Sex utaweza kweli?Mimi tangu juzi mpaka Leo nijanywa kitu ambacho before sikuweza, pombe na umalaya vinaleta umasikini na vinamaliza sana sana pesa. Acha pombe utaona tu unavyoanza kung'aa sura ya utoto inarudi. Pombe imenizeesha kiasi ambacho wenzako wa umri mmoja wananisalimia shikamoo. Nina wakati mgumu sana wakuirudisha sura yangu aliyoniachia mama angu Enzi za uhai wake. Nimeshasema sitagusa asilani abadani pombe situmii tena, Malaya situmii tena. Nipo tayari kukaa hata miaka 5 bila sex mpaka hapo nitakapoowa
😂 😂 😂 😂 😂 Ngumu kaziniMimi tangu juzi mpaka Leo nijanywa kitu ambacho before sikuweza, pombe na umalaya vinaleta umasikini na vinamaliza sana sana pesa. Acha pombe utaona tu unavyoanza kung'aa sura ya utoto inarudi. Pombe imenizeesha kiasi ambacho wenzako wa umri mmoja wananisalimia shikamoo. Nina wakati mgumu sana wakuirudisha sura yangu aliyoniachia mama angu Enzi za uhai wake. Nimeshasema sitagusa asilani abadani pombe situmii tena, Malaya situmii tena. Nipo tayari kukaa hata miaka 5 bila sex mpaka hapo nitakapoowa
Mimi tangu juzi mpaka Leo nijanywa kitu ambacho before sikuweza, pombe na umalaya vinaleta umasikini na vinamaliza sana sana pesa. Acha pombe utaona tu unavyoanza kung'aa sura ya utoto inarudi. Pombe imenizeesha kiasi ambacho wenzako wa umri mmoja wananisalimia shikamoo. Nina wakati mgumu sana wakuirudisha sura yangu aliyoniachia mama angu Enzi za uhai wake. Nimeshasema sitagusa asilani abadani pombe situmii tena, Malaya situmii tena. Nipo tayari kukaa hata miaka 5 bila sex mpaka hapo nitakapoowa
Tulianza polepole,lakini pia tafuta kitu cha kukuweka bize na kutoshinda na wanywaji.Wakuu
Kiukweli I had a plan kuacha kunywa pombe this year ila nashindwa kabisa.mfano toka Wednesday ya week hii sijagusa kabisa pombe ila leo nimeamka na kiu ya hatari,nikaona nikajiboost kidogo.i feel sorry for me ,na natamani kuachana na hii addiction but nashindwa.
Nyie wenzangu mliobahatika kuachana na unywaji wa pombe mlitumia formular gani kuachana na hii addiction?
Kama wahudumu wa pale Terminal Pub Msamvu, Morogoro daah matata sanaa..Kwanini uache. Kiafya au kiuchumi?
Mzee piga moja, kiu inaisha unarudi ghetto.
Me kusema kweli Bar uwa nafuata mademu, pombe sio kivile yaani nafuata kuwaona wale wahudumu basi me nafuraha.
Pesa ya kunywea ikija...anarudi kule kuleFormula ya kukosa kabisa pesa ya kunywea zaidi ya mwaka,na kuepuka kunywa za ofa.
Slave-Lucky DubeKwanini uache pombe ? Sioni kama Ni gharama, ukiwa na chupa zako za wine unakunywa tatu weekend,hizo Ni Kama 12 kwa mwezi,basically tufanye ununue chupa 15 kwa mwezi
We jamaa upo kama Mimi,yan ukiwa hivi huwi mlevi ..unakuwa tu unamwagilia moyoKwanini uache. Kiafya au kiuchumi?
Mzee piga moja, kiu inaisha unarudi ghetto.
Me kusema kweli Bar uwa nafuata mademu, pombe sio kivile yaani nafuata kuwaona wale wahudumu basi me nafuraha.
Kwamba ministers of religion washamvisit mwambaSlave-Lucky Dube
Pole na karibu tenaaMaisha ndugu yangu nilikuwa uchaka flan hakuna network
Itategemea maamuzi.Pesa ya kunywea ikija...anarudi kule kule
ShukranPole na karibu tenaa
Kuwaona tu au na kula mbososo?Kwanini uache. Kiafya au kiuchumi?
Mzee piga moja, kiu inaisha unarudi ghetto.
Me kusema kweli Bar uwa nafuata mademu, pombe sio kivile yaani nafuata kuwaona wale wahudumu basi me nafuraha.
Tupo katika safari hii moja ya kuipenda na kuithamini afya yetu, hakika hatutalegeza masharti, hatuli tena mbususu mpaka ndoa, Mungu tusaidieMimi tangu juzi mpaka Leo nijanywa kitu ambacho before sikuweza, pombe na umalaya vinaleta umasikini na vinamaliza sana sana pesa. Acha pombe utaona tu unavyoanza kung'aa sura ya utoto inarudi. Pombe imenizeesha kiasi ambacho wenzako wa umri mmoja wananisalimia shikamoo. Nina wakati mgumu sana wakuirudisha sura yangu aliyoniachia mama angu Enzi za uhai wake. Nimeshasema sitagusa asilani abadani pombe situmii tena, Malaya situmii tena. Nipo tayari kukaa hata miaka 5 bila sex mpaka hapo nitakapoowa
Ukiwa unakunywa huwez kosa pesa ya pombe..kamwe huwezFormula ya kukosa kabisa pesa ya kunywea zaidi ya mwaka,na kuepuka kunywa za ofa.