ajili ya Kikao cha Kamati Kuu Siku 3 ila Baada tuh ya Kikao cha Siku ya Kwanza Kesho yake wakaomba tusi rudi tena pale Hotelini Kwao
Kufuatia Vitisho walivyopokea kutoka Serikalini

Siku Moja Week end baada ya Vikao pia tukaenda Hotel Moja Masaki Kupumzika na Kupata Chakula na Kinywaji Wao Wahudumu Walikatazwa kabisa Kuja kutusikiliza Mezani Kwetu,Tulipo kuwa wakali Meneja alituambia Maboss zake Wahindi Wametuona tukiwa tunaingia Wameogopa sana Ukaondoka

Wamiliki wa Kumbi moja tuh ya Mlimani City hadi Leo hatujui kwanini Walikuwa wanajiamini sana Mara zote Walipokea pesa na Wakatupatia Ukumbi Chadema,Serikali ilipofika kuwatisha Walikuwa Wanatoa akaunti namba za Benki,Serikali iweke pesa zote za Kuwa rudisha Chadema

Mwaka 2019 Ukumbi Wa Mlimani City pakiwa pamepambwa na bendera za Chadema,Serikali Walifika tena Kuwatisha ili tunyimwe Ukumbi, Jamaa wa Katoa Akaunti ya Benki Waingize pesa ili wao wavunje Mkataba na Chadema Kwahasira Serikali ilirudi Mida ya Saa 5 Usiku ikiwa na Polisi wengi

Polisi wakazingira Ukumbi Mlimani City,Usiku Ule Wajumbe wa Mkutano Mkuu waliokuwa Dar es Salaam tukahamasishana Kuja Mlimani City Wanachadema Walipojaa,Polisi Walitoka nje ya eneo la ukumbi kwahasira walipiga Mabomu wakaondoa Bendera zote za Barabarani pamoja Mgambo wa Jiji

Kwa Mabomu yale nilifikiri sasa Wamiliki wa Ukumbi Wa Mlimani City Wataingia Uoga, Siku Nyingine hatutopewa tena Ukumbi Tulienda tena 2020 kukakodi Ukumbi tulijua watagomea, Walaah hata hawakuuliza Maswali, Walipokea pesa wa Katoa Ukumbi, Tukampitisha Lissu kama Mgombea Urais

Nimeitoa TwitterView attachment 2252605
Nyie mlikuwa mnatoa wapi pesa kama sio pesa za mabeberu hizo kutoka uingereza? Hatutaki puppets, hata huyu aliyevagaa uRais sina imani nae kwa waarabu
 
Hahaa, naona umefura kwa hasira unaishia kutukana tu, ila ndio hivyo yule hayawani wenu hayupo tena, nchi inasonga mbele vizuri

Halafu ubunge mbona sio kitu kikubwa kivile? Au kama haupo interested na nafasi za kisiasa huwezi kuona maslahi ya taifa? Kweli wewe msukule

Kama ume mind sana fuata ule ushauri wa Zitto... Chato bado ina eneo kubwa tu la kuzikia
hayawani bado yuko unamwita baba.

maslahi ya taifa huyajui wewe tuliza kalio uelekezwe,anayejua nini maana ya maslahi ya taifa hawezi kumbeza jpm hata siku moja.
 
Kwani wewe ndio uliyemuambukiza hiyo corona au wewe ni nani hadi ndio tukubali ulichosema kuwa ndio kweli?
Elewa kwamba Magufuli alishanja kisirisiri hivyo hauwezi kuja kudai kafa na corona.
Wewe unataka niamini kuwa kachanja kwa sababu wewe umesema? Wacha hizo
 
Wewe unataka niamini kuwa kachanja kwa sababu wewe umesema? Wacha hizo
Kwani wewe unafanya nini hapa umeonesha ushahidi kuthibitisha kifo cha Jiwe ni cha corona au unasema tu kuwa kafa kwa corona na unataka tukuamini?
Kama unaona nachosema mimi sio kweli basi wewe njoo na uthibitisho kwa unachosema wewe.
 
Nyie mlikuwa mnatoa wapi pesa kama sio pesa za mabeberu hizo kutoka uingereza? Hatutaki puppets, hata huyu aliyevagaa uRais sina imani nae kwa waarabu
Kumbe, na CCM na serikali inapopewa fedha na mabeberu kwani na wao vipi?
 
Back
Top Bottom