Mlimani City walikuwa wanajiamini na nini hadi kumgomea Magufuli hivi? Inamilikiwa na nani?

Mlimani City walikuwa wanajiamini na nini hadi kumgomea Magufuli hivi? Inamilikiwa na nani?

..Jiwe alikuwa na sifa ya ufuatiliaji na kuchukua maamuzi ya haraka.

..Wazungu wanaita watu wenye tabia za uongozi kama za Jiwe kuwa ni "micro manager."

..Jiwe alikuwa anadhibiti kila mtu aliye chini yake, na alidhibiti kila kitu.

..Katika mazingira hayo kulipotokea jambo baya, halafu hatua hazikuchukuliwa, au zikachelewa, basi watu waliamini Jiwe ameidhinisha.

..Kwa mfano, chukulia usumbufu waliokuwa wakiupata viongozi wa vyama vya upinzani. Mambo hayo yaliendelea kwa muda mrefu bila wahusika kuchukuliwa hatua.

..Kwasababu Jiwe alikuwa ni kiongozi anayechukua hatua za haraka kukomesha mambo asiyoyapenda, na kwasababu usumbufu kwa vyama vya upinzani uliendelea kwa muda mrefu, basi watu wakaamini kwamba Jiwe alikuwa amebariki uovu huo.
Kwahiyo kwa mfano sasa hivi wapinzani bado wanazuiliwa kufanya mikutano yao ila ccm wanafanya, je ndio tutasema hili linaendelea kwa sababu Samia hafuatilii kila jambo hivyo hajui hili na hajalibariki? Kuna mambo mengine anayafanya mwenyewe Samia ila bado lawama zinaenda kwa washauri kwamba kashauriwa vibaya ila Magufuli haikuwa hivyo.
 
Wanasiasa wanajuana, wanatuchanganya tu raia, siasa za Chadema ni za wachumia tumbo, wanatingishaga tu kibiriti wapate maslahi yao, uzuri walimkuta Ngosha acheki na Kima, uso wa mbuzi, Mbowe ni mtu wa maslahi,mbwa Koko, yupo pale kufanikisha deals zake, Ngosha alikuwa anajua kuwa Mbowe ni Mwanasiasa uchwala.

Sent from my WAS-TL10 using JamiiForums mobile app
wengi halijui hilo wanabaki kua mashabiki maandazi tu
 
Tulia ww muumini wa shetani, ww ndio unatakiwa ukubaliane na maisha mapya maana mumeo yuko jehanamu.
kwamba mnakura raha sasa utawala huu,ila deap down mnaliwa na raha.
 
Kwahiyo kwa mfano sasa hivi wapinzani bado wanazuiliwa kufanya mikutano yao ila ccm wanafanya, je ndio tutasema hili linaendelea kwa sababu Samia hafuatilii kila jambo hivyo hajui hili na hajalibariki? Kuna mambo mengine anayafanya mwenyewe Samia ila bado lawama zinaenda kwa washauri kwamba kashauriwa vibaya ila Magufuli haikuwa hivyo.

..Jpm pia alitoa kauli kwamba anataka kuufuta upinzani nchini.

..baada ya hapo tukaanza kuona wapinzani wanapata taabu toka kwa vyombo vya dola.

..sasa hapo kuna maswali mawili. Je, vyombo vya dola vilikuwa vinafanyia kazi kauli ya Jpm? Au, vyombo vya dola vilikuwa vinatekeleza majukumu yake ya kawaida.

..Pia kuna kauli Jpm aliitoa ya kumuita Lissu msaliti anayeongea na kutafuta taarifa toka kwa Deo Mwanyika [ sasa hivi mbunge wa Ccm]wa Barrick. Na akaweka msisitizo wasaliti wakati wa vita hawapaswi ku-survive.

..Baada ya shambulizi dhidi ya Lissu kuna maswali ambayo inabidi yaulizwe. Je, shambulizi lile lilitokana na kauli ya Jpm kumuita msaliti? Au shambulizi lile lilifanywa na watu tofauti kwa malengo wanayoyajua wenyewe?

..Ssh yeye ametoa kauli kwamba anataka kuboresha demokrasia nchini. Pia amesema yuko tayari kukosolewa, lakini kwa " heshima. " Zaidi Ssh amekutana na viongozi wa vyama vya upinzani.

..Matendo hayo yanawapiga ganzi wale ambao wangependa kumlaumu kwa muendelezo wa zuio la mikutano ya hadhara. Badala yake lawama zinaelekezwa kwa wasaidizi kwamba wanakwenda kinyume na malengo ya Ssh kuhusu demokrasia.

..Siku Ssh akitoa kauli hasi dhidi ya wapinzani. Na kauli hiyo ikafuatiwa na matendo ya kikatili au usumbufu dhidi yao, naamini lawama zitakwenda moja kwa moja kwa Ssh.
 
Chadema hawana shukran yaan mmetendewa mema bado tu mnahoji kwanini mmetendewa mema
 
Kinachonisikitisha watu wako busy kumsema magufuli hawajui nyani washavamia shamba tutavuna mabua,si mmeona leo budget ya wizara ya fella tirion 13 matumizi ya kawaida trillion moja ndo maendeleo
 
Bila kujali madaraka au cheo chako, kama ulizaliwa na kutoka kwenye uchi wa mwanake utakufa tu!
NA KUONDOKA NI BILA KITU.

NAKUMBUSHA TU SIKO KWAMBA HUJUI
 
Anaandika Boniface Jacob ambaye alikuwa Meya wa Ubungo na Mjumbe wa Kamati Kuu Chadema, aisee inaonekana wafanyabishara wote wa ndani na wa kigeni walikuwa wakimuogopa Magufuli isipokuwa mmiliki wa Mlimani City kama anavyoandika Boniface Jacob hapa
================

ZAMA ZILE ZA GIZA kumbi nyingi sana Dar es Salaam ziligoma Kupokea Pesa za Chadema Kwa ajili ya Kukodi Kumbi za Kufanyia mikutano ya Kamati kuu 2016 Kuelekea Operation Ukuta Giraffe Hotel wao Katikati ya Kikao Walifuatwa na Magari ya Polisi, Wakaturudishia pesa zetu tuondoke

Basi tukavunja Kikao wakiwa wameshapika Chakula cha Wajumbe na Break fast, Ila wakarudisha pesa zote Tiffany Diamond, Wao Siku ya Kikao cha Kamati kuu,Waligoma Kufungua Ukumbi Kufuatia Vitisho walivyo pokea kutoka Serikalini, Wakaturudishia pesa zetu, tukatafuta Kumbi Nyingine

2017 Double Tree Hotel wao Walipokea pesa za Chadema Kwa ajili ya Kikao cha Kamati Kuu Siku 3 ila Baada tuh ya Kikao cha Siku ya Kwanza Kesho yake wakaomba tusi rudi tena pale Hotelini Kwao
Kufuatia Vitisho walivyopokea kutoka Serikalini

Siku Moja Week end baada ya Vikao pia tukaenda Hotel Moja Masaki Kupumzika na Kupata Chakula na Kinywaji Wao Wahudumu Walikatazwa kabisa Kuja kutusikiliza Mezani Kwetu,Tulipo kuwa wakali Meneja alituambia Maboss zake Wahindi Wametuona tukiwa tunaingia Wameogopa sana Ukaondoka

Wamiliki wa Kumbi moja tuh ya Mlimani City hadi Leo hatujui kwanini Walikuwa wanajiamini sana Mara zote Walipokea pesa na Wakatupatia Ukumbi Chadema,Serikali ilipofika kuwatisha Walikuwa Wanatoa akaunti namba za Benki,Serikali iweke pesa zote za Kuwa rudisha Chadema

Mwaka 2019 Ukumbi Wa Mlimani City pakiwa pamepambwa na bendera za Chadema,Serikali Walifika tena Kuwatisha ili tunyimwe Ukumbi, Jamaa wa Katoa Akaunti ya Benki Waingize pesa ili wao wavunje Mkataba na Chadema Kwahasira Serikali ilirudi Mida ya Saa 5 Usiku ikiwa na Polisi wengi

Polisi wakazingira Ukumbi Mlimani City,Usiku Ule Wajumbe wa Mkutano Mkuu waliokuwa Dar es Salaam tukahamasishana Kuja Mlimani City Wanachadema Walipojaa,Polisi Walitoka nje ya eneo la ukumbi kwahasira walipiga Mabomu wakaondoa Bendera zote za Barabarani pamoja Mgambo wa Jiji

Kwa Mabomu yale nilifikiri sasa Wamiliki wa Ukumbi Wa Mlimani City Wataingia Uoga, Siku Nyingine hatutopewa tena Ukumbi Tulienda tena 2020 kukakodi Ukumbi tulijua watagomea, Walaah hata hawakuuliza Maswali, Walipokea pesa wa Katoa Ukumbi, Tukampitisha Lissu kama Mgombea Urais

Nimeitoa TwitterView attachment 2252605


Hv Chadema hamna ukumbi wa mkutano…pesa zote za walipa kodi mnapeleka wapi
 
..Jpm pia alitoa kauli kwamba anataka kuufuta upinzani nchini.

..baada ya hapo tukaanza kuona wapinzani wanapata taabu toka kwa vyombo vya dola.

..sasa hapo kuna maswali mawili. Je, vyombo vya dola vilikuwa vinafanyia kazi kauli ya Jpm? Au, vyombo vya dola vilikuwa vinatekeleza majukumu yake ya kawaida.

..Pia kuna kauli Jpm aliitoa ya kumuita Lissu msaliti anayeongea na kutafuta taarifa toka kwa Deo Mwanyika [ sasa hivi mbunge wa Ccm]wa Barrick. Na akaweka msisitizo wasaliti wakati wa vita hawapaswi ku-survive.

..Baada ya shambulizi dhidi ya Lissu kuna maswali ambayo inabidi yaulizwe. Je, shambulizi lile lilitokana na kauli ya Jpm kumuita msaliti? Au shambulizi lile lilifanywa na watu tofauti kwa malengo wanayoyajua wenyewe?

..Ssh yeye ametoa kauli kwamba anataka kuboresha demokrasia nchini. Pia amesema yuko tayari kukosolewa, lakini kwa " heshima. " Zaidi Ssh amekutana na viongozi wa vyama vya upinzani.

..Matendo hayo yanawapiga ganzi wale ambao wangependa kumlaumu kwa muendelezo wa zuio la mikutano ya hadhara. Badala yake lawama zinaelekezwa kwa wasaidizi kwamba wanakwenda kinyume na malengo ya Ssh kuhusu demokrasia.

..Siku Ssh akitoa kauli hasi dhidi ya wapinzani. Na kauli hiyo ikafuatiwa na matendo ya kikatili au usumbufu dhidi yao, naamini lawama zitakwenda moja kwa moja kwa Ssh.

Watanzania hatuhitaji demokrasia tunataka maendeleo…ningekuwa Raisi mimi binafsi ningevifuta vyama vyote kwanza….ni jenge nchi…maana hata hicho chama changu chenyewe hakifai business as usual maneno mengi action kidogo…kila mkutano wa chama iwe upinzani iwe tawala ni pesa…ya nini?! Demokrasi demokrasia wakati watu wanakufa kwa kukosa huduma muhimu…

Futilia mbali…ukipiga mahesabu ya pesa za ruzuku zilizotumika vs mafanikio ya hio ruzuku sioni…ni vurugu tu….kelele zisizo na tija…we need a powerful leader ambae hana bla bla yeye ni kujenga nchi kwa resources zote zilizokuwa chini yake…ambae anauwezo wa kupangua destructions bila kusita….maana mapepo yasiotaka maendeleo nchini kwao yapo…wako tayari kuwa na mabilioni kwenye account wakati kijijini kwake watu wanakufa kwa kushindwa kununua dawa..
 
..Jpm pia alitoa kauli kwamba anataka kuufuta upinzani nchini.

..baada ya hapo tukaanza kuona wapinzani wanapata taabu toka kwa vyombo vya dola.

..sasa hapo kuna maswali mawili. Je, vyombo vya dola vilikuwa vinafanyia kazi kauli ya Jpm? Au, vyombo vya dola vilikuwa vinatekeleza majukumu yake ya kawaida.

..Pia kuna kauli Jpm aliitoa ya kumuita Lissu msaliti anayeongea na kutafuta taarifa toka kwa Deo Mwanyika [ sasa hivi mbunge wa Ccm]wa Barrick. Na akaweka msisitizo wasaliti wakati wa vita hawapaswi ku-survive.

..Baada ya shambulizi dhidi ya Lissu kuna maswali ambayo inabidi yaulizwe. Je, shambulizi lile lilitokana na kauli ya Jpm kumuita msaliti? Au shambulizi lile lilifanywa na watu tofauti kwa malengo wanayoyajua wenyewe?

..Ssh yeye ametoa kauli kwamba anataka kuboresha demokrasia nchini. Pia amesema yuko tayari kukosolewa, lakini kwa " heshima. " Zaidi Ssh amekutana na viongozi wa vyama vya upinzani.

..Matendo hayo yanawapiga ganzi wale ambao wangependa kumlaumu kwa muendelezo wa zuio la mikutano ya hadhara. Badala yake lawama zinaelekezwa kwa wasaidizi kwamba wanakwenda kinyume na malengo ya Ssh kuhusu demokrasia.

..Siku Ssh akitoa kauli hasi dhidi ya wapinzani. Na kauli hiyo ikafuatiwa na matendo ya kikatili au usumbufu dhidi yao, naamini lawama zitakwenda moja kwa moja kwa Ssh.
Kama ingekuwa Sasha amelizungumzia hili jambo na kisha tukaona likiendelea hapo ndio kweli tungesema wasaidizi ndio wanaenda kinyume nae ila suala hili Sasha analijua na kuliona ila kakaa kimya na chama chake ndio kinafaidika halafu unataka tuseme hana lawama?
 
Tutamjuaje kiongozi wa hovyo?
1. Tujenga utamaduni wa kuwahoji viongozi.
2.Tujenge utamaduni wa midahalo baina ya wagombea.
3. Vyombo vya habari viwe makini zaidi.

Tutamdhibiti vipi kiongozi wa hovyo?
1. Viwepo vifungu vya kikatiba vinavyodhibiti viongozi.
2.Bunge letu lipewe mamlaka na meno.
3. Wananchi waelimishwe kwamba wao ndio waajiri wa viongozi, and not vice versa.
4. Mamlaka zetu ziwe huru.
5. Madaraka yasilundikwe kwa mtu mmoja.
Huo ndio ukweli mchungu !!
 
Kuna watu siasa haziendani nao wanforce tu.
Jitu kuubwa tumbo kulee linapiga makelele kunyimwa lunch.
Huyo jamaa kila siku ndio mleta vurugu kwenye kila vikao viwe chandema au vingine.
Eti X -Mayor matako ya mbuzi.
Jitu kuubwa akili kama punje ya mchele.
Taguta kazi zingine we we bongenyanya k vant na minyama haisaidii kitu.
Mbona kama umepanik mkuu?
 
Kuna watu siasa haziendani nao wanforce tu.
Jitu kuubwa tumbo kulee linapiga makelele kunyimwa lunch.
Huyo jamaa kila siku ndio mleta vurugu kwenye kila vikao viwe chandema au vingine.
Eti X -Mayor matako ya mbuzi.
Jitu kuubwa akili kama punje ya mchele.
Taguta kazi zingine we we bongenyanya k vant na minyama haisaidii kitu.
Sukuma gang wamejua kuwa hawatakiwi kupewa nafasi yoyote ile tena, hata kuwa wafagizi wa choo cha manispaa sababu ya mtangulizi wao so ndiyo maana mko na hasira sana. Ombeni Russia na Ukraine vita yao watumie nyuki ili dunia ianze upya, bila hivyo hamtopata uongozi wowote tena nchi hii kwani Watanzania siyo wajinga. Pole
 
Wanasiasa wanajuana, wanatuchanganya tu raia, siasa za Chadema ni za wachumia tumbo, wanatingishaga tu kibiriti wapate maslahi yao, uzuri walimkuta Ngosha acheki na Kima, uso wa mbuzi, Mbowe ni mtu wa maslahi,mbwa Koko, yupo pale kufanikisha deals zake, Ngosha alikuwa anajua kuwa Mbowe ni Mwanasiasa uchwala.

Sent from my WAS-TL10 using JamiiForums mobile app

Wewe Mwenyewe Mbwa Koko.
 
Anaandika Boniface Jacob ambaye alikuwa Meya wa Ubungo na Mjumbe wa Kamati Kuu Chadema, aisee inaonekana wafanyabishara wote wa ndani na wa kigeni walikuwa wakimuogopa Magufuli isipokuwa mmiliki wa Mlimani City kama anavyoandika Boniface Jacob hapa
================

ZAMA ZILE ZA GIZA kumbi nyingi sana Dar es Salaam ziligoma Kupokea Pesa za Chadema Kwa ajili ya Kukodi Kumbi za Kufanyia mikutano ya Kamati kuu 2016 Kuelekea Operation Ukuta Giraffe Hotel wao Katikati ya Kikao Walifuatwa na Magari ya Polisi, Wakaturudishia pesa zetu tuondoke

Basi tukavunja Kikao wakiwa wameshapika Chakula cha Wajumbe na Break fast, Ila wakarudisha pesa zote Tiffany Diamond, Wao Siku ya Kikao cha Kamati kuu,Waligoma Kufungua Ukumbi Kufuatia Vitisho walivyo pokea kutoka Serikalini, Wakaturudishia pesa zetu, tukatafuta Kumbi Nyingine

2017 Double Tree Hotel wao Walipokea pesa za Chadema Kwa ajili ya Kikao cha Kamati Kuu Siku 3 ila Baada tuh ya Kikao cha Siku ya Kwanza Kesho yake wakaomba tusi rudi tena pale Hotelini Kwao
Kufuatia Vitisho walivyopokea kutoka Serikalini

Siku Moja Week end baada ya Vikao pia tukaenda Hotel Moja Masaki Kupumzika na Kupata Chakula na Kinywaji Wao Wahudumu Walikatazwa kabisa Kuja kutusikiliza Mezani Kwetu,Tulipo kuwa wakali Meneja alituambia Maboss zake Wahindi Wametuona tukiwa tunaingia Wameogopa sana Ukaondoka

Wamiliki wa Kumbi moja tuh ya Mlimani City hadi Leo hatujui kwanini Walikuwa wanajiamini sana Mara zote Walipokea pesa na Wakatupatia Ukumbi Chadema,Serikali ilipofika kuwatisha Walikuwa Wanatoa akaunti namba za Benki,Serikali iweke pesa zote za Kuwa rudisha Chadema

Mwaka 2019 Ukumbi Wa Mlimani City pakiwa pamepambwa na bendera za Chadema,Serikali Walifika tena Kuwatisha ili tunyimwe Ukumbi, Jamaa wa Katoa Akaunti ya Benki Waingize pesa ili wao wavunje Mkataba na Chadema Kwahasira Serikali ilirudi Mida ya Saa 5 Usiku ikiwa na Polisi wengi

Polisi wakazingira Ukumbi Mlimani City,Usiku Ule Wajumbe wa Mkutano Mkuu waliokuwa Dar es Salaam tukahamasishana Kuja Mlimani City Wanachadema Walipojaa,Polisi Walitoka nje ya eneo la ukumbi kwahasira walipiga Mabomu wakaondoa Bendera zote za Barabarani pamoja Mgambo wa Jiji

Kwa Mabomu yale nilifikiri sasa Wamiliki wa Ukumbi Wa Mlimani City Wataingia Uoga, Siku Nyingine hatutopewa tena Ukumbi Tulienda tena 2020 kukakodi Ukumbi tulijua watagomea, Walaah hata hawakuuliza Maswali, Walipokea pesa wa Katoa Ukumbi, Tukampitisha Lissu kama Mgombea Urais

Nimeitoa TwitterView attachment 2252605
Niiiiileeeeteeeeniiiiii Gwaaaaaajiiiiiiimaaaa. " Mkurugenzi nakulipa mshahara na usafiri nakupa halafu unamtangaza mpinzani"
 
Leo yamebaki mafuvu tu utadhani siyo yule aliyejifanya Mungu mtu.
Naanza kuamini na kuelewa Sasa nani yuko nyuma ya shambulio la Lissu kwenye makazi ya viongozi(area D). Ni mtu aliyekuwa na mamlaka makubwa,aliyeamuru hadi walinzi wasiwepo siku hiyo ya tukio na badae akaamuru cctv camera zinyofolewe na aliyeamuru asilipiwe garama za matibabu,na aliyeamuru Lissu afukuzwe ubunge na adhurumiwe stahiki zake.
 
Issue sio yule magufuli..issue ni ujinga wa watanzania.khali ilivyokuwa kipindi cha yule muuaji inawwza ikajirudia tena anytime soon..kwa sababu factors zilizochangia muuaji yule kufanya alivyofanya bado zipo hazijabadilika ambazo ni katiba ya kipumbavu na watanzania wwnye akili za mbuni..MUNGU alituepushana mtu yule..akatupa mda tujifunzena kurekebisha..next time hataingilia tena..na itakuwa mbaya kuliko mwanzo..
 
Back
Top Bottom