Mlio katika ndoa poleni, mnagongewa sana

Do! hiyo haipo ndugu tena hao ndio vichochoro wengi hawajui mitego ya kisasa ya wanaume sema wao wanausiri ila hakuna kitu ndugu
 
Hujaongopa
 
Mtu anatumia mwili wake kwa ajili yake mwenyewe
 
Huwezi kufanya hitimisho kwa Kutumia taarifa ya mtu mmoja.Huo ni utafiti feki.
Mkuu sisi sote tunaishi katika jamii,tunashuhudia mengi,lakini ugoni tunaona,maugomvi ya kutoaminiana tunayaona na kuyasikia.
MTOA MADA YUKO SAHIHI sema kwa kuwa tumeoa tunajaribu kujifariji tu ilimradi tuonekane hatugongewi
 
Mkuu hao wake za watu ndio hawa wake zetu na watu wenyewe ndo sisi
 
Mbona kawaida tu, ulimwengu huu kuna mwanaume ana hofu kuu kua anagongewa mkewe?
 
Mvuvi wa samaki haijalishi anaushawishi mkubwa ana uhakika wa kipato daily kuliko hata mtumishi wa mwisho wa mwezi, habari ya mwa mwanamke tuisemee katika uzinzi ila si kwa aina ya riziki ulionayo. Watu wenye mahaba ya vitu acha tu. Mathias I Mvula kala wife wa mwanetu kisa offer ya kubadilishiwa muundo ambayo nayo haikufanikiwa ila alishakula na anakula kwa kiburi na jeuri
 
Uzinzi na umalaya ni kipaji kama ilivo kucheza mpira au basket ball na inaonekana mapema kama vipaji vingine tu toka udogoni ndio maana mkiambiwa mchague wa kuzaa naye mnakuwa na jazba na hasira,serikali hawezi kuingilia vipaji vya watu its in human nature.

WHERE THERE IS A WHEEL, THERE IS A WAY!!

Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
 
Hakuna cha hofu ya mungu wala nini,kuna mama mchungaji huku anatafunwa ,omba upate mke anayejitambua sio mwenye hofu ya mungu
Sio mmoja mama wachungaji wengi mm nawafahamu na bado wanabonywa kwa kawaida....

Ila kua mama mchungaji haimaanishi ndio anahofu ya Mungu mkuu na Kua mchungaji haimaanishi ndio unamcha Mungu
 
Do! hiyo haipo ndugu tena hao ndio vichochoro wengi hawajui mitego ya kisasa ya wanaume sema wao wanausiri ila hakuna kitu ndugu
Ndio ninachokazia Kua aidha wamekuigizia hofu ya Mungu ila binafc hamchi Mungu ila Akiwa machoni pa watu anajikuta mwema
 
Sio mmoja mama wachungaji wengi mm nawafahamu na bado wanabonywa kwa kawaida....

Ila kua mama mchungaji haimaanishi ndio anahofu ya Mungu mkuu na Kua mchungaji haimaanishi ndio unamcha Mungu
Kabisa mkuu,kinachotakiwa ni mke kujitambua awe ana mcha mungu au la
 
Kabisa mkuu,kinachotakiwa ni mke kujitambua awe ana mcha mungu au la
Mkuu hapo nimemaanisha kumcha Mungu maana akimcha Mungu lazima atakua anajielewa tu, ila ukikutana na bonywabonywa then anasema anamcha Mungu ujue huyo anaigiza tu
 
Subiri ukue vizuri ndio utaelewa somo usijiue tu bwana mdogo

NB: Ukitaka kujua una kili timamu funga ndoa Kisha mwanamke akuvuruge ndio tutajua una akili timamu au dishi limeyumba

Ndoa ndio kipimo sahihi kwa mwanaume kuwa amekamiliki,ana moyo ,ana uvumilivu,na akili iko sawa ukijiona hujao Bado jua akili yako Bado changa sana
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…