Mliobahatika kuacha unywaji wa pombe mlitumia formular gani?

Mliobahatika kuacha unywaji wa pombe mlitumia formular gani?

Mimi tangu juzi mpaka Leo nijanywa kitu ambacho before sikuweza, pombe na umalaya vinaleta umasikini na vinamaliza sana sana pesa. Acha pombe utaona tu unavyoanza kung'aa sura ya utoto inarudi. Pombe imenizeesha kiasi ambacho wenzako wa umri mmoja wananisalimia shikamoo. Nina wakati mgumu sana wakuirudisha sura yangu aliyoniachia mama angu Enzi za uhai wake. Nimeshasema sitagusa asilani abadani pombe situmii tena, Malaya situmii tena. Nipo tayari kukaa hata miaka 5 bila sex mpaka hapo nitakapoowa
Sex utaweza kweli?
 
Mimi tangu juzi mpaka Leo nijanywa kitu ambacho before sikuweza, pombe na umalaya vinaleta umasikini na vinamaliza sana sana pesa. Acha pombe utaona tu unavyoanza kung'aa sura ya utoto inarudi. Pombe imenizeesha kiasi ambacho wenzako wa umri mmoja wananisalimia shikamoo. Nina wakati mgumu sana wakuirudisha sura yangu aliyoniachia mama angu Enzi za uhai wake. Nimeshasema sitagusa asilani abadani pombe situmii tena, Malaya situmii tena. Nipo tayari kukaa hata miaka 5 bila sex mpaka hapo nitakapoowa
😂 😂 😂 😂 😂 Ngumu kazini
 
Mimi tangu juzi mpaka Leo nijanywa kitu ambacho before sikuweza, pombe na umalaya vinaleta umasikini na vinamaliza sana sana pesa. Acha pombe utaona tu unavyoanza kung'aa sura ya utoto inarudi. Pombe imenizeesha kiasi ambacho wenzako wa umri mmoja wananisalimia shikamoo. Nina wakati mgumu sana wakuirudisha sura yangu aliyoniachia mama angu Enzi za uhai wake. Nimeshasema sitagusa asilani abadani pombe situmii tena, Malaya situmii tena. Nipo tayari kukaa hata miaka 5 bila sex mpaka hapo nitakapoowa

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Wakuu
Kiukweli I had a plan kuacha kunywa pombe this year ila nashindwa kabisa.mfano toka Wednesday ya week hii sijagusa kabisa pombe ila leo nimeamka na kiu ya hatari,nikaona nikajiboost kidogo.i feel sorry for me ,na natamani kuachana na hii addiction but nashindwa.
Nyie wenzangu mliobahatika kuachana na unywaji wa pombe mlitumia formular gani kuachana na hii addiction?
Tulianza polepole,lakini pia tafuta kitu cha kukuweka bize na kutoshinda na wanywaji.
 
Kwanini uache. Kiafya au kiuchumi?

Mzee piga moja, kiu inaisha unarudi ghetto.

Me kusema kweli Bar uwa nafuata mademu, pombe sio kivile yaani nafuata kuwaona wale wahudumu basi me nafuraha.
We jamaa upo kama Mimi,yan ukiwa hivi huwi mlevi ..unakuwa tu unamwagilia moyo

Yaani vitu 2 pisi kali na mziki mkubwa mzuri..hasa pisi ziwe nyingi,hapo naweza kukaa na kupiga bia kadhaa,la sivyo sinywi pombe kabisa..Kuna kipindi nilikuwa mkoa flani kikazi huko nyanda za juu kusini,sasa Kila baa nikienda nakuta mhudumu ni mwanaume,nikienda grocery nyingine nakuta inahudumia pisi moja..nilikaa mwezi mzima bila kunywa pombe
 
Hizi mada haziishagi halafu zinachekesha sana. Watu wanataka kuacha pombe lakini ki ukweli hawataki. Mtego upo hapo 🤣🤣🤣🤣
 
Mimi tangu juzi mpaka Leo nijanywa kitu ambacho before sikuweza, pombe na umalaya vinaleta umasikini na vinamaliza sana sana pesa. Acha pombe utaona tu unavyoanza kung'aa sura ya utoto inarudi. Pombe imenizeesha kiasi ambacho wenzako wa umri mmoja wananisalimia shikamoo. Nina wakati mgumu sana wakuirudisha sura yangu aliyoniachia mama angu Enzi za uhai wake. Nimeshasema sitagusa asilani abadani pombe situmii tena, Malaya situmii tena. Nipo tayari kukaa hata miaka 5 bila sex mpaka hapo nitakapoowa
Tupo katika safari hii moja ya kuipenda na kuithamini afya yetu, hakika hatutalegeza masharti, hatuli tena mbususu mpaka ndoa, Mungu tusaidie

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom