bongo dili
JF-Expert Member
- Feb 13, 2015
- 12,350
- 25,180
Hata ofisini Bora boss awe mchaga asiwe muhayaKabisaa aisee hawa watu wanaona ardhi sijui kama al masi au dhahabu kwa kweli ,ila wahaya hawafai kabisa bora hata wachaga nawaona wana nafuu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hata ofisini Bora boss awe mchaga asiwe muhayaKabisaa aisee hawa watu wanaona ardhi sijui kama al masi au dhahabu kwa kweli ,ila wahaya hawafai kabisa bora hata wachaga nawaona wana nafuu
Kweli dawa ya ubaya ni wemaMimi alikuwa jamaa anahamia nyumba yake mitaa niliyopanga, sasa kufika mpaka lilipo geti lake kuna nyumba ipo barabarani na hio barabara ni ya huyo jamaa aliitoa tu watu wapite.
Siku ya kwanza ikapita kimya, after a week mke wa yule jamaa akamuambia mume wake, huyu mwanajeshi anapitisha gari lake.
Basi kesho asubuhi akamsubiri apite, alivyopita tu akamsimamisha akamwambia naomba hii njia ife sababu ni sehemu yangu halafu anaongea kwa nguvu. Yule mwanajeshi akasema haina shida ndugu alimjibu very humble.
Baada ya kama wiki kazaa yule mjeshi akamtuma mtu aongee na jamaa, yule mzee akagoma ikabidi mzee amfate kwake, akamwambia ndugu yangu naomba ninunue hii njia. Uwezi amini yule mjeshi alinunua ile njia kwa 2milion.
Na hakukataza mtu.
Baada ya muda yule mzee alikufa sababu alikuwa anakunywa sana pombe wanasema mapafu yalipata shida. Siku anazidiwa usiku wa manane walienda kumuomba usafiri yule mwanajeshi. Bila kinyongo jamaa alitoka usiku kumpeleka hosptali mpaka kwenye msiba jamaa alitoa maturubai yake.
Viumbe vzuri bado vipo duniani.
Wachaga wananafuu sana kiongozi ,tofauti na wahaya aiseeHata ofisini Bora boss awe mchaga asiwe muhaya
Mchaga atakupiga TU kwenye mgao na sio roho mbaya ya kukufukuzisha KAZI kama mhayaWachaga wananafuu sana kiongozi ,tofauti na wahaya aisee
ili yeye ndiye aanze kuonekana mchawi sasa na mpinga maendeleo ya mtaa.Kwann ujenge mtaa unaowazidi maendeleo tegemea hayo.
Ishi mtaa ambao wewe ndie masikini
Hilo shimo amelichimba kwa kazi gani?
Hawa watu ni wanoko sana, hawapendi uwazidi popote washenzi kweli wanajipa umungu mtu wanapenda kutukuzwa sanaMchaga atakupiga TU kwenye mgao na sio roho mbaya ya kukufukuzisha KAZI kama mhaya
Wahaya ni wanaroho mbaya sana aisee ,na wabinafsi sana ,Mchaga atakupiga TU kwenye mgao na sio roho mbaya ya kukufukuzisha KAZI kama mhaya
Hawa watu ,wanataka wao ndo wawe juu ,wenye hela wao ,wasomi wao ,yaani kila kitu ni wao tuNina jirani yangu mmoja muhaya ana mdomo huyo na majigamboo juuu
Hasa wale wagandakyaka ni jiojifichia kwenye uhaya au wale warundi wanyarwanda wanaojiita wahayaWahaya ni wanaroho mbaya sana aisee ,na wabinafsi sana ,
Hawa watu ,wanataka wao ndo wawe juu ,wenye hela wao ,wasomi wao ,yaani kila kitu ni wao tu
Hahaaaaa kuishi na watu weusi ni kazi sana.Kabisa aisee na uwe mtata ila ukiwa mpole watakupanda kichwani ,majirani ni watu wa ajabu sana nimejifunza ww unaweza kuwa fea ila wakakukanyagia tu ,na hata ukisema ujitoe kwa kiasi gani kwa ajili ya ujirani malipo utayolipwa na maneno ya kuzushiwa hutakaa kuwa na hamu wala ushirikiano na hao majirani ,Mungu akikujaalia ,weka fensi piga geti m'baki salamu au kukutana kwenye msiba au shereha tu
Yes wangekuwa wale makuruta kesho yake jamaa angewaita wenzake wakajazana hapo kumtisha mwenye barabaraHahahah, Ila heshima huja kwa kuweka busara mbele.. huyo Mwanajesh ata cheo atapata kazin kwa urahisi maana hana ubabe wa kijinga bali amebarikiwa hekima.. ukifuatiloa utakuta ana cheo. na hicho cheo hupewi wajinga wasio na busara .ninamtabiria cheo kikubwa zaidi uko mbelen