SAGAI GALGANO
JF-Expert Member
- Nov 13, 2009
- 47,706
- 69,281
Edit ya kitoto hii naona ndiyo umeijua leoKwisha habari yako.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Edit ya kitoto hii naona ndiyo umeijua leoKwisha habari yako.
Hawawasemi ila wanatafakari jeuri hiyo waliitoa wapi. Wote tunamjua yule mtu alivyokuwa akioperate lakini kweli hakuwagusa. Ilikuwaje????wangewanyima mngewasema.
wamewapa mnawasema tena mkijiuliza nguvu ile ilitoka wapi.... dah..kumbe nao wangewanyima tu..
amekufa, sabaya ndio anafirimbwa sasapamoja na upumbavu wake bado alifanikiwa kukufirimba,na bado una maumivu mpaka saa hizi.
Ina maana wewe pekee ndiyo huna taarifa kuwa jiwe alikuwa anaua raia wake?Kwani maiti za kwenye viroba huko koko beach huwa zinahusika moja kwa moja na taasisi ya rais?
Umeuliza kosa la Samia, kosa moja ni upendeleo wa kuachia hali yenye kufanya chama chake ccm kufanya mikutano ila vyama vya upinzani kuzuiliwa na yeye kukaa kimya kwa maana ameridhia jambo hilo.
ndio maana tunawasikitikia nyinyi wapuuzi maana mnaamini sabaya anafilimbwa kama mlivyofilimbwa nyinyi.amekufa, sabaya ndio anafirimbwa sasa
kwa hiyo mbona mnalia mkitaka aachiwe, asiachiwe tena?..kufirimbwa kwa ukweli zaidi ni kuwekewa sumu ukafa baada ya kujidai kushinda uchaguzi kwa kishindo, ndio yule hayawani alichofanyiwa na wazalendo wa nchi hiindio maana tunawasikitikia nyinyi wapuuzi maana mnaamini sabaya anafilimbwa kama mlivyofilimbwa nyinyi.
kama ni kweli ilibidi kuweka sumu afe tutoe hongera kwa ushindi huo mlioupata,maama kwa kupoteza kwenu ulaji bungeni adhabu pekee mliyoona angestahili ni kufa.kwa hiyo mbona mnalia mkitaka aachiwe, asiachiwe tena?..kufirimbwa kwa ukweli zaidi ni kuwekewa sumu ukafa baada ya kujidai kushinda uchaguzi kwa kishindo, ndio yule hayawani alichofanyiwa na wazalendo wa nchi hii
na nyie wafuasi wake hamna mnachoweza kufanya
Sasa serikali ingewarudishia pesa walizotoa CHADEMA, Mlimani City nao wangewafukuza CHADEMA?Anaandika Boniface Jacob ambaye alikuwa Meya wa Ubungo na Mjumbe wa Kamati Kuu Chadema, aisee inaonekana wafanyabishara wote wa ndani na wa kigeni walikuwa wakimuogopa Magufuli isipokuwa mmiliki wa Mlimani City kama anavyoandika Boniface Jacob hapa
================
ZAMA ZILE ZA GIZA kumbi nyingi sana Dar es Salaam ziligoma Kupokea Pesa za Chadema Kwa ajili ya Kukodi Kumbi za Kufanyia mikutano ya Kamati kuu 2016 Kuelekea Operation Ukuta Giraffe Hotel wao Katikati ya Kikao Walifuatwa na Magari ya Polisi, Wakaturudishia pesa zetu tuondoke
Basi tukavunja Kikao wakiwa wameshapika Chakula cha Wajumbe na Break fast, Ila wakarudisha pesa zote Tiffany Diamond, Wao Siku ya Kikao cha Kamati kuu,Waligoma Kufungua Ukumbi Kufuatia Vitisho walivyo pokea kutoka Serikalini, Wakaturudishia pesa zetu, tukatafuta Kumbi Nyingine
2017 Double Tree Hotel wao Walipokea pesa za Chadema Kwa ajili ya Kikao cha Kamati Kuu Siku 3 ila Baada tuh ya Kikao cha Siku ya Kwanza Kesho yake wakaomba tusi rudi tena pale Hotelini Kwao
Kufuatia Vitisho walivyopokea kutoka Serikalini
Siku Moja Week end baada ya Vikao pia tukaenda Hotel Moja Masaki Kupumzika na Kupata Chakula na Kinywaji Wao Wahudumu Walikatazwa kabisa Kuja kutusikiliza Mezani Kwetu,Tulipo kuwa wakali Meneja alituambia Maboss zake Wahindi Wametuona tukiwa tunaingia Wameogopa sana Ukaondoka
Wamiliki wa Kumbi moja tuh ya Mlimani City hadi Leo hatujui kwanini Walikuwa wanajiamini sana Mara zote Walipokea pesa na Wakatupatia Ukumbi Chadema,Serikali ilipofika kuwatisha Walikuwa Wanatoa akaunti namba za Benki,Serikali iweke pesa zote za Kuwa rudisha Chadema
Mwaka 2019 Ukumbi Wa Mlimani City pakiwa pamepambwa na bendera za Chadema,Serikali Walifika tena Kuwatisha ili tunyimwe Ukumbi, Jamaa wa Katoa Akaunti ya Benki Waingize pesa ili wao wavunje Mkataba na Chadema Kwahasira Serikali ilirudi Mida ya Saa 5 Usiku ikiwa na Polisi wengi
Polisi wakazingira Ukumbi Mlimani City,Usiku Ule Wajumbe wa Mkutano Mkuu waliokuwa Dar es Salaam tukahamasishana Kuja Mlimani City Wanachadema Walipojaa,Polisi Walitoka nje ya eneo la ukumbi kwahasira walipiga Mabomu wakaondoa Bendera zote za Barabarani pamoja Mgambo wa Jiji
Kwa Mabomu yale nilifikiri sasa Wamiliki wa Ukumbi Wa Mlimani City Wataingia Uoga, Siku Nyingine hatutopewa tena Ukumbi Tulienda tena 2020 kukakodi Ukumbi tulijua watagomea, Walaah hata hawakuuliza Maswali, Walipokea pesa wa Katoa Ukumbi, Tukampitisha Lissu kama Mgombea Urais
Nimeitoa TwitterView attachment 2252605
Mungu ndiye aliingilia kati Kwa kulifyekelea mbali hili jinamizi ili nchi ipone.kama ni kweli ilibidi kuweka sumu afe tutoe hongera kwa ushindi huo mlioupata,maama kwa kupoteza kwenu ulaji bungeni adhabu pekee mliyoona angestahili ni kufa.
but let me tell you,Mungu hachelewagi kujibu.ndio maana legacy peke yake imekuwa mbinde kuifuta,kule twitter wanaharakati fulsa wameona nao watie neno mara baada ya kuhakikishiwa kwamba ni kweli nchi ina aman,eti watarejea nyumbani sasa[emoji23][emoji23],hakika nchi hii wajinga ni asset.
kama mbowe aliachiwa,sabaya hawezi kufungwa jiandae kwa makasiriko.
akawatuma mumpe sumu.Mungu ndiye aliingilia kati Kwa kulifyekelea mbali hili jinamizi ili nchi ipone.
Mungu hakai upande wa shetani, hilo ni sawa na dua la kuku hilo..mimi sijawahi kuwa mbunge wala hakuna ulaji wowote aliokatisha kwangu, nazungumzia maslahi ya taifa sio mambo yangu binafsi..Wazalendo wa nchi hii waliona yule hayawani anaiharibu Tanzani wakamalizia mbali, na hapo ndipo nilipoamini nchi hii kweli ina ulinzi, haiwezekani kichaa aharibu nchi huku anaangaliwa tu..Futilia mbali, pumbavvv. Eti legacy, nani anajali kuhusu legacy ya mwendawazimu, labda nyie mazezeta wakekama ni kweli ilibidi kuweka sumu afe tutoe hongera kwa ushindi huo mlioupata,maama kwa kupoteza kwenu ulaji bungeni adhabu pekee mliyoona angestahili ni kufa.
but let me tell you,Mungu hachelewagi kujibu.ndio maana legacy peke yake imekuwa mbinde kuifuta,kule twitter wanaharakati fulsa wameona nao watie neno mara baada ya kuhakikishiwa kwamba ni kweli nchi ina aman,eti watarejea nyumbani sasa😂😂,hakika nchi hii wajinga ni asset.
kama mbowe aliachiwa,sabaya hawezi kufungwa jiandae kwa makasiriko.
kama ni hao mabasha wako unaowaita wazalendo ndio walikaa kwa maslahi yao wakakuhadaa kwamba ni wazalendo usimhusishe Mungu mwenyewezi na huo ufirauni wenu,tinduaneni kwa raha zenu mkimaliza adhabu inakuja.Mungu hakai upande wa shetani, hilo ni sawa na dua la kuku hilo..mimi sijawahi kuwa mbunge wala hakuna ulaji wowote aliokatisha kwangu, nazungumzia maslahi ya taifa sio mambo yangu binafsi..Wazalendo wa nchi hii waliona yule hayawani anaiharibu Tanzani wakamalizia mbali, na hapo ndipo nilipoamini nchi hii kweli ina ulinzi, haiwezekani kichaa aharibu nchi huku anaangaliwa tu..Futilia mbali, pumbavvv. Eti legacy, nani anajali kuhusu legacy ya mwendawazimu, labda nyie mazezeta wake
Taarifa za kumtuhumu hivyo ninazo ila najiuliza hao raia alikuwa anawauwa kwa sababu zipi ni ushirikina kwamba alikuwa anawatoa kafara au hao raia walikuwa ni akina nani wenye uzito wa hadi aagize watafutwe na kuuliwa?Ina maana wewe pekee ndiyo huna taarifa kuwa jiwe alikuwa anaua raia wake?
Corona ndiyo ilifanya finishingakawatuma mumpe sumu.
Sasa nchi imepona nini hii wakati ufisadi bado upo, ccm bado ipo na ndio kitovu cha yote haya na miaka yote kilio kilikuwa ni ccm.Mungu ndiye aliingilia kati Kwa kulifyekelea mbali hili jinamizi ili nchi ipone.
Alikuwa amechanja sasa hiyo corona angempata kvp hadi kusababisha kifo?Corona ndiyo ilifanya finishing
Hahaa, naona umefura kwa hasira unaishia kutukana tu, ila ndio hivyo yule hayawani wenu hayupo tena, nchi inasonga mbele vizurikama ni hao mabasha wako unaowaita wazalendo ndio walikaa kwa maslahi yao wakakuhadaa kwamba ni wazalendo usimhusishe Mungu mwenyewezi na huo ufirauni wenu,tinduaneni kwa raha zenu mkimaliza adhabu inakuja.
mslahi ya taifa unayajua wewe ungeandika huu utumbo wako hapo juu!!!!
hata ubunge tu kupata ishue na uko makalio juu kuimba eti maslahi ya taifa.
legacy huwezi kuiona wewe tutusa,maama unatumwa tu muulize aliyekutuma.
Wewe ndiye ulimchanja?Alikuwa amechanja sasa hiyo corona angempata kvp hadi kusababisha kifo?
Kwa udikteta na ushenzi ule unafikiri hilo lengo lingefikiwa? Huwezi kuangusha mbuyu kama unakata mgomba.Sasa nchi imepona nini hii wakati ufisadi bado upo, ccm bado ipo na ndio kitovu cha yote haya na miaka yote kilio kilikuwa ni ccm.
Nadhani huyo mungu angeingilia kati kwa kuindoa ccm madarakani maana hata sasa hitaji la katiba mpya linazuiliwa na çcm.