Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sio vyema kipi?? Kubadilisha ID ni illegal thing humu JF? basi wamiliki na mods wana halalisha illegal things. Maana huwezi badilisha ID bila wao kufanya hivyo.
Kama unaona sio vyema u better take your 50 let me deal with mine. Hujalazimishwa kukubaliana na maamuzi ya kila mtu and I don't care on others I only do with mine.
hey,Tae chill pills
Mimi nmechange username
Jamani mliobadili ID tuambiane PM tafadhali. Mimi binafsi nawaomba akina dada mliobadili ID tutambuane ili tusitongozane kwa mara ya pili,tatu,nne..
Sana tu...nakutafuna kucha...
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] tusije tongozana 2,3,4Jamani mliobadili ID tuambiane PM tafadhali. Mimi binafsi nawaomba akina dada mliobadili ID tutambuane ili tusitongozane kwa mara ya pili,tatu,nne..
Niambie mdogo wangu wa dar.... Nakupenda ujueDada angu mie
Hivi ulishanikumbuka na mieee[emoji1433][emoji1433][emoji1433][emoji1433][emoji1433][emoji1433][emoji1433][emoji1433][emoji1433][emoji1433][emoji1433]
PoleMtu anakudanganya mie nitasepa humu kwa kipindi kirefu sana. Ni mtu unayemuheshimu na kumuona ni mstaarabu, anayejitambua na kujiheshimu. Baada ya muda unamuona anashuka na ID siyo mpya ni ya siku nyingi halafu anataka akuchore. Nikapitia posts nyingi za ID "iliyosepa kwa muda mrefu" nilikoma ubishi ni ndaza wa kutupa nikabaki nashukuru Mungu kwa kuninusuru kuuvaa mkenge.
Sijui hasa sababu ya mtu kuwa na ID zaidi ya moja halafu MODS wanaliachia hili tatizo lizidi kushamiri.
Khaaaa [emoji23][emoji23]Kuna Mademu hata wakibadili ID's zao mara 100 lakini bado tu hawatupi mvuto na ushirikiano uliotukuka wa kuwatongoza kwani wana full ' nuksi '.
poa dada akee mie unaendeleaje lkn naona jana umewahi kulala nimekutana na text zako asbhNiambie mdogo wangu wa dar.... Nakupenda ujue
Dada wa mie mambooNiambie mdogo wangu wa dar.... Nakupenda ujue
HahahaSiku nyingi tu.
Penda wewe pia mamiepoa dada akee mie unaendeleaje lkn naona jana umewahi kulala nimekutana na text zako asbh
nakupenda sanaaa
Hahaha
Em nikumbushe basi maana Nshasahau
Huwa naiacha na kufungua nyingne mpya ya zamani ndyo inakuwa R.I.P ukitaka sababu kila mtu anasababu zake binafs na huwa sababu hazilinganiUnabadili ID ili iweje? Hebu tuwekee sababu za kina za kuwa na ID zaidi ya moja na unapozitumia hutaki watu wajue kwamba una ID A, B, C labda na kuendelea