Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kuacha ni ngumu ila unaweza kupumzikaWakuu
Kiukweli I had a plan kuacha kunywa pombe this year ila nashindwa kabisa.mfano toka Wednesday ya week hii sijagusa kabisa pombe ila leo nimeamka na kiu ya hatari,nikaona nikajiboost kidogo.i feel sorry for me ,na natamani kuachana na hii addiction but nashindwa.
Nyie wenzangu mliobahatika kuachana na unywaji wa pombe mlitumia formular gani kuachana na hii addiction?
Mi binafsi nataka kuacha maana naona natumia pesa nyingi kwenye pombe hadi nashindwa kufanya mambo ya maendeleo.Cha kushangza ata nikijaribu kuacha kunywa japo wiki mbili ,mirija yote ya kipato inakata(hakuna cha maana nafanya)[emoji57][emoji57]Jibu la kisaikolojia rahisi sana.
Kumbuka pombe sio addiction ni obsession tu
Naweza kusema kuwa kuna sababu moja au kadhaa zinazokufanya uiwaze pombe.
Mimi binafs nikiwaza kitu hata kidogo vp nikiona kinanipa stress nakwwenda kupata pombe. Endapo nikapata faraja ingine kwa mtu au kwa kitu sinywi pombe.
Aniliacha ikabaki sababu nyingine ya pili. Marafiki zangu sina stress wala furaha wakinialika mahala pombe ipo sioni sababu ya kuacha.
So ukiwa na sababu ya kuacha na ukijua nini kinakufanya unywe bas imeisha.
Nianze kwa kukuuliza KWANINI UNATAKA KUACHA NA KWANINI HUWA UNAKUNYWA SABABU IPO.
Tuombeeni na sisi jamani hali ni mbaya,nimekua nikiamka usiku wa saa tisa namuomba Mungu aniepushe na roho ya ulevi lakini wapi ,,[emoji57][emoji57]Hakuna aliyeweza acha kuwa nguvu zake. Mpe Yesu maisha yako nawe utakuwa salama.
Umeshauri vzuri sana... Me mwenyew nashangaa watu wanaosema mtu aache pombe au anataka kuacha pombe... Pombe inatakiwa uweze kui control kiakili na kimwili...Si kushauri uache jifunze tu kuimanage usiwe unakunywa kila siku tu
Na kwanini uache?Mi kuacha pombe labda nipate ajira ya udereva sipendi kunywa na kudrive.....
Nikitaka kuacha ntatafuta kazi ya udereva hata kumdrive kigogo wa ccm tu....
Rahisi sana kuongeaMimi tangu juzi mpaka Leo nijanywa kitu ambacho before sikuweza, pombe na umalaya vinaleta umasikini na vinamaliza sana sana pesa. Acha pombe utaona tu unavyoanza kung'aa sura ya utoto inarudi. Pombe imenizeesha kiasi ambacho wenzako wa umri mmoja wananisalimia shikamoo. Nina wakati mgumu sana wakuirudisha sura yangu aliyoniachia mama angu Enzi za uhai wake. Nimeshasema sitagusa asilani abadani pombe situmii tena, Malaya situmii tena. Nipo tayari kukaa hata miaka 5 bila sex mpaka hapo nitakapoowa
Waambie watu wote wanaokuzunguka kuwa unataka kuacha pombe na wafanye kila namna usinywe.Wakuu
Kiukweli I had a plan kuacha kunywa pombe this year ila nashindwa kabisa.mfano toka Wednesday ya week hii sijagusa kabisa pombe ila leo nimeamka na kiu ya hatari,nikaona nikajiboost kidogo.i feel sorry for me ,na natamani kuachana na hii addiction but nashindwa.
Nyie wenzangu mliobahatika kuachana na unywaji wa pombe mlitumia formular gani kuachana na hii addiction?
Sijawahi muelewa mtu anayegonga masanga...
Hivyo ambavyo unaona haujamuelewa jua ndo umeanza kumuelewa sasa.Sijawahi muelewa mtu anayegonga masanga...
Si ndio hapo sasa, wakati maandiko yameruhusu masikini tunywe tusahau tabu zetu.....Na kwanini uache?
Si ndio hapo sasa, wakati maandiko yameruhusu masikini tunywe tusahau tabu zetu.....
Mimi nilikunywa wiki nzima bila kula, nikaumwa na kulazwa hospitali. Nilipotoka nikaacha moja kwa moja!Wakuu
Kiukweli I had a plan kuacha kunywa pombe this year ila nashindwa kabisa.mfano toka Wednesday ya week hii sijagusa kabisa pombe ila leo nimeamka na kiu ya hatari,nikaona nikajiboost kidogo.i feel sorry for me ,na natamani kuachana na hii addiction but nashindwa.
Nyie wenzangu mliobahatika kuachana na unywaji wa pombe mlitumia formular gani kuachana na hii addiction?
kabla hujafanya matumizi tenga pesa weka benki hata 20k ya malengo yako kama unalenga kufungua kiwanda bas jua hio ndo kazi ya hio pesa inayobaki bas ibajeti na nyingine itunze au oaMi binafsi nataka kuacha maana naona natumia pesa nyingi kwenye pombe hadi nashindwa kufanya mambo ya maendeleo.Cha kushangza ata nikijaribu kuacha kunywa japo wiki mbili ,mirija yote ya kipato inakata(hakuna cha maana nafanya)[emoji57][emoji57]