Basi Nenda
JF-Expert Member
- Jul 29, 2017
- 20,774
- 47,866
Rudi darasani kijana, Binadamu habaki mifupa ndani ya Mwaka mmoja akiwa kaburiniLeo yamebaki mafuvu tu utadhani siyo yule aliyejifanya Mungu mtu.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Rudi darasani kijana, Binadamu habaki mifupa ndani ya Mwaka mmoja akiwa kaburiniLeo yamebaki mafuvu tu utadhani siyo yule aliyejifanya Mungu mtu.
JIfunze kuwa na adabu! Hufaidiki na lolote kumtukana marehemu!! sana sana unajipatia laana tu!!Magufuli alikuwa mpumbavu sana
Taga!Mpumbavu ka babako nyanoko.
we nae inaelekea akilini mwako hakuna akili!!wangewanyima mngewasema..
wamewapa mnawasema tena mkijiuliza nguvu ile ilitoka wapi.... dah..kumbe nao wangewanyima tu..
Wazazi wako wamezaa tak.atak.aWanasiasa wanajuana, wanatuchanganya tu raia, siasa za Chadema ni za wachumia tumbo, wanatingishaga tu kibiriti wapate maslahi yao, uzuri walimkuta Ngosha acheki na Kima, uso wa mbuzi, Mbowe ni mtu wa maslahi,mbwa Koko, yupo pale kufanikisha deals zake, Ngosha alikuwa anajua kuwa Mbowe ni Mwanasiasa uchwala.
Sent from my WAS-TL10 using JamiiForums mobile app
Hujuwi wewe jifanye hujuwi
Mimi ndio nimeuliza jamani, mbona una hasira sana?😅😅Ila CHADEMA wapuuzi sana. Mnajivunia kutumbua mihela ya ruzuku kwenye mahoteli ya kifahari huku chama hakiwezi hata kupangisha achilia mbali kujenga ofisi nzuri?
Huyo unayesema aliwahi kuwa meya wa sijui wa Ubungo miaka yote na asijue mmiliki wa ukumbi ulio katika eneo lake ni takataka kabisa.
Wanakera sana hawa viumbe, unawezaje kutambia mahoteli kama demu?Mimi ndio nimeuliza jamani, mbona una hasira sana?😅😅
LiLaaniwe tumbo liliomzaa yule fedhuli mwanaharamu , ptuuuu . Ile roho ya kiintarahamwe kabisa , wanawake muwe mnaangalia na majitu ya kuzaa nayo sio mnatuletea laana kama Lille takatakaMagufuli alikuwa mpumbavu sana
Mbowe amekulia na kutoka katika maisha ya kitajiri tokea enzi za Nyerere wakati dingi wako alikuwa anashindia mihogo mibichi na alikuwa hana mpango wowote wa kuwa na familia....Wanasiasa wanajuana, wanatuchanganya tu raia, siasa za Chadema ni za wachumia tumbo, wanatingishaga tu kibiriti wapate maslahi yao, uzuri walimkuta Ngosha acheki na Kima, uso wa mbuzi, Mbowe ni mtu wa maslahi,mbwa Koko, yupo pale kufanikisha deals zake, Ngosha alikuwa anajua kuwa Mbowe ni Mwanasiasa uchwala.
Sent from my WAS-TL10 using JamiiForums mobile app
Bila shaka wewe utakuwa unawafahamu Freeman Mbowe na marehemu Magufuli vizuri sana pengine kuliko Watanzania wote: Mbowe mbwa koko na magufuli mjuaji wake. Ingawa sijui una maana gani unaposema wanajuana na wanatuchanganya tu? Frustrations?Wanasiasa wanajuana, wanatuchanganya tu raia, siasa za Chadema ni za wachumia tumbo, wanatingishaga tu kibiriti wapate maslahi yao, uzuri walimkuta Ngosha acheki na Kima, uso wa mbuzi, Mbowe ni mtu wa maslahi,mbwa Koko, yupo pale kufanikisha deals zake, Ngosha alikuwa anajua kuwa Mbowe ni Mwanasiasa uchwala.
Sent from my WAS-TL10 using JamiiForums mobile app
Yule hata ubalozi wa nyumba 2 hakustahili ila ubovu wa katiba ya ccm na katiba ya nchi pia nchi kutokuwa na dira ndiyo ilipelekea kiumne wa ajabu kuingia ikulu. Nakumbuka Antony Mtaka akiwa mkuu wa mkoa Simiyu Halima mdee àkiwa M/kiti BAWACHA alikuwa na kikao alihangaika sana kila ukumbi anao kodi kikao kikianza polisi wanakuja kumtishia mmimiliki nadhani karibu kumbi 5 ilishindikana mwisho akafanya kikao kwenye mazingira magumu lakini kilikamilika na polisi waliotumwa kufanya upuuzi wakajikutà wanasikiliza
Umemjibu vema sana huyo mpuuzi.Bila shaka wewe utakuwa unawafahamu Freeman Mbowe na marehemu Magufuli vizuri sana pengine kuliko Watanzania wote: Mbowe mbwa koko na magufuli mjuaji wake. Ingawa sijui una maana gani unaposema wanajuana na wanatuchanganya tu? Frustrations?
Anyway, Mbowe mbwa koko, kima na uso wa mbuzi bado yu hai, mzima wa afya na "deals zake" zinaendelea. Kasevu maafa kibao kuanzia mauaji ya Akwilina hadi kesi ya ugaidi. Mali zake zimerudi. Sasa anaongea moja kwa moja na Rais Ikulu. Sasa anaondolewaje asiendelee kutuchanganya baada ya Magufuli kwenda zake?
Mtaishia kubweka,imeisha hiyoWanasiasa wanajuana, wanatuchanganya tu raia, siasa za Chadema ni za wachumia tumbo, wanatingishaga tu kibiriti wapate maslahi yao, uzuri walimkuta Ngosha acheki na Kima, uso wa mbuzi, Mbowe ni mtu wa maslahi,mbwa Koko, yupo pale kufanikisha deals zake, Ngosha alikuwa anajua kuwa Mbowe ni Mwanasiasa uchwala.
Sent from my WAS-TL10 using JamiiForums mobile app