Mliobadili ID....

Mliobadili ID....

Huu uzi umepoa kwasababu watu wameamua kwenda kufanya practical matokeo yake ni mabaya sana. Pita kule love connect kuna moto umewaka na ban zimetembea za kutosha.
Aseeh nimeuona huo uzi nipo page ya 32 ngoja nitaleta mrejesho.

Mwanyasi et al ulisema uzi tuufanye nyumbani ila naona mmeukimbia
 
Ni kweli huu unafaa uwe Makapuku 2 special for old timers....na warembo akina espy Nalendwa Jovitha Paprika Shunie etc
Jovitha ni old timer!!! Au umempendelea kwakuwa pacha wako?
Ufanye uwe active bwana, story zetu tunapigia humu, maana kuna muda unaingia jf alafu hata huoni uzi wa kuchangia. Na wengine ndio mtandao wetu pendwa huu.

Nalendwa leo sijui kafichwa na nani!! Daby kaopoa sijui toto la wapi karudi kutangaza ndoa, nimemuomba anisaidie kukushawishi na wewe sasa.
 
Jovitha ni old timer!!! Au umempendelea kwakuwa pacha wako?
Ufanye uwe active bwana, story zetu tunapigia humu, maana kuna muda unaingia jf alafu hata huoni uzi wa kuchangia. Na wengine ndio mtandao wetu pendwa huu.

Nalendwa leo sijui kafichwa na nani!! Daby kaopoa sijui toto la wapi karudi kutangaza ndoa, nimemuomba anisaidie kukushawishi na wewe sasa.
Jovitha na wengineo ni kundi lenu warembo....
 
Huu uzi umepoa kwasababu watu wameamua kwenda kufanya practical matokeo yake ni mabaya sana. Pita kule love connect kuna moto umewaka na ban zimetembea za kutosha.
Hahaaaa!! Practical gani? Ya kufungua new ids au?
 
Jovitha ni old timer!!! Au umempendelea kwakuwa pacha wako?
Ufanye uwe active bwana, story zetu tunapigia humu, maana kuna muda unaingia jf alafu hata huoni uzi wa kuchangia. Na wengine ndio mtandao wetu pendwa huu.

Nalendwa leo sijui kafichwa na nani!! Daby kaopoa sijui toto la wapi karudi kutangaza ndoa, nimemuomba anisaidie kukushawishi na wewe sasa.
Ujue nimepitia ule uzi nikapata msemo mmoja.

Watu wengine wapo serious JF lakini sisi huwa tunawa ektia.
 
Sasa mdogo wangu hebu tuongee vizuri, hilo penzi jipya gani lililokuchanganya hivyo hadi utangaze ndoa!! Au ni mkenya?
Sijatangaza ndoa bwana. Ila nime predict utangazwaji wa ndoa. Hivi sister hili zoezi la watumishi hewa halijakupitia? Maana mmmh
 
Tuuendelezi Ngoda maana naona umeanza kule impact. Nimepita love connect nimekutana na stori mpya sijawahi zisikia.

Ila nimejifunza kitu JF baada ya kuupitia huo uzi
Umejifunza nini?[emoji101] [emoji101] [emoji101] [emoji85] [emoji85]
 
Ujue nimepitia ule uzi nikapata msemo mmoja.

Watu wengine wapo serious JF lakini sisi huwa tunawa ektia.
Kwakweli kama wewe tunaomba tu utuwekee list yako humu, maana hatuchelewi kukuta kijiji kizima tupo kwenye list moja[emoji134] [emoji134] [emoji134]
 
Back
Top Bottom