Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wewe vp? Hao wanamlinda mwenyekiti wa CCM. Ulitaka wavae za Chadema?Wanajukwaa naomba kuuliza hili la walinzi wa Rais Magufuli kuvaa sare za CCM limekaaje?
Picha nayo umeshindwa kuelewa.Sijaelewa hata point yako ni nini.
Naibu Rais na mtukufu hawaongozi Nchi kwa mujibu wa katiba tu wameongezea Sheria zao binafsi humo humo kwenye katibaAwamu hii wameamua kufuta kabisa mipaka kati ya Chama na Serikali.
Kikatiba sio sahihi kabisaWanajukwaa naomba kuuliza hili la walinzi wa Rais Magufuli kuvaa sare za CCM limekaaje?
CCM ndio habari ya Mjini Sasa hivi Chadema wanachkua mifomu ya uraisi nobody caresChadema wanafuatilia mikutano ya ccm halafu unategemea tushindwe?
Ni ushamba na ulimbukeni. OVAWanajukwaa naomba kuuliza hili la walinzi wa Rais Magufuli kuvaa sare za CCM limekaaje?
Mkuu hata ccm wanavuatilia Mambo ya Chadema tena wakati mwingine kwa kumiss use resources za ummaChadema wanafuatilia mikutano ya ccm halafu unategemea tushindwe?
Kumbe ni fundi cherehaniWame shonewa sare na mama janeth.TZ ya viwanda
Wanajukwaa naomba kuuliza hili la walinzi wa Rais Magufuli kuvaa sare za CCM limekaaje?
Hii ina uhusiano gani na vyombo vya dola kuvaa nguo za CCM?CCM ndio habari ya Mjini Sasa hivi Chadema wanachkua mifomu ya uraisi nobody cares
Macho na masikio nchi nzima ukiwemo Upinzani yako CCM tu habari ya mjini
Kama vipi kwa mfano?Ukiishiwa pumzi unabaki kuhoji vitu ambavyo havina Msingi
Sent from my TECNO KB7j using JamiiForums mobile app
Kuangalia vazi badala ya kuwa na hoja zitakazokiyumbisha vichwa vya watuKama vipi kwa mfano?
Kwa Tz ya leo; hakuna kufuata taratibu bali mtu anavyojisikia kufanya.Hii awamu ya 5 vituko kibao Mara wafungwa kupandisha bendera za ccm