Mliobobea katika 'Saikolojia' na 'Maono' kwa 'Msisitizo' wa 'Kauli' ya Rais Dkt. Magufuli mnamwambiaje 'Prime' Majaliwa?

Mliobobea katika 'Saikolojia' na 'Maono' kwa 'Msisitizo' wa 'Kauli' ya Rais Dkt. Magufuli mnamwambiaje 'Prime' Majaliwa?

Miaka mi5 itakuwa ngumu sana kuna ICC,kuna magninistky pact kuna Israel Hawa wote wanawangojea kwa hamu
 
Believe me , narudia tena , JPM ana mapungufu mengi , ila atakuja kukumbukwa kuwa among of the best Tanzanian president ever .....

Sa hv watu tunaishi Kwa utaratibu , zaman kupigwa risasi hadharani na mtu ilikuwa kawaida ukienda mahakamani jiandae kupigwa nyingine , now angalau somehow kila kitu kipo systematically , zaman wazir anachota hela ya miradi anakwambia ni visent na raisi anachekelea , unaenda ofsin unazungushwa na kuangaliwa kama kinyesi na maafisa , nchi ilikuwa kama haina kiongozi, wananchi mnabak na makovu moyoni , acheni Tu amalize miaka yake mitano mitano but one day atakumbukwa Kwa machozi lakni time already gone .....

Ndipo tutakapoishi kama Kenya , Burundi na Libya Maisha ambayo wengi wasiojielewa ndo wanayatamani Kwa kisingizio cha democrasia hewa , kama kichekesho cha marekani wananchi kupiga kura lakn raisi anapitishwa na watu sjui miatano na ngap huko ila huku kikundi kichache kikipitisha raisi et inakuwa Africa tuna laana ...
 
Basi hujamjua vizuri Meko anachokifanya ni kuwaweka hofu aliowateuwa yaani kwa mfupi jamaa anapenda kuabudiwa kama mungu na mimi ningekuwa ni Majaliwa,nisinge kubali kufanya kazi katika hali hiyo,ningemwambia asante mkuu chagua mwingine mimi mitano inanitosha sababu hamna maisha mabaya kama ya hofu sio maisha kabisa bora uishi katika dhiki lkn unafuraha ya moyo,kuliko kuishi katika madaraka na hela alafu hofu kila wakati.

Ziko nafasi za kimamlaka ukishafikia adabu na heshima ni lazima si kubembelezwa. Hawezi kuzira kama nyumba ndogo yenye mimba changa.

Makamu/Naibu wa Rais Mama yetu kasema vizuri. Wameona matunda ya kusimamia nidhamu kwa umakini na bila ubabaishaji katika utendaji wa serikali na watumishi wake. Matunda hayo yamejidhihirisha kwenye sanduku la kura. Kwa maneno mengine pamoja na kuwa iliwawia vigumu na taabu mwanzoni lakini baadaye wame appriciate mtazamo wa JPM. He was right tangia mwanzo.

Akili kubwa jamani, tufanyeje sasa hatuna budi kusifia ukweli bila unafiki wowote.
 
Basi hujamjua vizuri Meko anachokifanya ni kuwaweka hofu aliowateuwa yaani kwa mfupi jamaa anapenda kuabudiwa kama mungu na mimi ningekuwa ni Majaliwa,nisinge kubali kufanya kazi katika hali hiyo,ningemwambia asante mkuu chagua mwingine mimi mitano inanitosha sababu hamna maisha mabaya kama ya hofu sio maisha kabisa bora uishi katika dhiki lkn unafuraha ya moyo,kuliko kuishi katika madaraka na hela alafu hofu kila wakati.
Yani Majawaliwa huyu, aliyejipendekeza mpaka kumpa pongezi Rais kwa kuapa vizuri ndio akatae uteuzi? Wewe jamaa unaleta mdhaha hapa.
 
"Huna hakikisho la kuwa hapo kwa miaka mitano"

"Acha kudhani kuwa ni mwenye bahati kuliko wengine"

"Hata Mkeo nae ajiandae Kisaikolojia kama usipodumu hapo"

"Nilipokuwa naapishwa alinitumia Meseji ya Pongezi na wala sikumjibu ili asije kudhani kuwa bado atakuwa Waziri Mkuu"

"Umesema Mkeo anakupa Raha ila kwa sasa sidhani hata kama hiyo Raha utaipata tena"

"Na wala Watu wako wa Lindi huko waache Kujisifu kuwa Wewe umerejea tena na utadumu katika Cheo hiki"

"Kudumu Kwako kama Waziri Mkuu kutatokana tu na Ufanyaji Kazi wako ila usijiaminishe kuwa utadumu kama Sumaye"

Binafsi kuna nilichokigundua kwa haraka sana hasa baada ya Kuangalia tu 'Body Language' ya Rais Dkt. Magufuli na 'Hofu' machoni mwa Waalikwa ila nitakisema baadae kabisa.

Na leo pia nimeweza kujua 'Sifa' nyingine aliyonayo Rais Dkt. Magufuli ya kutokuwa Mtu wa 'Kutabirika' kutopenda 'Mazoea' hana 'Unafiki' na anachukia mno Mtu 'Kujipendekeza' hovyo Kwake.
Unataka kusena nani anajipendekeza kwa Mheshimiwa.
 
Kwa tunaojua / tunayoyajua 'Makosa' yake tokea alipokuwa 'Big Boss' pale 'Azikiwe' Dar es Salaam kumpa 'Uwaziri Mkuu' ni 'Kuwatusi' Watanzania.
Anatufaa sana huyo uwaziri sio lazma uwaziri mkuu... Mimi namuona katika hio angle ataplay well

Makosa yapi hayo tudokezee kidogo
 
"Huna hakikisho la kuwa hapo kwa miaka mitano"

"Acha kudhani kuwa ni mwenye bahati kuliko wengine"

"Hata Mkeo nae ajiandae Kisaikolojia kama usipodumu hapo"

"Nilipokuwa naapishwa alinitumia Meseji ya Pongezi na wala sikumjibu ili asije kudhani kuwa bado atakuwa Waziri Mkuu"

"Umesema Mkeo anakupa Raha ila kwa sasa sidhani hata kama hiyo Raha utaipata tena"

"Na wala Watu wako wa Lindi huko waache Kujisifu kuwa Wewe umerejea tena na utadumu katika Cheo hiki"

"Kudumu Kwako kama Waziri Mkuu kutatokana tu na Ufanyaji Kazi wako ila usijiaminishe kuwa utadumu kama Sumaye"

Binafsi kuna nilichokigundua kwa haraka sana hasa baada ya Kuangalia tu 'Body Language' ya Rais Dkt. Magufuli na 'Hofu' machoni mwa Waalikwa ila nitakisema baadae kabisa.

Na leo pia nimeweza kujua 'Sifa' nyingine aliyonayo Rais Dkt. Magufuli ya kutokuwa Mtu wa 'Kutabirika' kutopenda 'Mazoea' hana 'Unafiki' na anachukia mno Mtu 'Kujipendekeza' hovyo Kwake.
Mbona sasa wewe umejipendekeza mkuu?
 
Tuondoleee umbea wa kijita hapa. Kamuulize JPM mwenyewe aliyemteua huyo Majaliwa. Tatizo unajifanya mjuvi wa mambo na kupenda kutafsiri kila jambo. Kiherehere.
Hahahaha... umenichekesha sana mkuu. Eti "umbea wa kijita" hahahaha kweli unawajua wajita wewe!!
 
Back
Top Bottom