Mlio katika ndoa poleni, mnagongewa sana

Mlio katika ndoa poleni, mnagongewa sana

Anhaa!....Ila ukioa mwanamke ambaye hana hofu ya Mungu basi ni rahisi mno Kuumia kila kukicha mkuu

Kama mwanamke wa kwanza(Hawa) ambaye ni mama wa wanawake na viumbe wote jamii ya wanadamu kadanganywa unafikiri hawa wengine itakuaje mkuu???

Kikubwa awe na hofu ya Mungu la sivyo lolote linaweza kutokea safarini
Do! hiyo haipo ndugu tena hao ndio vichochoro wengi hawajui mitego ya kisasa ya wanaume sema wao wanausiri ila hakuna kitu ndugu
 
Hakuna watu rahisi kulana kama wanandoa, yaani nimeshuhudia kwa macho yangu kabisa mke wa mtu ana watoto wawili na tena alikuwaga single mother akaolewa na mumewe ni dereva wa bajaji wakapata mtoto sasa jana nimeona akitoka guest house na jamaa fulani mvuvi wa samaki imeniuma sana kwa kweli nawapa pole mliooa mnapigiwa sana.

Mnisamehe kama nimekosea kusema haya ila kwa kweli kama mkeo hana tabia hio basi hongera kwa familia zenu ila huo ndo ukweli wenyewe mimi ni shahidi kabisa.

Hujaongopa
 
Mtu anatumia mwili wake kwa ajili yake mwenyewe
 
Huwezi kufanya hitimisho kwa Kutumia taarifa ya mtu mmoja.Huo ni utafiti feki.
Mkuu sisi sote tunaishi katika jamii,tunashuhudia mengi,lakini ugoni tunaona,maugomvi ya kutoaminiana tunayaona na kuyasikia.
MTOA MADA YUKO SAHIHI sema kwa kuwa tumeoa tunajaribu kujifariji tu ilimradi tuonekane hatugongewi
 
Ni ukweli tu kuwa hao tunaowaita "wake za watu" baadhi yao kwa sasa ni wanachezea vibaya mno, kuna wakati nadhani hata singles wana afadhali katika hili, nashindwa kuelewa ni nini, stress za ndoa, tamaa za mali, kukosa kuridhishwa au matamanio ya kibinadamu. Kuna uwezekano wababa wanaolea damu zisizo zao wanaongezeka sana kizazi hiki coz baadhi ya hawa wake zetu wanachapika hakuna mfano.
Mkuu hao wake za watu ndio hawa wake zetu na watu wenyewe ndo sisi
 
Mbona kawaida tu, ulimwengu huu kuna mwanaume ana hofu kuu kua anagongewa mkewe?
 
Hakuna watu rahisi kulana kama wanandoa, yaani nimeshuhudia kwa macho yangu kabisa mke wa mtu ana watoto wawili na tena alikuwaga single mother akaolewa na mumewe ni dereva wa bajaji wakapata mtoto sasa jana nimeona akitoka guest house na jamaa fulani mvuvi wa samaki imeniuma sana kwa kweli nawapa pole mliooa mnapigiwa sana.

Mnisamehe kama nimekosea kusema haya ila kwa kweli kama mkeo hana tabia hio basi hongera kwa familia zenu ila huo ndo ukweli wenyewe mimi ni shahidi kabisa.

Mvuvi wa samaki haijalishi anaushawishi mkubwa ana uhakika wa kipato daily kuliko hata mtumishi wa mwisho wa mwezi, habari ya mwa mwanamke tuisemee katika uzinzi ila si kwa aina ya riziki ulionayo. Watu wenye mahaba ya vitu acha tu. Mathias I Mvula kala wife wa mwanetu kisa offer ya kubadilishiwa muundo ambayo nayo haikufanikiwa ila alishakula na anakula kwa kiburi na jeuri
 
Uzinzi na umalaya ni kipaji kama ilivo kucheza mpira au basket ball na inaonekana mapema kama vipaji vingine tu toka udogoni ndio maana mkiambiwa mchague wa kuzaa naye mnakuwa na jazba na hasira,serikali hawezi kuingilia vipaji vya watu its in human nature.

WHERE THERE IS A WHEEL, THERE IS A WAY!!

Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
 
Hakuna cha hofu ya mungu wala nini,kuna mama mchungaji huku anatafunwa ,omba upate mke anayejitambua sio mwenye hofu ya mungu
Sio mmoja mama wachungaji wengi mm nawafahamu na bado wanabonywa kwa kawaida....

Ila kua mama mchungaji haimaanishi ndio anahofu ya Mungu mkuu na Kua mchungaji haimaanishi ndio unamcha Mungu
 
Do! hiyo haipo ndugu tena hao ndio vichochoro wengi hawajui mitego ya kisasa ya wanaume sema wao wanausiri ila hakuna kitu ndugu
Ndio ninachokazia Kua aidha wamekuigizia hofu ya Mungu ila binafc hamchi Mungu ila Akiwa machoni pa watu anajikuta mwema
 
Sio mmoja mama wachungaji wengi mm nawafahamu na bado wanabonywa kwa kawaida....

Ila kua mama mchungaji haimaanishi ndio anahofu ya Mungu mkuu na Kua mchungaji haimaanishi ndio unamcha Mungu
Kabisa mkuu,kinachotakiwa ni mke kujitambua awe ana mcha mungu au la
 
Kabisa mkuu,kinachotakiwa ni mke kujitambua awe ana mcha mungu au la
Mkuu hapo nimemaanisha kumcha Mungu maana akimcha Mungu lazima atakua anajielewa tu, ila ukikutana na bonywabonywa then anasema anamcha Mungu ujue huyo anaigiza tu
 
Hakuna watu rahisi kulana kama wanandoa, yaani nimeshuhudia kwa macho yangu kabisa mke wa mtu ana watoto wawili na tena alikuwaga single mother akaolewa na mumewe ni dereva wa bajaji wakapata mtoto sasa jana nimeona akitoka guest house na jamaa fulani mvuvi wa samaki imeniuma sana kwa kweli nawapa pole mliooa mnapigiwa sana.

Mnisamehe kama nimekosea kusema haya ila kwa kweli kama mkeo hana tabia hio basi hongera kwa familia zenu ila huo ndo ukweli wenyewe mimi ni shahidi kabisa.

Subiri ukue vizuri ndio utaelewa somo usijiue tu bwana mdogo

NB: Ukitaka kujua una kili timamu funga ndoa Kisha mwanamke akuvuruge ndio tutajua una akili timamu au dishi limeyumba

Ndoa ndio kipimo sahihi kwa mwanaume kuwa amekamiliki,ana moyo ,ana uvumilivu,na akili iko sawa ukijiona hujao Bado jua akili yako Bado changa sana
 
Back
Top Bottom