Mlimani City walikuwa wanajiamini na nini hadi kumgomea Magufuli hivi? Inamilikiwa na nani?

Mlimani City walikuwa wanajiamini na nini hadi kumgomea Magufuli hivi? Inamilikiwa na nani?

Hivi nani alituroga watanzania tukamuweka yule chizi ikulu? Aliiharibu nchi kuliko maelezo
Hebu na wewe tuoneshe hiyo nchi iliyotengenezwa sasa hivi. Bei za mafuta ya kula kupanda? Tozo za simu?Bidhaa kupanda Bei hata kabla vita ya Ukraine? Miradi mkakati kutupiliwa mbali?

Wizi uliokithiri serikali za mitaa? Kumtukana JPM? Kuondo ofa machinga? Wakurugenzi Wizara ya fedha kujilipa fedha kwa vikao hewa halafu wakaachwa tu?

Ndiyo nchi imetengenezwa? Kuunganishwa umeme imerudi laki tatu badala ya 27,000 kinyume na ilani? Kukopa kila kukicha ndo kufungua nchi? Kuanza tena kusafirisha wanyama hai?

Hebu tuacheni bana

Sent from my TECNO PR651H using JamiiForums mobile app
 
Anaandika Boniface Jacob ambaye alikuwa Meya wa Ubungo na Mjumbe wa Kamati Kuu Chadema, aisee inaonekana wafanyabishara wote...
Mabaya yake yazikwe Mema yake yaendelezwe !!! Normally we learn through mistakes !!! Duniani tunapita tu !!
 
Kusoma haujui ni kweli.Hata content (maudhui) hujui kuchambua?Bure!

inawezekana una uelewa mkubwa sana kuliko mimi, na inawezekana pia nina uelewa mkubwa sana kuliko wewe....cha msingi ni kujadili kila lililopo mezani kwa uhalisia bila ushabiki...
 
Halafu watumishi wa mungu uchwara wanakesha na kumwombea,Mungu amulaze mahali pema peponi, hata waombe na kuchubuka Mungu wa kweli hapokei rushwa jehanamu inamuhusu.
 
Leo yamebaki mafuvu tu utadhani siyo yule aliyejifanya Mungu mtu.
Je ww utadumu?Au ni miongoni mwa wapumbavu wachache mnaojifanya hamufi.Toka JPM afe wamekufa wangapi?Tena walioshangilia Kama ww.Hata ww hautamaliza huu mwaka.
 
Hivi nani alituroga watanzania tukamuweka yule chizi ikulu? Aliiharibu nchi kuliko maelezo
Kila kitu hutokea kwa sababu maalum !! Mwalimu alisema kwa hii katiba iliyopo akipatikana MTU wa kuitumia jinsi inavyomruhusu kufanya basi mjue mtajuta na mtamuita kila aina ya majina!

Mwalimu alitumia neno Dikteta !! Kwa tafsiri zenu tunaweza kusema maneno ya mwalimu yalitimia, lakini je kuna ajabu gani akatokea tena mwingine huko mbele ya safari!

Watu wengine huwa wana uwezo wa kuvaa ngozi ya kondoo na kuficha makucha yao mpaka afike pale kwenye kiti kikuu ndipo atakapo anza kukunjua makucha yake !! Je mtamjuaje ?? Je akitokea atadhibitiwa na kitu gani ?? Tafakari.
 
Halafu watumishi wa mungu uchwara wanakesha na kumwombea,Mungu amulaze mahali pema peponi, hata waombe na kuchubuka Mungu wa kweli hapokei rushwa jehanamu inamuhusu.
Ni mwenyezi Mungu pekee ndiye ajuaye ni nani ataenda motoni na nani atakaye Kwenda peponi !!! Tujitahidini kutenda mema kwa kadri tunavyoweza maana Duniani tunapita tu !! Sote ni wa Mungu na kwake tutarejea !!
 
Ni mwenyezi Mungu pekee ndiye ajuaye ni nani ataenda motoni na nani atakaye Kwenda peponi !!! Tujitahidini kutenda mema kwa kadri tunavyoweza maana Duniani tunapita tu !! Sote ni wa Mungu na kwake tutarejea !!
Mimi sio Mungu, lakin yule hawezi kwenda mbinguni
 
Kila kitu hutokea kwa sababu maalum !! Mwalimu alisema kwa hii katiba iliyopo akipatikana MTU wa kuitumia jinsi inavyomruhusu kufanya basi mjue mtajuta na mtamuita kila aina ya majina !! Mwalimu alitumia neno Dikteta !! Kwa tafsiri zenu tunaweza kusema maneno ya mwalimu yalitimia, lakini je kuna ajabu gani akatokea tena mwingine huko mbele ya safari !! Watu wengine huwa wana uwezo wa kuvaa ngozi ya kondoo na kuficha makucha yao mpaka afike pale kwenye kiti kikuu ndipo atakapo anza kukunjua makucha yake !! Je mtamjuaje ?? Je akitokea atadhibitiwa na kitu gani ?? Tafakari !!!
Dikteta mwingine atatokea iwapo atatoboa ni mwigulu Nchemba. Mungu atuepushe nae yule jamaa
 
Mlimani ni ya JK hapo ni pagumu kidogo maana dikteta naye anakumbuka bila JK Membe angekuwa Ikulu mpk leo
 
Li
LiLaaniwe tumbo liliomzaa yule fedhuli mwanaharamu , ptuuuu . Ile roho ya kiintarahamwe kabisa , wanawake muwe mnaangalia na majitu ya kuzaa nayo sio mnatuletea laana kama Lille takataka
[emoji2][emoji2][emoji2][emoji2]mkuu uko na hasira
 
Wanasiasa wanajuana, wanatuchanganya tu raia, siasa za Chadema ni za wachumia tumbo, wanatingishaga tu kibiriti wapate maslahi yao, uzuri walimkuta Ngosha acheki na Kima, uso wa mbuzi, Mbowe ni mtu wa maslahi,mbwa Koko, yupo pale kufanikisha deals zake, Ngosha alikuwa anajua kuwa Mbowe ni Mwanasiasa uchwala.

Sent from my WAS-TL10 using JamiiForums mobile app
Najua sindano imekuingia. Unaumia anapoguswa mzalendo no1

Sent from my Infinix X573 using JamiiForums mobile app
 
Hoja mfilisi pambanen kujenga chama muungwe mkono mtabaki mnasema mtu kashaondoka huku mkiendelea kutawaliwa na ccm iliyojaa ufisadi!

Mmebakiza vioja siyo hoja siyo mwenyekiti wenu wala nyie nyote kwasasa hamna hoja hoja ni matusi dhidi ya mwendazake
wewe inakuuma nini,ndo vizuri ccm ikiendelea kutawala.furahi sasa.
 
Wanasiasa wanajuana, wanatuchanganya tu raia, siasa za Chadema ni za wachumia tumbo, wanatingishaga tu kibiriti wapate maslahi yao, uzuri walimkuta Ngosha acheki na Kima, uso wa mbuzi, Mbowe ni mtu wa maslahi,mbwa Koko, yupo pale kufanikisha deals zake, Ngosha alikuwa anajua kuwa Mbowe ni Mwanasiasa uchwala.

Sent from my WAS-TL10 using JamiiForums mobile app
Mbwa Koko baba yako na mama yako.
 
Back
Top Bottom