Mlio Hamia nyumba zenu mpya, Majirani zenu Shwari au Vita?

Mlio Hamia nyumba zenu mpya, Majirani zenu Shwari au Vita?

Hasa wale wagandakyaka ni jiojifichia kwenye uhaya au wale warundi wanyarwanda wanaojiita wahaya
Yaani aisee ni kizaazaaa mm nnae mmoja nimepakana nae ,Aisee tumeminyana sana ,kuna hawa wahaya na wagogo kwa ubishiiii na kugombania mipaka
 
Hatari mkuu najionea mwenyewe… ana visanga ila nakomaa nae
Yaani hao mkuu usiwe mnyonge,ukiwa mnyonge watakuendesha pambana nao mpaka mwisho ,mm nnavisanga vingi vya hawa jamaa sema mvivu kuandika washanipitisha kwenye mambo magumu mengi ila nashukuru mungu wanaanza kulipia moja baada ya lingine
 
Hahaaaaa kuishi na watu weusi ni kazi sana.
Sana mzee na ili ufaulu kuishi na watu weusi ,jifunze kutengeneza mipaka na watu , Usiruhusu wakuzoe kupita kiasi na kukujua kwa undani ,Ishi nao kwa tahadhari
 
Sana mzee na ili ufaulu kuishi na watu weusi ,jifunze kutengeneza mipaka na watu , Usiruhusu wakuzoe kupita kiasi na kukujua kwa undani ,Ishi nao kwa tahadhari
Watakuambia unaringa na unajitenga. Wanakusubiri upate majanga ndio utawajua. Mungu atusaidie maaana dah, jamaa hawana wema.
 
Back
Top Bottom