chidy said
Member
- Oct 20, 2019
- 64
- 123
Wanajukwaa naomba kuuliza hili la walinzi wa Rais Magufuli kuvaa sare za CCM limekaaje?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kawaida sana!Wanajukwaa naomba kuuliza hili la walinzi wa Rais Magufuli kuvaa sare za CCM limekaaje?
Wanajukwaa naomba kuuliza hili la walinzi wa Rais Magufuli kuvaa sare za CCM limekaaje?
Hii sio sawa na wangekuwa chadema wangevaa ningeuliza puaWenzako wako ki professional, wewe unatema pumba. Hivi Rais angekuwa wa Chadema, na hao walinzi wakavaa jezi ya Chadema ungelalamika?
Hii awamu ya 5 vituko kibao Mara wafungwa kupandisha bendera za ccm
Kawaida sana!
Mkuu uprofessional kwa ccm ni kwa watumishi wa umma kuvaa sare za vyama vya siasa? Jamani wenzetu huu ujinga mmeusomea wapi? This is unsualWenzako wako ki professional, wewe unatema pumba. Hivi Rais angekuwa wa Chadema, na hao walinzi wakavaa jezi ya Chadema ungelalamika?
Mmesha kosa lakusema nyie
Magereza yanajihudumia
Lazima Yatafute pesa
Wamelipwa kama wanavyo lipwa JKT wajengapo Majengo nk
Mjitambue
Kwwhiyo hata Magufuli hapaswi kuvaa sare za ccm kwenye vikao kama hivyo?Mkuu uprofessional kwa ccm ni kwa watumishi wa umma kuvaa sare za vyama vya siasa? Jamani wenzetu huu ujinga mmeusomea wapi? This is unsual
Naona unaotaNarudia tena ni hivi.. Elimu yetu aitupi utambuzi ata kidogo bali inatufanya tue duni,waoga,waovu,wanafiki,wapuuzi na mandondocha lakini goi goi wa kufikiria.
Wanyarwanda na warundi wanatabia mbaya pale waingiapo madalakani au kuongoza..hamna kiongozi mzawa wa Tanzania ambae angeweza kufanya au kuruhusu huu upuuzi.
WE SHALL OVERCOME
WE SHALL MISS YOU KIKWETE
Ki professional ndiyo kuvaa nguo za CCM? Kwani walinzi si ni usalama na jwtz na Polisi hao wanaruhusiwa kuwa wanachama wa vyama vya kisiasa? Rais angekuwa wa chadema walinzi wasingeruhusiwa kuvaa nguo za chadema wangevaa nguo zao za ki Ulinzi acha kuja na mifano isiyo na mashikoWenzako wako ki professional, wewe unatema pumba. Hivi Rais angekuwa wa Chadema, na hao walinzi wakavaa jezi ya Chadema ungelalamika?
Wewe toa ujinga wako hapa. Tunaongelea walinzi wa Rais sio CCM. Sasa hao walinzi wameingia darasani na wamesoma mbinu mbalimbali za ulinzi. Je, kama katika mitaala yao kuna hiyo ya kuvaa kuendana na tukio husika ili iwe ngumu kujua Nani ni Nani?Mkuu uprofessional kwa ccm ni kwa watumishi wa umma kuvaa sare za vyama vya siasa? Jamani wenzetu huu ujinga mmeusomea wapi? This is unsual
Walinzi hulipwa mishahara kwa kodi za umma ambayo ni pesa ya walipa kodi wote ambao wengi siyo wapenzi wa CCM, walinzi ni watumishi wa umma hawaruhusiwi kuvaa nguo za CCM.Anza kwanza kujiuliza kwanini kaingia na Gari la CCM
Ni matumizi mabaya ya pesa za ummaKatiba ni mbovu sana, mambo ya kichama walinzi wa serikali wanaenda kufanya nini? magari ya serikali hapaswi kutumika kichama, kilichofanyika ni kubadili no kutoka STK na kuwa CCM