Inside10
JF-Expert Member
- May 20, 2011
- 29,909
- 32,414
Sio tu mpumbavu alikuwa MWe.huMagufuli alikuwa mpumbavu sana
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sio tu mpumbavu alikuwa MWe.huMagufuli alikuwa mpumbavu sana
Tusifike huko mkuu.. Familia yake hatuna shida nayo, shida ni yeye mwenyeweLi
LiLaaniwe tumbo liliomzaa yule fedhuli mwanaharamu , ptuuuu . Ile roho ya kiintarahamwe kabisa , wanawake muwe mnaangalia na majitu ya kuzaa nayo sio mnatuletea laana kama Lille takataka
Jiwe alikuwa mshamba sana, mwisho wa siku akafa yeye. Watanzania inabidi wote kwa pamoja tushukuru MunguWanasiasa wanajuana, wanatuchanganya tu raia, siasa za Chadema ni za wachumia tumbo, wanatingishaga tu kibiriti wapate maslahi yao, uzuri walimkuta Ngosha acheki na Kima, uso wa mbuzi, Mbowe ni mtu wa maslahi,mbwa Koko, yupo pale kufanikisha deals zake, Ngosha alikuwa anajua kuwa Mbowe ni Mwanasiasa uchwala.
Sent from my WAS-TL10 using JamiiForums mobile app
Ila mko na wivu sana timu sukuma gang.Timu gaidi sasa hivi wanalamba asali
Mwendazake katajwa wapi? Acha usukuma gang mkuuHoja mfilisi pambanen kujenga chama muungwe mkono mtabaki mnasema mtu kashaondoka huku mkiendelea kutawaliwa na ccm iliyojaa ufisadi! Mmebakiza vioja siyo hoja siyo mwenyekiti wenu wala nyie nyote kwasasa hamna hoja hoja ni matusi dhidi ya mwendazake
Sukuma gang ni wapumbavu aisee, yaani hujaelewa hata jambo dogo hilo?Ila CHADEMA wapuuzi sana. Mnajivunia kutumbua mihela ya ruzuku kwenye mahoteli ya kifahari huku chama hakiwezi hata kupangisha achilia mbali kujenga ofisi nzuri?
Huyo unayesema aliwahi kuwa meya wa sijui wa Ubungo miaka yote na asijue mmiliki wa ukumbi ulio katika eneo lake ni takataka kabisa.
Hivi kwanini wasimchome moto? Watanzania wengi wanatamani achomwe moto kabisaRudi darasani kijana, Binadamu habaki mifupa ndani ya Mwaka mmoja akiwa kaburini
Huwezi pata laana kwa kumsema vibaya shetaniJIfunze kuwa na adabu! Hufaidiki na lolote kumtukana marehemu!! sana sana unajipatia laana tu!!
Hawezi pumzika yule shetaniAcha kutisha watu,mwache marehemu apumnzike.
Kama ipi wewe sukuma gang aka mfuasi wa shetani JiweHuyu jamaa ni mjinga sana ujue.
Anatajataja kumbi lakini hizo anazoziita kumbi nyingine hazitaji kwa majina.
Mkuu huyu ni jemadari wa wapi? Kwanini alifukuliwa?Funza hawaangalii nyota na vyeo wao wanakulaga tu kudadadeqView attachment 2252604
Mr Devil akimtetea his mateWengi wanao mtukana uki wachunguza hamna walicho badilika ata jamaa alivyo dead wako pale pale
Kuna watu siasa haziendani nao wanforce tu.Hii ndo dalili ya mwili jumba akili kinukta
Mungu ibariki Mlimani CityAnaandika Boniface Jacob ambaye alikuwa Meya wa Ubungo na Mjumbe wa Kamati Kuu Chadema, aisee inaonekana wafanyabishara wote wa ndani na wa kigeni walikuwa wakimuogopa Magufuli isipokuwa mmiliki wa Mlimani City kama anavyoandika Boniface Jacob hapa
================
ZAMA ZILE ZA GIZA kumbi nyingi sana Dar es Salaam ziligoma Kupokea Pesa za Chadema Kwa ajili ya Kukodi Kumbi za Kufanyia mikutano ya Kamati kuu 2016 Kuelekea Operation Ukuta Giraffe Hotel wao Katikati ya Kikao Walifuatwa na Magari ya Polisi, Wakaturudishia pesa zetu tuondoke
Basi tukavunja Kikao wakiwa wameshapika Chakula cha Wajumbe na Break fast, Ila wakarudisha pesa zote Tiffany Diamond, Wao Siku ya Kikao cha Kamati kuu,Waligoma Kufungua Ukumbi Kufuatia Vitisho walivyo pokea kutoka Serikalini, Wakaturudishia pesa zetu, tukatafuta Kumbi Nyingine
2017 Double Tree Hotel wao Walipokea pesa za Chadema Kwa ajili ya Kikao cha Kamati Kuu Siku 3 ila Baada tuh ya Kikao cha Siku ya Kwanza Kesho yake wakaomba tusi rudi tena pale Hotelini Kwao
Kufuatia Vitisho walivyopokea kutoka Serikalini
Siku Moja Week end baada ya Vikao pia tukaenda Hotel Moja Masaki Kupumzika na Kupata Chakula na Kinywaji Wao Wahudumu Walikatazwa kabisa Kuja kutusikiliza Mezani Kwetu,Tulipo kuwa wakali Meneja alituambia Maboss zake Wahindi Wametuona tukiwa tunaingia Wameogopa sana Ukaondoka
Wamiliki wa Kumbi moja tuh ya Mlimani City hadi Leo hatujui kwanini Walikuwa wanajiamini sana Mara zote Walipokea pesa na Wakatupatia Ukumbi Chadema,Serikali ilipofika kuwatisha Walikuwa Wanatoa akaunti namba za Benki,Serikali iweke pesa zote za Kuwa rudisha Chadema
Mwaka 2019 Ukumbi Wa Mlimani City pakiwa pamepambwa na bendera za Chadema,Serikali Walifika tena Kuwatisha ili tunyimwe Ukumbi, Jamaa wa Katoa Akaunti ya Benki Waingize pesa ili wao wavunje Mkataba na Chadema Kwahasira Serikali ilirudi Mida ya Saa 5 Usiku ikiwa na Polisi wengi
Polisi wakazingira Ukumbi Mlimani City,Usiku Ule Wajumbe wa Mkutano Mkuu waliokuwa Dar es Salaam tukahamasishana Kuja Mlimani City Wanachadema Walipojaa,Polisi Walitoka nje ya eneo la ukumbi kwahasira walipiga Mabomu wakaondoa Bendera zote za Barabarani pamoja Mgambo wa Jiji
Kwa Mabomu yale nilifikiri sasa Wamiliki wa Ukumbi Wa Mlimani City Wataingia Uoga, Siku Nyingine hatutopewa tena Ukumbi Tulienda tena 2020 kukakodi Ukumbi tulijua watagomea, Walaah hata hawakuuliza Maswali, Walipokea pesa wa Katoa Ukumbi, Tukampitisha Lissu kama Mgombea Urais
Nimeitoa TwitterView attachment 2252605
[emoji38][emoji38][emoji38][emoji38]Funza hawaangalii nyota na vyeo wao wanakulaga tu kudadadeqView attachment 2252604
Usimlazimishe Mungu , sema apumzike anapostahiliRip Jpm
Ukimzuia Benzema kuichezea Madrid halafu dkk ya 89 aingie akute timu yake imepigwa 4-0 unafikiri atafanya nini.Wengi wanao mtukana uki wachunguza hamna walicho badilika ata jamaa alivyo dead wako pale pale
Ila yule jamaa alikuwa katili sana. Alikuwa na chuki hadi na majengo. Aende salama huko alikojiendea.Wanasiasa wanajuana, wanatuchanganya tu raia, siasa za Chadema ni za wachumia tumbo, wanatingishaga tu kibiriti wapate maslahi yao, uzuri walimkuta Ngosha acheki na Kima, uso wa mbuzi, Mbowe ni mtu wa maslahi,mbwa Koko, yupo pale kufanikisha deals zake, Ngosha alikuwa anajua kuwa Mbowe ni Mwanasiasa uchwala.
Sent from my WAS-TL10 using JamiiForums mobile app
Huyo mungu wenu uchwara hata ukatibu kata hakustahili kupewa. Mshamba mkubwa wa madaraka si ajabu alikufa akayaacha.Huyu jamaa ni mjinga sana ujue.
Anatajataja kumbi lakini hizo anazoziita kumbi nyingine hazitaji kwa majina.
Hitler, Amin nk bado wanaongelewa mpaka leo, iweje asaulike wa hivi karibuni?? Nyerere bado tunamwongelea mpaka leo na kesho.Hoja mfilisi pambanen kujenga chama muungwe mkono mtabaki mnasema mtu kashaondoka huku mkiendelea kutawaliwa na ccm iliyojaa ufisadi! Mmebakiza vioja siyo hoja siyo mwenyekiti wenu wala nyie nyote kwasasa hamna hoja hoja ni matusi dhidi ya mwendazake