Mlinzi wa Rais kuvaa sare za chama ni sahihi?

Mlinzi wa Rais kuvaa sare za chama ni sahihi?

Sishangai kwani uyo mwamba si ndo alikuwa anamlinda Jiwe kwenye kampeni za 2015, Wakati hajachaguliwa kuwa Rais? Infact Mwana alikuwa amemis kuvaa gamba la CCM.
 
watu ni wasahaulifu sana! tulie na katiba ila kiukweli hii nchi ni ya chama kimoja japo tunaamnishwa ni ya vyama vingi! je mnajua urais mtu anaupata mara tuu anapoteuliwa na ccm na kuanza kulindwa na usalama? so kwa hili la leo mie sishangai. nawakumbusha kidogo 2015 mlizi wa rais wa sasa huyu nyuma yake ndiye alikua mlinz kwenye kampeni. sasa jiulizeni uvccm anaweza kuwa mlinzi wa rais? means usalama hutoa ulinz kwa mgombea wa ccm mara tuu anapoteuliwa na vikao!
 
Hizo mbinu akina Kikwete walikuwa hawazijui?
Unaelewa unachokiongea? Hawavai nguo sababu ya ushabiki, ni mbinu ya kublend in na crowd. Wewe umemuona huyo mmoja tu, wape wengi sana hapo ambao mtu wa kawaida atawagundua tu wachache wanaonekana karibu na mkuu. Fuatilia baadhi ya event za nyuma za JK, kuna walinzi walikuwa wanavaa hayo mashati.
 
Hao ni walinzi wa kisiasa wanaitwa Green guard,hata chadema wanao hao walinzi,so ni kawaida tu
 
Wanajukwaa naomba kuuliza hili la walinzi wa Rais Magufuli kuvaa sare za CCM limekaaje?

Siyo kawaida, hiyo ni kasoro kubwa sana ya kiufundi.

Huyo usalama wa taifa ni mtumishi wa 'vyombo vya ulinzi na usalama'.

Hivyo kikatiba na kisheria, watumishi wa kada ya 'ulinzi' hawana uanachama, kushabikia wala kuvaa sare ya chama chochote kile, kwao ni mwiko mkubwa unaofahamika na kila member.

Mapenzi na ushabiki unatakiwa uhifadhiwe moyoni mwa mtu binafsi na kisha ukafanyiwe ndani ya sanduku la kura pekee na si hadharani kuonesha askari huyo anashabikia nini ama upande gani, never.
 
Wenzako wako ki professional, wewe unatema pumba. Hivi Rais angekuwa wa Chadema, na hao walinzi wakavaa jezi ya Chadema ungelalamika?
Yani ccm nasikiaga hamna akili sasa nakubali!!! Hapo hata ingekua ACT ni sawa?? Ndio maana hata shule mnafeli mnabaki kufoji vyeti!! Kama DAB
 
Kwani nguo zake Za kazi Huyo mlinzi ni zipi? Anauniform Zake za kazi ambazo hakuvaa siku Hiyo? Au huwa anavaa kadiri ya mazingira ya siku Hiyo?
 
1. Hivi mlinzi wa raisi (Usalama wa Taifa) ana chama akiwa kazini?
2. What if ye ni mpenzi wa upinzani au hataki chama?
3. Kesho akiingia mpinzani ikulu atabadilisha chama?
4. Mbona wamevaa mavazi ya CCM wakiwa kazini?

Maana mlinzi wa JPM na Sheini wotee walivaa nguo za CCM...!!!!

Najua sheria za Utumishi wa Umma haijamkataza mtumishi wa umma kuwa na chama (kushiriki siasa) ila zimeelekeza azifanye sio kipindi cha kazi.

View attachment 1502836
Mlinzi ana kadi ya CCM?
 
Wewe ni mjinga uliyepitiliza. Hivi hujui kuwa Magu ni mwenyekiti wa CCM na amepata cheo hicho kupitia CCM. Sasa jiulize huyo mlinzi alipata kazi kwa kugombea kupitia CCM? Ndugu yangu, kuna utumishi wa umma na utumishi kwa kofia ya chama. Mmeharibu nchi yetu na mifumo yake yote nyie watu. Namwonea huruma huyo ajaye baada ya kituko hiki kilichopo ambaye ataanza upya kuijenga nyumba yetu. Nyumba yetu kila mahali ni matobo matupu!
Zipo wapi zile trilion 1.5 zilizomtoa CAG kafara? Zipo wapi trilion 12 za Ndungai?
 
Kwanza kabisa Ndugu mtoa mada ninaomba utambue kuwa katika madani za kiulinzi kuna mbinu mbalimbali za kiulinzi, moja ni pamoja na ile atumiaye Kinyonga ya kujibadili kutokana na mazingira kitaalam inaitwa camouflage

pili ninaomba sote tutambue kuwa kuvaa nguo zinazofanana na watu wa chama fulani, sio sifa ya kukueleza kuwa ww ni mwanachama wa chama husika.

Mwisho kabisa nimalize kwa kujibu swali lako, kuwa kuvaa vile kwa walinzi wa MHe. Rais ni halali kabisa, ni sawa tu siku ukimuona amevaa suti,combat au shati la kawaida.
Presidential detail ana camouflage wakati identity yake iko compromised kitambo? Hiyo sura ya jamaa kila mtu anaijua so hahitaji kuwa undercover. Kma walinzi wa kisiri kibao tu wamejichanganya kwenye kadamnasi.

Rais ni post ya kisiasa ila TISS ni watumishi ambao kisheria hawapaswi kuwa na chama kabisa ssa nashangaa watu mmatetea humu wakati ni ukiukwaji sheria.
 
CCM wamevunja Sheria lakini kwa kuwa ni wababe sisi tutaishia kuwambia ukweli wajue watanzania siyo wajinga wanajua wamevunja katiba ya Nchi kuwavalisha vyombo vya dola nguo zao za CCM
 
Unaelewa unachokiongea? Hawavai nguo sababu ya ushabiki, ni mbinu ya kublend in na crowd. Wewe umemuona huyo mmoja tu, wape wengi sana hapo ambao mtu wa kawaida atawagundua tu wachache wanaonekana karibu na mkuu. Fuatilia baadhi ya event za nyuma za JK, kuna walinzi walikuwa wanavaa hayo mashati.
Yawezekana kuna ukweli, unaonaje ukitupia picha ya aliyekuwa akimlinda Kikwete, Mkapa, Mwinyi au hata Nyerere akiwa na jezi za.CCM
 
Back
Top Bottom