Mlimani City walikuwa wanajiamini na nini hadi kumgomea Magufuli hivi? Inamilikiwa na nani?

Mlimani City walikuwa wanajiamini na nini hadi kumgomea Magufuli hivi? Inamilikiwa na nani?

Shetani lazima asemwe muda wote.
unadiriki kuita binaadamu mwenzako shetani kisa alikuzuia usijiuze!!!

hata baada ya kufa kwake bado una sumu rohoni,utakufa mcundu wazi mbwa wewe.
relax move on.
 
unadiriki kuita binaadamu mwenzako shetani kisa alikuzuia usijiuze!!!

hata baada ya kufa kwake bado una sumu rohoni,utakufa mcundu wazi mbwa wewe.
relax move on.
Kumbe wewe alikuruhusu ujiuze, ndiyo maana umeukwaa ukimwi
 
Awamu ya 5 ndiyo awamu mbovu kabisa kulinganisha na awamu zingine,yaani kulikuwa na ubabe wa kijinga sana,enyi NEC ya CCM mjitathmini sana na muwe macho msije mkampitisha Kiongozi mwingine kama yule,aliyeongoza kwa kutumia nguvu ya fitina na mabavu kwa kisingizio cha kujenga nchi.
 
Wewe na ukoo wako ni machoko walioko sokoni ndiyo maana wote mumepata ukimwi
magufuli hakurruhusu biashara haramu wakati wake,angeongeza mwezi tu wa kuishi mngekufa njaa kunguni nyie.

huwezi tegemea kuuza ndogo wamaume utoboe,utaishia kukasirikia watu hata wakiwa maiti kama wewe kiboga.
 
Awamu ya 5 ndiyo awamu mbovu kabisa kulinganisha na awamu zingine,yaani kulikuwa na ubabe wa kijinga sana,enyi NEC ya CCM mjitathmini sana na muwe macho msije mkampitisha Kiongozi mwingine kama yule,aliyeongoza kwa kutumia nguvu ya fitina na mabavu kwa kisingizio cha kujenga nchi.
hii ni kwa mujibu wa fuvu lako mkuu.tumia kwa uhuru kama unavyotumia kiungo kingine kwa biashara.
 
Anaandika Boniface Jacob ambaye alikuwa Meya wa Ubungo na Mjumbe wa Kamati Kuu Chadema, aisee inaonekana wafanyabishara wote wa ndani na wa kigeni walikuwa wakimuogopa Magufuli isipokuwa mmiliki wa Mlimani City kama anavyoandika Boniface Jacob hapa
================

ZAMA ZILE ZA GIZA kumbi nyingi sana Dar es Salaam ziligoma Kupokea Pesa za Chadema Kwa ajili ya Kukodi Kumbi za Kufanyia mikutano ya Kamati kuu 2016 Kuelekea Operation Ukuta Giraffe Hotel wao Katikati ya Kikao Walifuatwa na Magari ya Polisi, Wakaturudishia pesa zetu tuondoke

Basi tukavunja Kikao wakiwa wameshapika Chakula cha Wajumbe na Break fast, Ila wakarudisha pesa zote Tiffany Diamond, Wao Siku ya Kikao cha Kamati kuu,Waligoma Kufungua Ukumbi Kufuatia Vitisho walivyo pokea kutoka Serikalini, Wakaturudishia pesa zetu, tukatafuta Kumbi Nyingine

2017 Double Tree Hotel wao Walipokea pesa za Chadema Kwa ajili ya Kikao cha Kamati Kuu Siku 3 ila Baada tuh ya Kikao cha Siku ya Kwanza Kesho yake wakaomba tusi rudi tena pale Hotelini Kwao
Kufuatia Vitisho walivyopokea kutoka Serikalini

Siku Moja Week end baada ya Vikao pia tukaenda Hotel Moja Masaki Kupumzika na Kupata Chakula na Kinywaji Wao Wahudumu Walikatazwa kabisa Kuja kutusikiliza Mezani Kwetu,Tulipo kuwa wakali Meneja alituambia Maboss zake Wahindi Wametuona tukiwa tunaingia Wameogopa sana Ukaondoka

Wamiliki wa Kumbi moja tuh ya Mlimani City hadi Leo hatujui kwanini Walikuwa wanajiamini sana Mara zote Walipokea pesa na Wakatupatia Ukumbi Chadema,Serikali ilipofika kuwatisha Walikuwa Wanatoa akaunti namba za Benki,Serikali iweke pesa zote za Kuwa rudisha Chadema

Mwaka 2019 Ukumbi Wa Mlimani City pakiwa pamepambwa na bendera za Chadema,Serikali Walifika tena Kuwatisha ili tunyimwe Ukumbi, Jamaa wa Katoa Akaunti ya Benki Waingize pesa ili wao wavunje Mkataba na Chadema Kwahasira Serikali ilirudi Mida ya Saa 5 Usiku ikiwa na Polisi wengi

Polisi wakazingira Ukumbi Mlimani City,Usiku Ule Wajumbe wa Mkutano Mkuu waliokuwa Dar es Salaam tukahamasishana Kuja Mlimani City Wanachadema Walipojaa,Polisi Walitoka nje ya eneo la ukumbi kwahasira walipiga Mabomu wakaondoa Bendera zote za Barabarani pamoja Mgambo wa Jiji

Kwa Mabomu yale nilifikiri sasa Wamiliki wa Ukumbi Wa Mlimani City Wataingia Uoga, Siku Nyingine hatutopewa tena Ukumbi Tulienda tena 2020 kukakodi Ukumbi tulijua watagomea, Walaah hata hawakuuliza Maswali, Walipokea pesa wa Katoa Ukumbi, Tukampitisha Lissu kama Mgombea Urais

Nimeitoa TwitterView attachment 2252605
Polisi ni taasisi iliyokosa weredi, watumishi wake wengi ni watu wa kupokea order bila ku reason, nguvu ndio ngao yao akili kwao ni matope na ubaya wengi wao walishakosaga akili kbs na ndio maana inaonekana ni ya wale walio fail shule!!
 
Ni juzi tu wamemuua mwanamke asiye na hatia hapo Sinza,siwaelewi kabisa Hawa watu
Polisi ni taasisi iliyokosa weredi, watumishi wake wengi ni watu wa kupokea order bila ku reason, nguvu ndio ngao yao akili kwao ni matope na ubaya wengi wao walishakosaga akili kbs na ndio maana inaonekana ni ya wale walio fail shule!!
 
Wanasiasa wanajuana, wanatuchanganya tu raia, siasa za Chadema ni za wachumia tumbo, wanatingishaga tu kibiriti wapate maslahi yao, uzuri walimkuta Ngosha acheki na Kima, uso wa mbuzi, Mbowe ni mtu wa maslahi,mbwa Koko, yupo pale kufanikisha deals zake, Ngosha alikuwa anajua kuwa Mbowe ni Mwanasiasa uchwala.

Sent from my WAS-TL10 using JamiiForums mobile app
Hoja imekuja kuzungumzia vitisho vya serikali ya Magufuli kwa wamiliki wa kumbi ,lakini wewe kwa makusudi umejisahaurisha kujadili hilo ,na kurukia hisia zako eti "Wanatingishaga kiberiti WAPATE masilahi yao. Ni masilahi yapi hayo ?? Thibitisha!

Sent from my CPH2185 using JamiiForums mobile app
 
Kila kitu hutokea kwa sababu maalum !! Mwalimu alisema kwa hii katiba iliyopo akipatikana MTU wa kuitumia jinsi inavyomruhusu kufanya basi mjue mtajuta na mtamuita kila aina ya majina!

Mwalimu alitumia neno Dikteta !! Kwa tafsiri zenu tunaweza kusema maneno ya mwalimu yalitimia, lakini je kuna ajabu gani akatokea tena mwingine huko mbele ya safari!

Watu wengine huwa wana uwezo wa kuvaa ngozi ya kondoo na kuficha makucha yao mpaka afike pale kwenye kiti kikuu ndipo atakapo anza kukunjua makucha yake !! Je mtamjuaje ?? Je akitokea atadhibitiwa na kitu gani ?? Tafakari.

Tutamjuaje kiongozi wa hovyo?
1. Tujenga utamaduni wa kuwahoji viongozi.
2.Tujenge utamaduni wa midahalo baina ya wagombea.
3. Vyombo vya habari viwe makini zaidi.

Tutamdhibiti vipi kiongozi wa hovyo?
1. Viwepo vifungu vya kikatiba vinavyodhibiti viongozi.
2.Bunge letu lipewe mamlaka na meno.
3. Wananchi waelimishwe kwamba wao ndio waajiri wa viongozi, and not vice versa.
4. Mamlaka zetu ziwe huru.
5. Madaraka yasilundikwe kwa mtu mmoja.
 
Ndii maana nikauliza mlimani City walijiamini na nini kumdindia yule dikteta
Hilo sasa unatakiwa ujibu wewe unayesema Dikteta ndio aliwatuma polisi mlimani city, utuambie jamaa walijiamini nini hadi kumdindia Dikteta na dikteta akanywea hakufanya kitu kama kweli yeye ndio aliwatuma.
 
Tatizo ni kwamba kila baya au kosa lililofanyika awamu ya tano uhusishwa moja kwa moja na Jiwe, tofauti na sasa ambapo mazuri yote ndio uhusishwa nayo Samia ila mabaya ni ya wasaidizi wake ama ameshauriwa vibaya au hajui.

..Jiwe alikuwa na sifa ya ufuatiliaji na kuchukua maamuzi ya haraka.

..Wazungu wanaita watu wenye tabia za uongozi kama za Jiwe kuwa ni "micro manager."

..Jiwe alikuwa anadhibiti kila mtu aliye chini yake, na alidhibiti kila kitu.

..Katika mazingira hayo kulipotokea jambo baya, halafu hatua hazikuchukuliwa, au zikachelewa, basi watu waliamini Jiwe ameidhinisha.

..Kwa mfano, chukulia usumbufu waliokuwa wakiupata viongozi wa vyama vya upinzani. Mambo hayo yaliendelea kwa muda mrefu bila wahusika kuchukuliwa hatua.

..Kwasababu Jiwe alikuwa ni kiongozi anayechukua hatua za haraka kukomesha mambo asiyoyapenda, na kwasababu usumbufu kwa vyama vya upinzani uliendelea kwa muda mrefu, basi watu wakaamini kwamba Jiwe alikuwa amebariki uovu huo.
 
unadiriki kuita binaadamu mwenzako shetani kisa alikuzuia usijiuze!!!

hata baada ya kufa kwake bado una sumu rohoni,utakufa mcundu wazi mbwa wewe.
relax move on.

Tulia ww muumini wa shetani, ww ndio unatakiwa ukubaliane na maisha mapya maana mumeo yuko jehanamu.
 
Back
Top Bottom