Shehullohi
JF-Expert Member
- Jul 21, 2020
- 3,753
- 3,685
What are you talking about, stupid?
Uwe na uhakika umemtukan/mtusi na Mungu wa mbinguni niliye mtaja hapa. Wewe mfwasi wa aliyekuwa mfalme juha Nimrod wa Tz.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
What are you talking about, stupid?
HahahahahahaHawezi kwenda Ulaya atakamatwa
Basi hujamjua vizuri Meko anachokifanya ni kuwaweka hofu aliowateuwa yaani kwa mfupi jamaa anapenda kuabudiwa kama mungu na mimi ningekuwa ni Majaliwa,nisinge kubali kufanya kazi katika hali hiyo,ningemwambia asante mkuu chagua mwingine mimi mitano inanitosha sababu hamna maisha mabaya kama ya hofu sio maisha kabisa bora uishi katika dhiki lkn unafuraha ya moyo,kuliko kuishi katika madaraka na hela alafu hofu kila wakati.
Yani Majawaliwa huyu, aliyejipendekeza mpaka kumpa pongezi Rais kwa kuapa vizuri ndio akatae uteuzi? Wewe jamaa unaleta mdhaha hapa.Basi hujamjua vizuri Meko anachokifanya ni kuwaweka hofu aliowateuwa yaani kwa mfupi jamaa anapenda kuabudiwa kama mungu na mimi ningekuwa ni Majaliwa,nisinge kubali kufanya kazi katika hali hiyo,ningemwambia asante mkuu chagua mwingine mimi mitano inanitosha sababu hamna maisha mabaya kama ya hofu sio maisha kabisa bora uishi katika dhiki lkn unafuraha ya moyo,kuliko kuishi katika madaraka na hela alafu hofu kila wakati.
Dictator in action.Atawanyoosha awam hii nakwambia,subili utaona kama kuna atakayefurukuta
Unataka kusena nani anajipendekeza kwa Mheshimiwa."Huna hakikisho la kuwa hapo kwa miaka mitano"
"Acha kudhani kuwa ni mwenye bahati kuliko wengine"
"Hata Mkeo nae ajiandae Kisaikolojia kama usipodumu hapo"
"Nilipokuwa naapishwa alinitumia Meseji ya Pongezi na wala sikumjibu ili asije kudhani kuwa bado atakuwa Waziri Mkuu"
"Umesema Mkeo anakupa Raha ila kwa sasa sidhani hata kama hiyo Raha utaipata tena"
"Na wala Watu wako wa Lindi huko waache Kujisifu kuwa Wewe umerejea tena na utadumu katika Cheo hiki"
"Kudumu Kwako kama Waziri Mkuu kutatokana tu na Ufanyaji Kazi wako ila usijiaminishe kuwa utadumu kama Sumaye"
Binafsi kuna nilichokigundua kwa haraka sana hasa baada ya Kuangalia tu 'Body Language' ya Rais Dkt. Magufuli na 'Hofu' machoni mwa Waalikwa ila nitakisema baadae kabisa.
Na leo pia nimeweza kujua 'Sifa' nyingine aliyonayo Rais Dkt. Magufuli ya kutokuwa Mtu wa 'Kutabirika' kutopenda 'Mazoea' hana 'Unafiki' na anachukia mno Mtu 'Kujipendekeza' hovyo Kwake.
Anatufaa sana huyo uwaziri sio lazma uwaziri mkuu... Mimi namuona katika hio angle ataplay wellKwa tunaojua / tunayoyajua 'Makosa' yake tokea alipokuwa 'Big Boss' pale 'Azikiwe' Dar es Salaam kumpa 'Uwaziri Mkuu' ni 'Kuwatusi' Watanzania.
Ana uchafu gani mkuu niambieTatizo sio msafi
You are the Foolish one, Clueless idiotUwe na uhakika umemtuna na Mungu wa mbinguni niliye mtaja hapa. Wewe mfwasi wa aliyekuwa mfalme juha Nimrod wa Tz.
Icc hahaha poleni 2015 mlisema ICJMiaka mi5 itakuwa ngumu sana kuna ICC,kuna magninistky pact kuna Israel Hawa wote wanawangojea kwa hamu
Mbona sasa wewe umejipendekeza mkuu?"Huna hakikisho la kuwa hapo kwa miaka mitano"
"Acha kudhani kuwa ni mwenye bahati kuliko wengine"
"Hata Mkeo nae ajiandae Kisaikolojia kama usipodumu hapo"
"Nilipokuwa naapishwa alinitumia Meseji ya Pongezi na wala sikumjibu ili asije kudhani kuwa bado atakuwa Waziri Mkuu"
"Umesema Mkeo anakupa Raha ila kwa sasa sidhani hata kama hiyo Raha utaipata tena"
"Na wala Watu wako wa Lindi huko waache Kujisifu kuwa Wewe umerejea tena na utadumu katika Cheo hiki"
"Kudumu Kwako kama Waziri Mkuu kutatokana tu na Ufanyaji Kazi wako ila usijiaminishe kuwa utadumu kama Sumaye"
Binafsi kuna nilichokigundua kwa haraka sana hasa baada ya Kuangalia tu 'Body Language' ya Rais Dkt. Magufuli na 'Hofu' machoni mwa Waalikwa ila nitakisema baadae kabisa.
Na leo pia nimeweza kujua 'Sifa' nyingine aliyonayo Rais Dkt. Magufuli ya kutokuwa Mtu wa 'Kutabirika' kutopenda 'Mazoea' hana 'Unafiki' na anachukia mno Mtu 'Kujipendekeza' hovyo Kwake.
Hahahaha... umenichekesha sana mkuu. Eti "umbea wa kijita" hahahaha kweli unawajua wajita wewe!!Tuondoleee umbea wa kijita hapa. Kamuulize JPM mwenyewe aliyemteua huyo Majaliwa. Tatizo unajifanya mjuvi wa mambo na kupenda kutafsiri kila jambo. Kiherehere.
You are the Foolish one, Clueless idiot
Mbona unamsoma habari zake jamaa ?Mimi nikae nimsikilize Mawe?
That man is not to be paid no mind at all...
You are wasting your time!
Nitajie viongozi watatu tu kutoka CCM wasioroga.Leo nimemkubali sana Rais Magufuli hasa kuhusu wabunge wanaoenda kuroga wawe Mawaziri!
How could an idiot like you appreciate what have been done by our president??Mimi nikae nimsikilize Mawe?
That man is not to be paid no mind at all...
You are wasting your time!
Hahahaaaa..just hahaaaaa![emoji23][emoji23]
Huyo harogeki KIBOYA.
Atakayeandikiwa na MUNGU MWENYEZI basi atapata UTEUZI.