Salary Slip
Platinum Member
- Apr 3, 2012
- 49,390
- 152,301
Bora tu kaondoka yule bwana alikuwa dhalimu sana.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Legacy nduguMbona kama umepanik mkuu?
..Jiwe alikuwa na sifa ya ufuatiliaji na kuchukua maamuzi ya haraka.
..Wazungu wanaita watu wenye tabia za uongozi kama za Jiwe kuwa ni "micro manager."
..Jiwe alikuwa anadhibiti kila mtu aliye chini yake, na alidhibiti kila kitu.
..Katika mazingira hayo kulipotokea jambo baya, halafu hatua hazikuchukuliwa, au zikachelewa, basi watu waliamini Jiwe ameidhinisha.
..Kwa mfano, chukulia usumbufu waliokuwa wakiupata viongozi wa vyama vya upinzani. Mambo hayo yaliendelea kwa muda mrefu bila wahusika kuchukuliwa hatua.
..Kwasababu Jiwe alikuwa ni kiongozi anayechukua hatua za haraka kukomesha mambo asiyoyapenda, na kwasababu usumbufu kwa vyama vya upinzani uliendelea kwa muda mrefu, basi watu wakaamini kwamba Jiwe alikuwa amebariki uovu huo.
Issue sio yule magufuli..issue ni ujinga wa watanzania.khali ilivyokuwa kipindi cha yule muuaji inawwza ikajirudia tena anytime soon..kwa sababu factors zilizochangia muuaji yule kufanya alivyofanya bado zipo hazijabadilika ambazo ni katiba ya kipumbavu na watanzania wwnye akili za mbuni..MUNGU alituepushana mtu yule..akatupa mda tujifunzena kurekebisha..next time hataingilia tena..na itakuwa mbaya kuliko mwanzo..
Alikua mjinga mwandamizi,alifikiri thamani ya kufuta demokrasia ni mchezo??size huko,mfyuuAndaaa makalio vizuri…Kichapo kipo palepale kitaendelea kuanzia 2025…lazma bakora zitembee mpaka akili ziamke…JPM aliachia bado mapema sana….akili hazikunolewa vyakutosha…
Hili nalo neno mujarab !!Kwahiyo kwa mfano sasa hivi wapinzani bado wanazuiliwa kufanya mikutano yao ila ccm wanafanya, je ndio tutasema hili linaendelea kwa sababu Samia hafuatilii kila jambo hivyo hajui hili na hajalibariki? Kuna mambo mengine anayafanya mwenyewe Samia ila bado lawama zinaenda kwa washauri kwamba kashauriwa vibaya ila Magufuli haikuwa hivyo.
Kichapo kama anachopewa Sabaya?Andaaa makalio vizuri…Kichapo kipo palepale kitaendelea kuanzia 2025…lazma bakora zitembee mpaka akili ziamke…JPM aliachia bado mapema sana….akili hazikunolewa vyakutosha…
Samia anakosa gani Hadi Sasa ....? Kwani Kuna maiti zimeokotwa kwenye viroba kokobichi .....?Mimi sizungumzii ushamba wake wala maziko yake, nachosema ni kwamba makosa yote yaliyofanyika awamu ya tano alihusishwa nayo Jiwe moja kwa moja ila awamu hii makosa yanayofanyika hahusishwi Samia japokuwa yeye ndio rais kama alivyokuwa Jiwe.
Tatizo hayo yote alikua anayaongea tu na sio kuyatenda. Angeyatenda wala watu wasinge furahi kifo chakeNi sawaa magu alikuwa chiz ila Ni rais mzuri Sana linapokuja swala la maslai ya taifa na raia wake
Ameshasema kuwa inawezekana kuwa yey siyo mwnasias mzuri na ipo siku atakuja mwnasiasa mzuri atawabembeleza nimemuelewa San jpm polea pote
Na lile likichwa sasa na kidevu,sijui fuvu limekaaje huko kuzimuAlikua mjinga mwandamizi,alifikiri thamani ya kufuta demokrasia ni mchezo??size huko,mfyuu
Niiiiileeeeteeeeniiiiii Gwaaaaaajiiiiiiimaaaa 😀Kichapo kama anachopewa Sabaya?
Kwani maiti za kwenye viroba huko koko beach huwa zinahusika moja kwa moja na taasisi ya rais?Samia anakosa gani Hadi Sasa ....? Kwani Kuna maiti zimeokotwa kwenye viroba kokobichi .....?
Utauponza, japo naingiza kichwa tu.Hujui kitu zaidi ya kupiga miti tu
Rip Jpm
Huna marinda wewe choko mwandamiziUtauponza, japo naingiza kichwa tu.
Elimu yako kama imezidi sana darasa la saba,hapo anayesemwa ni marehemu jpm ,hao mlimani city wanasifiwa,vitu vidogo hivi unashindwaje kuelewa
Kwisha habari yako.Sina marinda mimi choko mwandamizi