Mlinzi Suma JKT ajiua kwa kujipiga risasi shingoni

Mlinzi Suma JKT ajiua kwa kujipiga risasi shingoni

Mmmmmmhmn hizi taasisi za ulinzi ziwe makini sana na hawa vijana zinaowapa silaha. Wengine vichwa havipo sawa.

Sasa huyu angepishana na mteja si angeweza mtandika ya kifua na yeye kujimaliza?
 
Wanaona watu wnaingia na mandinga makali, wanakula vizuri mara wawaletee nyodo au kuwatuma, na ukiangalia mtu anakaelimu kake, lazima apate depression. Walinzi wanatakiwa wale waliokubaliana na hali ya maisha au polisi wenye maisha yao.
Shida ni mtu anasoma ili kupata maisha mazuri then yanamkataa halafu analazimika kufanya kazi ya kujishusha na mshahara mdogo kama waiter, mfagia guest, mpishi wa bar au mlinzi. Hii huwa inamfanya mtu kupata mlipuko wa fedheha anapoona kijana mwenzake amenunua gari nzuri ambayo yeye alitamania kumiliki siku moja, au kuona mwanamke mzuri ambaye alitamani kupata, au kutamani kuishi nyumba nzuri au kupata chakula kizuri.

Hivi vikikosekana anapata hali ya kuumia na kuona maisha yamemkataa so hawezi yafurahia na matokeo yake malaika wa kifo wanaanza kumnong'oneza afanye maamuzi magumu ambayo yatamtoa hii Dunia.

Anyways, maisha ni fumbo. Tujitahidi kuwapa msaada waokuwa wamekwama namna hii ili waweze kupata matumaini ya kuishi wasije ishia kubaya hivi.
 
Mbeya hii ni case pili ndani ya mwezi mmoja na nusu. Kwamaana hiyo takribani walinzi wa suma JKT 8 wanajiua kwa kujipiga risasi katika mwaka mzima. Wekeni vitengo vya psychology and counseling viwe active huko makambini na kabla ya kuripoti kazini. Vilevile wizara ya ulinzi na mambo ya ndani itengeneze majeneza ambayo hawa watu wa security wawe wanawekwa kwa saa moja kila week wawe wanajitafakari.
Ushauri bandidu sana huu, sasa hayo majeneza yanakuwa kama maonyesho au wanaingia kulala ndani kabisa?
 
Short gun ni silaha ya hovyo!
huyo kijana huenda kalilalia bahati mbaya tu na kummaliza!

waliokuwa wa kwanza kumuona watueleze alivyokutwa na silaha, kama kajishoot inafahamika, na kama bahati mbaya yaweza fahamika pia
Tumia clues:

1. Amejifungia kwa ndani it means alitaka privacy kufanya alilofanya.

2. Risasi alizishika mkononi it means alilisha risasi moja zingine alikuwa nazo ili ajimalize.

3. Kajiweka akilenga eneo la kichwa it means alijua anajimaliza.
 
Kwa kweli kwa hali ya maisha ya ubepari kama huna Mungu ndani yako au mental na psychological calmness unaweza kufanya vitu ambavyo watu watakuona hauna akili kumbe mwisho wako wa kufikiri ndipo ulipoishia.

Unaweza in au kusikia watu mliokuwa nao shuleni au kambini washatoboa. Au unaenda maeneo kama Mlimani ukiona jinsi vijana au watu wanavyospend unaweza kujisonya sana.

Ktk nchi za Ulaya na US suicide na kuuana cases ni nyingi koz ubepari umekomaa. Sitamani tufike huko lakini kwa hali ilivyo ni kama vile safari imekaribia.

Zamani mtu akijinyonga inakuwa taabu kila mtaa utajua au kusimulia kwa wikii na mawiki ila Sasa imekuwa kawaida na sababu ni nyingi kuanzia maisha, mapenzi, kazi, kukataliwa, Kukosa tumaini, Kukosa Mali, kudharauriwa, masomo, kubakwa, kushindwa kuhimili tatizo nk.

Hivi karibu kuna kijana wa hapa Stend ya Magufuri wale wanaoshika chati za magari naye kajinyonga kwa sababu ya mapenzi. Mke wake alikuwa anamsumbua jamaa sana.
Maisha ya sasa yanastress sana. Mtu asipokuwa na safe zone yake na watu wake wa kumpa social support na security muda wowote kwa tatizo lolote mtu anapokosa msaada ndio ile unasikia kafanya mambo ya ajabu.

Huu mfumo wa sasa sio mfumo ambao waafrika wamezoea kuishi maana hatupo compatible nao. Sisi tunaishi kijamii zaidi. Hatuachani kiasi hicho.
 
Dah nimekumbuka hao Suma jkt waliwahi kunibananisha eti kisa nimewasalimia kwa namna ya vijana wa kisasa wanavyosalimiana...
"Oy wanangu mambo vipi"
Eh bwana we wakaitana wakanizingira na kuanza kuniuliza oy kwa hiyo we chalii hivi unaweza kuwa na watoto Kama sisi?
Nikiwaangalia Wana 23 -26 hivi miaka yao kipindi hicho mi nna 21 hivi.
Walichonishangaza Ni kushindwa kunijibu kishkaji yaani ""POA mwanetu vipi harakati"
Sema Nini Poa tu one day nami nitakua waziri wa fedha.

Sent from my TECNO RA7 using JamiiForums mobile app
 
Tumia clues:

1. Amejifungia kwa ndani it means alitaka privacy kufanya alilofanya.

2. Risasi alizishika mkononi it means alilisha risasi moja zingine alikuwa nazo ili ajimalize.

3. Kajiweka akilenga eneo la kichwa it means alijua anajimaliza.
inawezekana kajimaliza
 
Dogo unafer wapi ? hujawahi kusikia, watu wanakufa kwa njaa? embu fwatilia mambo
Mkuu ninachokijua mimi na taarifa iliyovuma sana ni ile ya Roma huko Vatican city, kuna beggar mmoja kafa kwa baridi na alikua anapatiwa msaada na kanisa, msaada wa chakula na mavazi ila sio malazi ila hakua na pa kulala (malazi) I think ni Jana au Juzi amekutwa amekufa maana hana pa kulala analala tu mitaani so kapigwa na baridi hadi kafa,

Other things ni kwa Africa nchi km Somalia na Kenya kuna kipindi nakumbuka ilitokea watu wakawa wanakufa njaa yes sababu ya ukame, so let's go back to our motherland Tanzania niambie ni mkoa upi watu wamekufa kwa njaa na idadi ni kiasi gani ya waliokufa kwa njaa? Na ni chombo kipi cha habari kilitangaza hio taarifa?

Km huna idadi na hujui ni mkoa upi au ni mikoa ipi au ni chombo kipi kilitangaza hio taarifa piga kimya mkuu, maana hauna point na mimi sipendi watu wanaopenda blah blah tu huku hawana point za msingi
 
Hao jamaa weng walikua na dreams za kuingiaa kwenye vyombo vya ulinz e.g TPDF, MAGEREZA. Sasa mambo yanakua yamekwamia hapo sumaJkt stress inaanza kukua had depression.....hatar!
 
Labda tusihitimishe kuwa kakusudia kujiua?

Huenda kajifungia apumzike akasinzia akafyatua triger bila kukusudia...yote yawezekana.

Pumziko La Amani Apate Young blood,gone to soon..
Yani akoki bunduki akiwa usingizini?..
 
Kafa katuacha tunaendelea kuenjoy na life yy akatengeneze miji tutakayofikia huko mbinguni
 
Back
Top Bottom