Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wapi huko Chalinze au Nzovwe? Taja location mkuu
AsanteYou meant Haunt bila shaka
Pole sana haupo peke yako pambana mzee utapata zaid na kuwapita wote ukiona umeshindwa kabisaaaa usijiue nenda katafute kwa njia za gizaWazee hili laifu sio poa hasa ukiwa mzaliwa wa kwanza...kwa kifupi mimi pia napita hardtime sana
Sina kazi (jobless)
Kodi yangu inaisha December (kichwa kinauma machozi yanatoka)
Umri umesogea miaka 26 mates wenzangu wengi wana maisha na darasani nilikuwa bora kuliko wao.nimeomba makazi ya majeshi yote mwaka jana mpka nimekataa tamaa
Kula yangu mzozo,unaumwa ila unapona kwa nguvu za Mungu...
Kushinda week mfukoni huna mia ni kawaida
Kwa kifupi depression is real ukiona unaaamka unakula unavaa mshukuru Mungu
Mungu anisaidie nivuke salama nakiri sometimes najifikiriaga sana kujipoteza(kujitoa uhai) sema namuonea huruma mama na madogo zangu.
Aseeee !!!![emoji848][emoji848]Sad reality of today life...Msongo wa mawazo unachangiwa na mambo mengi sana... jitahidi sana kutafuta njia ya kuukimbia huo msongo ...ni hatari sana kuliko kawaida.Wazee hili laifu sio poa hasa ukiwa mzaliwa wa kwanza...kwa kifupi mimi pia napita hardtime sana
Sina kazi (jobless)
Kodi yangu inaisha December (kichwa kinauma machozi yanatoka)
Umri umesogea miaka 26 mates wenzangu wengi wana maisha na darasani nilikuwa bora kuliko wao.nimeomba makazi ya majeshi yote mwaka jana mpka nimekataa tamaa
Kula yangu mzozo,unaumwa ila unapona kwa nguvu za Mungu...
Kushinda week mfukoni huna mia ni kawaida
Kwa kifupi depression is real ukiona unaaamka unakula unavaa mshukuru Mungu
Mungu anisaidie nivuke salama nakiri sometimes najifikiriaga sana kujipoteza(kujitoa uhai) sema namuonea huruma mama na madogo zangu.
Aseee![emoji848]Mshahara Tsh.120,000.
Huyu inaonekana alienda kulala mule ndani, ktk 1 2 3, huenda aliilalia kwa bahati mbaya au alijisahau akagusa striger risas ikiwa chemba. siamin kwamba alijiua mwenyewe japo nalo linawezekanaNdiyo afunge mlango?
Wazee hili laifu sio poa hasa ukiwa mzaliwa wa kwanza...kwa kifupi mimi pia napita hardtime sana
Sina kazi (jobless)
Kodi yangu inaisha December (kichwa kinauma machozi yanatoka)
Umri umesogea miaka 26 mates wenzangu wengi wana maisha na darasani nilikuwa bora kuliko wao.nimeomba makazi ya majeshi yote mwaka jana mpka nimekataa tamaa
Kula yangu mzozo,unaumwa ila unapona kwa nguvu za Mungu...
Kushinda week mfukoni huna mia ni kawaida
Kwa kifupi depression is real ukiona unaaamka unakula unavaa mshukuru Mungu
Mungu anisaidie nivuke salama nakiri sometimes najifikiriaga sana kujipoteza(kujitoa uhai) sema namuonea huruma mama na madogo zangu.
Kwanini ifutwe ? Ujui kuna watu wanategemea hiyo kampuni ?Hii kampuni ifutwe tu
Umeshafanya uchunguzi , ? umegundua ni depression ?Depression hunt us young men dah
Ifutwe alafu sisi makanali wastaafu tukale wapi???mambo ya nchi yetu hayakuhusu hantarahamwe ww....Hii kampuni ifutwe tu
jamaa ame comment, utopolo sana..Sas mkuu unawalaumu Tena jkt dah mtu kujiua siyo Suma jkt walimtuma kwenda kujishoot
Shida zipo kwenye vyombo vyote vya ulinzi, vipi kuhusu police ?Sure hawajamtuma, ila pia jamaa wanashida
Mshahara mdogo uki compare na kitu gani ?Tatizo mshahara mdogo,nilikuwa nafanya intern hospital flani nikagundua wanapewa kidogo sana,nilikuwa nashare nao lunch
kwanini ulicheka ?Kuna ATM nilienda kutoa pesa ilikuwa muda wa mchana, wakati naondoka mmoja wa Askari Polisi aliyekuwa lindo na silaha ambapo dirisha lao linaangaliana na mashine za ATM akaniita akaniomba pesa, nilicheka kwa usalama wangu nikampa 10,000 nikaondoka nikajisemea sitokaa niende tena kwenye hiyo ATM kutoa pesa, nitakwenda kwwnye atm zingine.