Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hahahaaaaa!!![emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
W'suup dude, is you aait! [emoji125]
Hata mkifumaniana mnachukuliana tu maana mtafanyaje sasa na ndio ishakuwa!!Nipe nikupe bandika bandua kwa kwenda mbele. Hatari lakini I hope itakuwa salama.
Wazo mubashara kabisa kwa kweli. [emoji106] [emoji122]
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Nimekoma mazima sio kwa tusi hilo
Nalendwa nyingine hii[emoji23] [emoji23] [emoji23]Ila Daby Maisha yenyewe haiyahitaji hasira hayaaa...
ID mpya ikiwa palatable pelekea tongozo ikielekea kibla jiandae kujinja[emoji23][emoji23][emoji23]
Ukifika eneo la tukio ukikuta ulishapitiamo [emoji12] msijiulize kuraaa tenaaaa alafu badae mnajichekaaaa then life goes on.
Mi kuna wawili nawatamaniaaa basi tu nipo nna "ndoano".
Wewe shangazii nawewe unataka unigawe km kaka yako eee sawa tu[emoji24] mi siyo Atoto shangaziiAtoto nahisi ndio jovitha.
Hahah et jf siasa tuMimi JF ndo kwanza nimeijua juzi... Nilidhani ni mambo ya siasa tu humu. Ila nna mpango wa kufungua account nyingine nije nilete bandiko Love connect
Ouk nimekuelewa 10x...ha ha sahv idilit tu ipo kichwanAndika email kwa support@jamiiforums.com ukiwapa jina unalotaka kutumia.
Sema asante babu kabla sijadelete hii post
Duh kazi kweli kweli...🙂🙂Ila Daby Maisha yenyewe haiyahitaji hasira hayaaa...
ID mpya ikiwa palatable pelekea tongozo ikielekea kibla jiandae kuchinja[emoji23][emoji23][emoji23]
Ukifika eneo la tukio ukikuta ulishapitiamo [emoji12] msijiulize kuraaa tenaaaa alafu badae mnajichekaaaa then life goes on.
Mi kuna wawili nawatamaniaaa basi tu nipo nna "ndoano".
Hahaaaaaa Ujue hata Mimi nilichekaaa nilihisi kamba Fulani hiviHahah et jf siasa tu
Babuuuu umeanza lini tabia ya kumpigia mjukuu wako promooo????[emoji85]Jovitha huyu huyu mjukuu wangu mbona hapendi pesa sasa! Jovitha anapenda vifua vipana
Mi mkongwe kwenye nini babuu...Umeskia Jovitha naye kumbe mkongwe
Daaaah mkuu umenikumbusha hawa Lady doctor sosoliso gfsonwin Preta amu DEMBA @mimi49 TUMBOO geniveros miss chagga Miss Neddy Karucee Munkari Heaven on Earth Kasinde Evelyn Salt na wengine wengi hizi brand zimezaliwa upya au? Hiziwiki tena aisee
Shangaziiiiiii???????[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Unadhani nani hapendi pesa?
Sawa aunty mekuelewa, mimi sikugawi jamani.Wewe shangazii nawewe unataka unigawe km kaka yako eee sawa tu[emoji24] mi siyo Atoto shangazii
We unamsikiliza Daby ohooo shauri ykoTutanyooka tu mkuu...haiwezekani ID mpya lakini imechangamka kweli kweli....