Mlinzi wa Rais kuvaa sare za chama ni sahihi?

Mlinzi wa Rais kuvaa sare za chama ni sahihi?

Hivi ni lazima awepo mtu na mgwanda yake nyuma ya rais, mbona wenzetu hawana haya mambo.
 
Sidhan kama ni sahihi kwa secret servant kuvaa sare za chama cha siasa maana huyo ana jukumu la kutulinda wote hata tusio na vyama bila ya upendeleo wowote
Waacheni wavae... na bunge lote na ikiwezekana lijalo liwe lao kama watakavyo... ikibidi vyama vingine vyote wavifute kibaki chao halafu tusubiri miaka mitano ikiisha tukio gani litatukia
 
maswali mengine kuyauliza,ni matumizi mabaya ya mawazo yako...
mbona hushangai raisi hapo kuwa na walinzi wawili??
 
Habarini Wakuu

Kuna jambo linanitatiza sana sana yani. Katika kampeni zilizoanza za Rais John Magufuli, amekuwa akionekana jukwaani na popote akiwa na walinzi waliovalia sare za kijani yaani CCM. Wale jamaa ni wa kitengo kabisa na hawapaswi kuwa na chama chochote kwani TISS ni chombo huru na hakipaswi ku-align kwenye chama chochote cha siasa. Sasa zile uniforms za kijani, nani kaziruhusu?

Najua humu kuna wanasheria na wadau wa ngazi za juu serikalini, naomba tusaidiane. Maana mimi naliona jambo la hatari sana hapa!
1599147677522.png
1599148250037.png
 
Habarini wakuu;
Kuna jambo linanitatiza sana sana yani. Katika kampeni zilizoanza za Rais John Magufuli, amekuwa akionekana jukwaani na popote akiwa na walinzi waliovalia sare za kijani yaani CCM. Wale jamaa ni wa kitengo kabisa na hawapaswi kuwa na chama chochote kwani TISS ni chombo huru na hakipaswi ku-align kwenye chama chochote cha siasa. Sasa zile uniforms za kijani, nani kaziruhusu? Najua humu kuna wanasheria na wadau wa ngazi za juu serikalini, naomba tusaidiane. Maana mimi naliona jambo la hatari sana hapa!
Ni matusi kwa watanzania yaani Magufuli yeye yuko juu ya sheria aibu zake yaani ushamb wake umekolea hajitambui
 
Wao ni kama kinyonga mavazi yao hubadilika kulingana na mazingira hivyo kama wangekuwa wanamlinda Lissu wangekuwa ndani ya khaki kama makamanda uchwara
 
Tupe Sheria na taratibu za kazi zao Kama zinakataza.
Kuvaa nguo ya chama husika Nikuwa mwanachama wa Chama husika?
Je katika kutekeleza majukumu yao ya kazi hawaruhusiwi kuvaa nguo Za vyama na taasisi nyingine?

Sent from my Infinix X603 using JamiiForums mobile app
 
Nchi hii utawala bora ni tatizo kubwa!! Tuna mfumo wa vyama vingi ndani ya mfumo wa chama kimoja.

Ndiyo maana tuseme yatosha!! Lissu atosha 2020.
 
Habarini Wakuu

Kuna jambo linanitatiza sana sana yani. Katika kampeni zilizoanza za Rais John Magufuli, amekuwa akionekana jukwaani na popote akiwa na walinzi waliovalia sare za kijani yaani CCM. Wale jamaa ni wa kitengo kabisa na hawapaswi kuwa na chama chochote kwani TISS ni chombo huru na hakipaswi ku-align kwenye chama chochote cha siasa. Sasa zile uniforms za kijani, nani kaziruhusu?

Najua humu kuna wanasheria na wadau wa ngazi za juu serikalini, naomba tusaidiane. Maana mimi naliona jambo la hatari sana hapa!
View attachment 1557686
Kwani Waliokuwa na Tundu Lissu unawafaham
 
Mkuu Kuna pahala akili yako imekwama kufikiri?
Habarini Wakuu

Kuna jambo linanitatiza sana sana yani. Katika kampeni zilizoanza za Rais John Magufuli, amekuwa akionekana jukwaani na popote akiwa na walinzi waliovalia sare za kijani yaani CCM. Wale jamaa ni wa kitengo kabisa na hawapaswi kuwa na chama chochote kwani TISS ni chombo huru na hakipaswi ku-align kwenye chama chochote cha siasa. Sasa zile uniforms za kijani, nani kaziruhusu?

Najua humu kuna wanasheria na wadau wa ngazi za juu serikalini, naomba tusaidiane. Maana mimi naliona jambo la hatari sana hapa!
View attachment 1557686
 
Dunia haiko fair, yaani Wakati Mgombea Urais wa CCM analindwa na TISS, mgombea wa Chadema analindwa na Jeshi la Akiba😂😂
 
Back
Top Bottom