Baris
Member
- Feb 7, 2023
- 45
- 188
Yaani aisee ni kizaazaaa mm nnae mmoja nimepakana nae ,Aisee tumeminyana sana ,kuna hawa wahaya na wagogo kwa ubishiiii na kugombania mipakaHasa wale wagandakyaka ni jiojifichia kwenye uhaya au wale warundi wanyarwanda wanaojiita wahaya