Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Yaani ile ijumaa pombe imenihabisha sana...yaan kwa lile tukio..likijirudia tena basi nitanyoosha mikono juu...hapa ninapoandika hii sms jicho moja halioni vizuri..nimepigwa na mtt mdogo sana..
Ukikuwa utaacha ndg.Wakuu
Kiukweli I had a plan kuacha kunywa pombe this year ila nashindwa kabisa.mfano toka Wednesday ya week hii sijagusa kabisa pombe ila leo nimeamka na kiu ya hatari,nikaona nikajiboost kidogo.i feel sorry for me ,na natamani kuachana na hii addiction but nashindwa.
Nyie wenzangu mliobahatika kuachana na unywaji wa pombe mlitumia formular gani kuachana na hii addiction?
SOMA NIMERUDIHivi huwa mnarudigi?
Swali la kwnza ambalo ni gumu ni ulianza lini kunywa pombe,na kwanini ulianza kunywa pombe,kwa sasa ukiwa na ni kitu gani kinakusukuma kunywa pombe,je ukiwa umechoka,mawazo,au msongo unatumia pombe kujipooza?majibu ya haya maswali ndo yataamua kwamba unaweza kuacha pombe au huwezi!Wakuu
Kiukweli I had a plan kuacha kunywa pombe this year ila nashindwa kabisa.mfano toka Wednesday ya week hii sijagusa kabisa pombe ila leo nimeamka na kiu ya hatari,nikaona nikajiboost kidogo.i feel sorry for me ,na natamani kuachana na hii addiction but nashindwa.
Nyie wenzangu mliobahatika kuachana na unywaji wa pombe mlitumia formular gani kuachana na hii addiction?
Mi niliachana na kampani ya wanywaji na kujiweka sana busy... nna mwaka wa 3 sijagusa hiyo kitu.Wakuu
Kiukweli I had a plan kuacha kunywa pombe this year ila nashindwa kabisa.mfano toka Wednesday ya week hii sijagusa kabisa pombe ila leo nimeamka na kiu ya hatari,nikaona nikajiboost kidogo.i feel sorry for me ,na natamani kuachana na hii addiction but nashindwa.
Nyie wenzangu mliobahatika kuachana na unywaji wa pombe mlitumia formular gani kuachana na hii addiction?
Jibu la kisaikolojia rahisi sana.Wakuu
Kiukweli I had a plan kuacha kunywa pombe this year ila nashindwa kabisa.mfano toka Wednesday ya week hii sijagusa kabisa pombe ila leo nimeamka na kiu ya hatari,nikaona nikajiboost kidogo.i feel sorry for me ,na natamani kuachana na hii addiction but nashindwa.
Nyie wenzangu mliobahatika kuachana na unywaji wa pombe mlitumia formular gani kuachana na hii addiction?
Hasa ukutane na Bar wahudumu wote wana misambwanda aloooo....Kwanini uache. Kiafya au kiuchumi?
Mzee piga moja, kiu inaisha unarudi ghetto.
Me kusema kweli Bar uwa nafuata mademu, pombe sio kivile yaani nafuata kuwaona wale wahudumu basi me nafuraha.
Wakuu
Kiukweli I had a plan kuacha kunywa pombe this year ila nashindwa kabisa.mfano toka Wednesday ya week hii sijagusa kabisa pombe ila leo nimeamka na kiu ya hatari,nikaona nikajiboost kidogo.i feel sorry for me ,na natamani kuachana na hii addiction but nashindwa.
Nyie wenzangu mliobahatika kuachana na unywaji wa pombe mlitumia formular gani kuachana na hii addiction?
Bora angejikalia kimya tuuNimesikitishwa na huu uzi, kwanini uache pombe comrade, kwanini? Hii sijapenda.