Mlio Hamia nyumba zenu mpya, Majirani zenu Shwari au Vita?

Kweli dawa ya ubaya ni wema
 
Kununiwa bila sababu, hujatukana wala kugombana na mtu ila unanuniwa tu na majirani.
 
Hahaaaaa kuishi na watu weusi ni kazi sana.
 
Kuna watu kwa lugha ya kizungu cha mtaani wanaitwa "KAREN" Hawa ni wale watu wanoko hawaridhiki mpaka wakikuona unateseka na wanajihisi wao ndio wao wengine wote hawastahili.

Ukipata jirani wa hivi utajua haujui.
 
Yes wangekuwa wale makuruta kesho yake jamaa angewaita wenzake wakajazana hapo kumtisha mwenye barabara
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…