Mliobadili ID....

Guys this thread is simply chit chat nothing serious. Btw wewe uliweka wazi ID yako ya zamani na mpya no confusion.
 
Reactions: BAK
Kweli ID mingi za zamani zipo kimya sana, kuna ID mpya za 2016-2017 afu nyingi ni za kike.

Wazee wenzangu 2013 kushuka chini mpo wapi Jamani!???
Tupo....
 
Unabadili ID ili iweje? Hebu tuwekee sababu za kina za kuwa na ID zaidi ya moja na unapozitumia hutaki watu wajue kwamba una ID A, B, C labda na kuendelea
kaka angu inaonekana hili swala hulipendi kabisa la kubadili id
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…