Lusungo
JF-Expert Member
- Jan 4, 2014
- 28,259
- 41,416
Ila unawaelewa wavua vyupi sio? Utakuwa mwasherati sanaSijawahi muelewa mtu anayegonga masanga...
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ila unawaelewa wavua vyupi sio? Utakuwa mwasherati sanaSijawahi muelewa mtu anayegonga masanga...
Hapana mkuu sio kwa ubaya maana sie wanaume lazima uksmatike kumoja... ukikoswa kwenye ulevi basi uasherati 🤣
Hapana mkuu sio kwa ubaya maana sie wanaume lazima uksmatike kumoja... ukikoswa kwenye ulevi basi uasherati 🤣
Hakuna aliyeweza acha kuwa nguvu zake. Mpe Yesu maisha yako nawe utakuwa salama.Wakuu
Kiukweli I had a plan kuacha kunywa pombe this year ila nashindwa kabisa.mfano toka Wednesday ya week hii sijagusa kabisa pombe ila leo nimeamka na kiu ya hatari,nikaona nikajiboost kidogo.i feel sorry for me ,na natamani kuachana na hii addiction but nashindwa.
Nyie wenzangu mliobahatika kuachana na unywaji wa pombe mlitumia formular gani kuachana na hii addiction?
Hili nalo ukalitizame.Ugomvi na wife ni gambe tuu..anajua wanawake sina tym nao kabisaa..nitaacha tu..maboko yananiudhi..
Usiache Pombe MkuuWakuu
Kiukweli I had a plan kuacha kunywa pombe this year ila nashindwa kabisa.mfano toka Wednesday ya week hii sijagusa kabisa pombe ila leo nimeamka na kiu ya hatari,nikaona nikajiboost kidogo.i feel sorry for me ,na natamani kuachana na hii addiction but nashindwa.
Nyie wenzangu mliobahatika kuachana na unywaji wa pombe mlitumia formular gani kuachana na hii addiction?
Kuna addiction ya ngono aisee... unakuta mtu kwa wiki analamba wadada hata sita na hela yote inaishia huko. Vivyo hivyo kwa pombe pia ni addiction.Sasa mzee baba, kukutanisha vikojoleo ile si ni nature, ni matumizi sahihi ya viungo...😁😁
Lakini masanga ni kitu wanadamu tumetengeneza kuumiza internal organs zetu for no reasons...
Hiki kifungashio ni salama kweli?Usiache Pombe Mkuu
Kula Raha Chukua HuuView attachment 2323831View attachment 2323833
MkuuHiki kifungashio ni salama kweli?
From my personal experience, Nilikua mnywaji mzuri tena wa kukaa viti vilefu ila baada ya kukutana na Jesus Christ, Tena kwa njia ya redio,nikazaliwa upya (Born again) , roho mtakatifu akaondoa kiu ya pombe hata Radha siikumbuki. Njia Ni Moja tu,mpe YESU maisha yako akutoe utumwani,ukiitaji msaada zaidi wa kiroho niambieWakuu
Kiukweli I had a plan kuacha kunywa pombe this year ila nashindwa kabisa.mfano toka Wednesday ya week hii sijagusa kabisa pombe ila leo nimeamka na kiu ya hatari,nikaona nikajiboost kidogo.i feel sorry for me ,na natamani kuachana na hii addiction but nashindwa.
Nyie wenzangu mliobahatika kuachana na unywaji wa pombe mlitumia formular gani kuachana na hii addiction?
Wine na mafuta ni tofauti....Mkuu
Salama
Kama Mafuta Tu Ya Kupikia/Alizeti
Kwanini asiache?Si kushauri uache jifunze tu kuimanage usiwe unakunywa kila siku tu