Carasco Putin
JF-Expert Member
- Apr 23, 2022
- 10,644
- 32,375
Upo wapi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Haya siyo maneno ya hangover kweli?Habari wadau,Mimi nimekuwa mtumwa wa pombe natamani sana kuacha ila nashindwa nani amepitia hii situation na kufanikiwa kuacha??msaada please
Aisee pole sana. Mimi mpaka kesho sijawahi kuilewa ladha ya pombe kiasi cha kujisikia kiu. Na katika hili namshukuru Mwenyezi Mungu. 🙏Habari wadau,
Mimi nimekuwa mtumwa wa pombe, natamani sana kuacha ila nashindwa. Nani amepitia hii situation na kufanikiwa kuacha?
Msaada please.
sasa kiongozi unaachaje pombe kwa mfano? nchi itapataje kodi? acha udwanzi kula biere nasema tena kula biereWakuu
Kiukweli I had a plan kuacha kunywa pombe this year ila nashindwa kabisa.mfano toka Wednesday ya week hii sijagusa kabisa pombe ila leo nimeamka na kiu ya hatari,nikaona nikajiboost kidogo.i feel sorry for me ,na natamani kuachana na hii addiction but nashindwa.
Nyie wenzangu mliobahatika kuachana na unywaji wa pombe mlitumia formular gani kuachana na hii addiction?
Nyeto ndo noma kuacha ata kama upo busy na kazi kias gan ukiamka tu unakiwashakama mtu una kazi ya kufanya na upo busy plus majukumu sidhani kama pombe inaweza kukusumbua kuachaaa... hata bhangi naona ni kujiendekeza tu. Ishu kuacha kubet na nyeto au kama unakulaa ungaaaa aiseee.
shetani wa nyeto apewe tuzooNyeto ndo noma kuacha ata kama upo busy na kazi kias gan ukiamka tu unakiwasha
Anaupiga mwingi sana afu kadri unavopiga nyeto ndo unaongeza hamu zaidi ya kupiga nyetoshetani wa nyeto apewe tuzoo