Mliobahatika kuacha unywaji wa pombe mlitumia formular gani?

Mliobahatika kuacha unywaji wa pombe mlitumia formular gani?

Mkuu una roho ngumu kwa nini uache pombe aisee, mkuu tungi usije ukaacha
 
Tatizo lako unakunywa local bia lazma uchakae.
 
Niliacha 2020,Mbinu ni kuamua mwenyewe na kufocus majukumu yaliyo mbele.Mimi ilikua nikinywa mpaka bar ifungwe.Ugomvi wa kufa mtu.Niliaumua nikasema imetosha.
 
Ukikuwa utaacha basi ila mie nilinyimwa na daktari nikaambiwa nitakufa basi nikaacha
 
Mimi tangu juzi mpaka Leo nijanywa kitu ambacho before sikuweza, pombe na umalaya vinaleta umasikini na vinamaliza sana sana pesa. Acha pombe utaona tu unavyoanza kung'aa sura ya utoto inarudi. Pombe imenizeesha kiasi ambacho wenzako wa umri mmoja wananisalimia shikamoo. Nina wakati mgumu sana wakuirudisha sura yangu aliyoniachia mama angu Enzi za uhai wake. Nimeshasema sitagusa asilani abadani pombe situmii tena, Malaya situmii tena. Nipo tayari kukaa hata miaka 5 bila sex mpaka hapo nitakapoowa
Mungu akusaidie
 
Back
Top Bottom