Yaani hao mkuu usiwe mnyonge,ukiwa mnyonge watakuendesha pambana nao mpaka mwisho ,mm nnavisanga vingi vya hawa jamaa sema mvivu kuandika washanipitisha kwenye mambo magumu mengi ila nashukuru mungu wanaanza kulipia moja baada ya lingine
Sana mzee na ili ufaulu kuishi na watu weusi ,jifunze kutengeneza mipaka na watu , Usiruhusu wakuzoe kupita kiasi na kukujua kwa undani ,Ishi nao kwa tahadhari
Sana mzee na ili ufaulu kuishi na watu weusi ,jifunze kutengeneza mipaka na watu , Usiruhusu wakuzoe kupita kiasi na kukujua kwa undani ,Ishi nao kwa tahadhari