100 IQ
Member
- Oct 25, 2022
- 42
- 49
Dogo unafer wapi ? hujawahi kusikia, watu wanakufa kwa njaa? embu fwatilia mamboYupo wapi alietangazwa kwenye vyombo vya habari kafa kwa njaa?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Dogo unafer wapi ? hujawahi kusikia, watu wanakufa kwa njaa? embu fwatilia mamboYupo wapi alietangazwa kwenye vyombo vya habari kafa kwa njaa?
Hakuna mshahara huo sumaMshahara Tsh.120,000.
Mkuu,mshahara mdg unajulikana bila kulinganisha na kitu chochote.Mshahara mdogo uki compare na kitu gani ?
Mshahara mkubwa ni sh. ngapi ?
Amekuuliza pia, mshahara mkubwa unaanza na ngapi??Mkuu,mshahara mdg unajulikana bila kulinganisha na kitu chochote.
Mshahara wa laki moja kwa mwez kwa vyovyote vile ni mdogo
Ndio maana, nimekuuliza, mshahara mkubwa ni sh. ngapi ?Mkuu,mshahara mdg unajulikana bila kulinganisha na kitu chochote.
Mshahara wa laki moja kwa mwez kwa vyovyote vile ni mdogo
Mbeya ni mwendo wa risasi sasa, mwanzoni mwa wiki hii mmoja amempiga mwenzake risasi kisa shilingi 7,500Mlinzi wa kampuni ya Suma JKT, Osea Kashiririka (21) amefariki dunia baada ya kujipiga risasi sehemu ya shingo kwa kutumia bunduki.
Kaimu Kamanda wa Polisi Mkoa wa Mbeya, Abdi Issango amesema tukio hilo limetokea leo Jumatatu Novemba 28 majira ya saa 5:30 asubuhi maeneo ya Benki ya Azania jengo la NHIF.
Issango amesema (Kashiririka) amejiua akiwa lindoni Benki ya Azania kwa kutumia silaha aina ya shot gun pump action yenye namba 00715V mali ya Suma JKT.
"Chanzo cha tukio hili bado kinachunguzwa na mwili wa marehemu umehifadhiwa Hospitali ya Rufaa Kanda ya Mbeya kwa uchunguzi wa kitabibu.
"Vielelezo ambavyo ni bunduki moja, risasi nne za shot gun na ganda moja la lisasi vimehifadhiwa kituo cha polisi kwa uchunguzi zaidi," amesema Issango.
Ameongeza kabla ya kutokea tukio hilo, Kashiririka akiwa na mwenzake eneo la kazi hakuonyesha dalili yeyote ambayo ingeweza kumpa shaka mwezake.
"Ulipofika muda wa tukio (marehemu) aliingia katika chumba ambacho walinzi wanakitumia kukaa na kujifungia wakati mwenzake akiwa nje akiendelea na kazi ndipo waliposikia mlio wa bunduki, hivyo hadi polisi wanafika eneo la tukio tulikuta banda hilo limefungwa,” amesema.
Amewataka viongozi wa kampuni za ulinzi kuwa makini wakati wanampa mtu silaha ili isije kuleta madhara kwa watu wengine sababu kama mtu anakuwa na msongo wa mawazo inakuwa rahisi kuleta madhara kwa wananchi.
MWANANCHI
mshahara 195k alaf kuendeshwa sana viongozi wenyewe (supervisors) akili hawana yani ni tafraniWaanze kwanza kuchunguza mshahara wa suma jkt alafu waludi kwenye swala la maisha kwa ujumla
Hamna kitu pale buree kabisaaunawatia spana tu
Police tatiziShida zipo kwenye vyombo vyote vya ulinzi, vipi kuhusu police ?
Hujaweka locationGlobally.
Especially poor countries
Mshahara haukidhi mahitaji unategemea nini? hapo kuna mchuchu anamzingua, mwenye nyumba ana dai kodi huku mama kapiga simu 'mwanangu niongezee pesa niwahishe kwenye vikoba' akijua labda mwanae analipwa pesa ndefu kumbe angejua, naomba niishie hapoWalinzi wa hii kampuni ni kama wana msongo wa mawazo maana muda mwingi wanapenda shari tu
Kwani Suma jkt siyo ajira?Kijana mdogo kabisa miaka 21??? Daaaa huenda msongo wa kutoboa (kukosa kuajiriwa)
Kwanini Taasisi iliyo chini ya Serikali ina lipa mishahara midogo sana yano Suma jkt walipa mshahara wa laki na 80 kwa mwezi, kingine wana ajiri lasab C wengi sanaTatizo mshahara mdogo,nilikuwa nafanya intern hospital flani nikagundua wanapewa kidogo sana,nilikuwa nashare nao lunch
Wateja wake ni taasisi za Serikali na wizara, sekta binafsi hawa wachukui Suma jktSUMA JKT IFUTWE TU WATAKUJA KUUWA WATU
Depression isee na unaweza kuta ni graduate huyo maana ndio wapo wengi huko suma..Mlinzi wa kampuni ya Suma JKT, Osea Kashiririka (21) amefariki dunia baada ya kujipiga risasi sehemu ya shingo kwa kutumia bunduki.
Kaimu Kamanda wa Polisi Mkoa wa Mbeya, Abdi Issango amesema tukio hilo limetokea leo Jumatatu Novemba 28 majira ya saa 5:30 asubuhi maeneo ya Benki ya Azania jengo la NHIF.
Issango amesema (Kashiririka) amejiua akiwa lindoni Benki ya Azania kwa kutumia silaha aina ya shot gun pump action yenye namba 00715V mali ya Suma JKT.
"Chanzo cha tukio hili bado kinachunguzwa na mwili wa marehemu umehifadhiwa Hospitali ya Rufaa Kanda ya Mbeya kwa uchunguzi wa kitabibu.
"Vielelezo ambavyo ni bunduki moja, risasi nne za shot gun na ganda moja la lisasi vimehifadhiwa kituo cha polisi kwa uchunguzi zaidi," amesema Issango.
Ameongeza kabla ya kutokea tukio hilo, Kashiririka akiwa na mwenzake eneo la kazi hakuonyesha dalili yeyote ambayo ingeweza kumpa shaka mwezake.
"Ulipofika muda wa tukio (marehemu) aliingia katika chumba ambacho walinzi wanakitumia kukaa na kujifungia wakati mwenzake akiwa nje akiendelea na kazi ndipo waliposikia mlio wa bunduki, hivyo hadi polisi wanafika eneo la tukio tulikuta banda hilo limefungwa,” amesema.
Amewataka viongozi wa kampuni za ulinzi kuwa makini wakati wanampa mtu silaha ili isije kuleta madhara kwa watu wengine sababu kama mtu anakuwa na msongo wa mawazo inakuwa rahisi kuleta madhara kwa wananchi.
MWANANCHI