Mliochomwa Sindano za COVID-19 mnaendeleaje?

Mliochomwa Sindano za COVID-19 mnaendeleaje?

Chanjo muhimu

Uvuki mpaka bila kibunda cha chanjo
• Homa ya manjano
• uviko
• sijui ini
• ya Mbu inakuja
• ya ukimwi ipo mahabara
• ya ebola inasogea
• ya dengue inafangiwa tafiti

• nk

Wasafiri tutachoma... mliojifungia nyie ata msipo choma hakuna neno
Unajifariji masikini!!

ZOMBI LA MACHANJO [emoji85][emoji85][emoji16][emoji16]
 
Covid ilikuwa ni Test pana zaidi
Ilipima
1.Akili zenu.
2. Imani zenu.
3.Medical system strength
4.Uwezo was kuhimili milipuko ya magonjwa.
Mengine mtamaliziaga .
ila walichogundua Bado Bongo zenu Zina operate katika Frequency ndogo Sana Yani misukule.....Sheeplez ( Test Grounds )
MZEE HAPA UMEPIGA KWENYE MSHONO.

UMEPASUA MSHONO kweRi kweRi, lakini haya MAMISUKULE hayawezi kukuelewa.

Yamepanga foleni yanasubiri CHANJO [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji119]
 
MACHANJO [emoji16][emoji16][emoji85][emoji85]

Sijui kwanini kila nikikumbuka corona nacheka [emoji851][emoji851][emoji851][emoji28][emoji119]

Ukitaka ujue hii nchi ina MAZOMBI mengi, angalia waliokuwa wamejivika MABARAKOA ati wanajilinda na virus [emoji16][emoji16]

Wako serious na MABARAKOA yao masikiniii!! Wamejitwika MABARAKOA ati ni wasomiii [emoji28][emoji28][emoji16][emoji16][emoji119][emoji119][emoji119][emoji119][emoji119]
 
DNA zimechanishwa misamba bila kupenda [emoji16][emoji16][emoji16].
Ngoja aje azae mtoto anajinsia nne.
[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji119][emoji119][emoji119][emoji119]

Mwenyewe anakwambia yuko GREAT [emoji16][emoji16][emoji119] hana ata hofu yanii yuko GREAT [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji119][emoji119][emoji119][emoji119][emoji119][emoji119]
 
Kimsingi chanjo ya ugonjwa huu imethibitika ni vita vya Ukraine na Russia.

Maana baada ya media kutuhamishia huko ugonjwa ukajifia.

Nimejifunza kuwa mvumilivu na mpole maana dunia inaenda kasi na mambo mengi ni ya kubuma au kutengenezwa, ikiwemo magonjwa ya kutengenezwa.

Ni hayo tu
Viherehere akina Maxence Melo na genge lake walidungwa.
 
Siku hizi watu hawaelewi, wanaweza kumuhack na kushare njama zake online.

Kama walivyoshare jamaa wa CNN wanaigiza kukwepa mabomu ya Hamas kumbe ili watupange wafuatiliaji kuwa na wao wamenusurika.

Dunia ina3ndeshwa kwa sanaa sio sayansi tena.
Media Control hiyo Mzee. Vita zinajazwa chai za kuhtuhadaa .
Sanaa kweli kweli.
 
Ulikuwa hujui vizuri, pia usiishi kwa mazoea wakati wote, mambo yanabadilika kila siku.
Siku zote nilikuwa najua mtu akipewa chanjo ya ugonjwa fulani, ndiyo amemaliza. Yaani hawezi tena kuupata huo ugonjwa katika maisha yake yote hapa duniani.

Sasa ilipokuja chanjo ya Corona, Mabeberu wakasema unachanjwa, lakini unaweza tena kupatwa na huo ugonjwa. Niliposikia tu hiyo kauli, nikajua hakuna chanjo hapo. Na mpaka leo sijutii kutokuchanja.
 
Hahahaha
Mimi nilisimama Church nikawaambia wasiogope kadudu ambako hakaonekani wakati wana Mungu mkubwa kuliko dunia. Walinishukuru sana.
Mapadri Wakatoliki walikufa wengi sana, hadi huko Italia
 
Kimsingi chanjo ya ugonjwa huu imethibitika ni vita vya Ukraine na Russia.

Maana baada ya media kutuhamishia huko ugonjwa ukajifia.

Nimejifunza kuwa mvumilivu na mpole maana dunia inaenda kasi na mambo mengi ni ya kubumba au kutengenezwa, ikiwemo magonjwa ya kutengenezwa.

Ni hayo tu
"Maana baada ya media kutuhamishia 'huko'! ugonjwa ukajifia". Mimi sijui kiswahili naomba ufafanue hii huko ni nini, huko ni kule au pale?
Ila mimi baada ya taa kuwaka nikafilia mbali, sipo.
 
Back
Top Bottom