Mkuu are you serious! Tangia lini bodyguard akawa ni green guard?
[It depend kwani hapo si umeona wapo wawili ,bodguard wake wa kila siku na huyo wa kijani,huyo ni bodguard wa chama that's why Yuko na hiyo sare
Aulizae ataka kuju!Povu la nini sasa?Wenzako wako ki professional, wewe unatema pumba. Hivi Rais angekuwa wa Chadema, na hao walinzi wakavaa jezi ya Chadema ungelalamika?
Povu si huwa linatumika kufulia nguo? Hata hilo hulijui mpaka uulize hapa?A
Aulizae ataka kuju!Povu la nini sasa?
Yule mwanajeshi ni 'aide de camp' siyo bodyguard, tunayemjadili ni huyo ambaye kavaa ccm, huyo mweusi tii, titititi, ndiye officially bodyguard.
CCM ina wanausalama wake. Lakini ujue mwenyekiti wa ccm ni rais wa Tanzania. Kofia mbili na mlinzi anaimba wimbo wa kofia mbiliWanajukwaa naomba kuuliza hili la walinzi wa Rais Magufuli kuvaa sare za CCM limekaaje?
Mpaka mtapike mwaka huuHii awamu ya 5 vituko kibao Mara wafungwa kupandisha bendera za ccm
Mtasema sana mchana na usiku mtalalaWanajukwaa naomba kuuliza hili la walinzi wa Rais Magufuli kuvaa sare za CCM limekaaje?
Jenga hojaMpaka mtapike mwaka huu
Hii awamu ya 5 vituko kibao Mara wafungwa kupandisha bendera za ccm
Jenga hoja katika kujibu swali acha uchama apaWenzako wako ki professional, wewe unatema pumba. Hivi Rais angekuwa wa Chadema, na hao walinzi wakavaa jezi ya Chadema ungelalamika?
Mkuu pale magu ameenda Kama mwenyekiti wa ccm,Ila Ile ingekuwa shughuli ya serikali then akaenda na nguo za ccm,tungeshangaa phD yake ni ya aina ganiKwwhiyo hata Magufuli hapaswi kuvaa sare za ccm kwenye vikao kama hivyo?
Labda TISS Sasa instudhibitishia rasmi kuwa wao ni chombo cha ccm na Wala si chombo cha watanzania na nchi yetu Kama tunavyojidanganyaPresidential detail ana camouflage wakati identity yake iko compromised kitambo? Hiyo sura ya jamaa kila mtu anaijua so hahitaji kuwa undercover. Kma walinzi wa kisiri kibao tu wamejichanganya kwenye kadamnasi.
Rais ni post ya kisiasa ila TISS ni watumishi ambao kisheria hawapaswi kuwa na chama kabisa ssa nashangaa watu mmatetea humu wakati ni ukiukwaji sheria.
Usalama wa taifa wanabadilika kulingana na mahitaj ya mazingira husika muda mwingine wanajifanyaga hata machiz ili mrad lengo lao litimie.Wanajukwaa naomba kuuliza hili la walinzi wa Rais Magufuli kuvaa sare za CCM limekaaje?
Mlinzi na yeye ni mwanachama wa CCMWanajukwaa naomba kuuliza hili la walinzi wa Rais Magufuli kuvaa sare za CCM limekaaje?
Hao jamaa Hadi ndani ya cdm wamo wanashirik vikao na gwanda wanavaa.Labda TISS Sasa instudhibitishia rasmi kuwa wao ni chombo cha ccm na Wala si chombo cha watanzania na nchi yetu Kama tunavyojidanganya
Magufuli analipwa pesa za nani?Walinzi hulipwa mishahara kwa kodi za umma ambayo ni pesa ya walipa kodi wote ambao wengi siyo wapenzi wa CCM, walinzi ni watumishi wa umma hawaruhusiwi kuvaa nguo za CCM.