Daby
JF-Expert Member
- Oct 26, 2014
- 33,894
- 76,810
Siri ya mafanikio mrudie mola wako. Acha michepukoMie tena ndio mhakiki mwenyewe.
mdogo wangu ulipotea uliporejea ukarejea na mzuka mpya, hebu nipe siri ya mafanikio.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Siri ya mafanikio mrudie mola wako. Acha michepukoMie tena ndio mhakiki mwenyewe.
mdogo wangu ulipotea uliporejea ukarejea na mzuka mpya, hebu nipe siri ya mafanikio.
Unajua mambo mengine huwa yanatokea tu, si kwamba mtu anakuwa amekuja kutafuta ndoa. Mnazoeana then mnajikuta mnataka kufahamiana zaidi, then safari moja inaanzisha nyingine mpaka watu wanaoana humu.JF kuna watu wamekuja kutafuta ndoa. Na watu wenye utani kama mimi huwa tunawakera saana.
Unaweza kuta kwa zile id zangu zingine karibia nakukubalia au niashakukubali kabisa.Sasa wewe utakwepoje kwenye list yangu. Au unataka tutende dhambi ya milele
[emoji15] [emoji15] [emoji15]Siri ya mafanikio mrudie mola wako. Acha michepuko
Unajua mambo mengine huwa yanatokea tu, si kwamba mtu anakuwa amekuja kutafuta ndoa. Mnazoeana then mnajikuta mnataka kufahamiana zaidi, then safari moja inaanzisha nyingine mpaka watu wanaoana humu.
Ndio uache utani na wake za watu[emoji57] [emoji57]
Habari hizi RRONDO ndio alinisimulia.
Sijawahi kuwa shetani. Nipo mkononi mwa bwana ndiyo maana unaona mwenye unazidi kunipenda tu na mimi nakuahidi mapenzi yangu kwako nitayaza teletel[emoji15] [emoji15] [emoji15]
Ama kweli shetani akizeeka awa malaika.
Mmmmmh!!! Makubwa hayo tena!!Hakuna kuna watu wamesimuliwa JF unaweza kupata mwenza nao wameamua kufungua account humu kutafuta Wenzi.
Utani upo palepale mimi mwenyewe mme wa mtu. Kama utani unavunja ndoa yako si ingekuwa kilema kwasasa.
Mmmmmh!!! Huko uliko naomba ukaepo hata mwaka hivi, huyu wifi kwakweli tutaivana.Sijawahi kuwa shetani. Nipo mkononi mwa bwana ndiyo maana unaona mwenye unazidi kunipenda tu na mimi nakuahidi mapenzi yangu kwako nitayaza teletel
Mipaka ya nchi eeeh. Haya nimekuskiaMmmmmh!!! Makubwa hayo tena!!
Utani usivuke mipaka mdogo wangu.
Hahaha....Unaweza kuta kwa zile id zangu zingine karibia nakukubalia au niashakukubali kabisa.
[emoji16][emoji16][emoji125] [emoji125] [emoji125]Mmmmmh!!! Huko uliko naomba ukaepo hata mwaka hivi, huyu wifi kwakweli tutaivana.
Wakenya ndugu zangu ujue, next week takua huko nipe namba ya wifi nikamtafute[emoji85] [emoji85]Mipaka ya nchi eeeh. Haya nimekuskia
Natarajia kuvuta kenya hivyo utani wako usivuke huko
Mweeeeeh!!! Kweli shikamoo.Hahaha....
Mimi tukichat siku mbili ya tatu nakuvusha server za JF. Haha
Unakwenda wapi? Hebu rudi hapa.[emoji16][emoji16][emoji125] [emoji125] [emoji125]
Nilikusimulia au unajua ulivunja uelekeo wa ndoa yangu..Unajua mambo mengine huwa yanatokea tu, si kwamba mtu anakuwa amekuja kutafuta ndoa. Mnazoeana then mnajikuta mnataka kufahamiana zaidi, then safari moja inaanzisha nyingine mpaka watu wanaoana humu.
Ndio uache utani na wake za watu[emoji57] [emoji57]
Habari hizi RRONDO ndio alinisimulia.
Wewe utaharibu. Ilimradi tumeshakubaliana utani usivuke mipaka tuWakenya ndugu zangu ujue, next week takua huko nipe namba ya wifi nikamtafute[emoji85] [emoji85]
Watu wengine wapo serious JF lakini sisi huwa tunawa ektia.
Acha nikapange pange taratibu za sherehe bwanaUnakwenda wapi? Hebu rudi hapa.
Marahaba haujambo.Mweeeeeh!!! Kweli shikamoo.
[emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji134] [emoji134] [emoji134]Nilikusimulia au unajua ulivunja uelekeo wa ndoa yangu..
Hahaaaaa. "If wishes were horses"[emoji4]
Daby nami nimeipata hiyo.. Ila to be honesty humu kuna "kila kitu" talking from experience kuna watu wema wengi tu humu. Washauri na wafariji wazuri sanaaaa.
Nikijua ile ID yake ya zamani namtajaaa[emoji23]