Be calm
JF-Expert Member
- May 20, 2023
- 3,766
- 8,959
š¤£Hivi ni muezeko! Aisee watu mnakiswahili kizuri afu hamsemiBinafsi hata siukubali huo muezeko, looks good machoni na gharama nafuu ila "the end justifies the means"!!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
š¤£Hivi ni muezeko! Aisee watu mnakiswahili kizuri afu hamsemiBinafsi hata siukubali huo muezeko, looks good machoni na gharama nafuu ila "the end justifies the means"!!
vp kiongozi tukusaidie namba ya fundi maiko?Aaah, mafundi!!! Mhdastxsghtribcd zao.
šāāļøKwa jirani hapa Hali Tete maji yanaingia ndani utasema Kuna mafuriko.
Nikikumbuka wale mafundi maneno yao ya kumshawishi tajiri atoe tenda huwa nacheka peke yangu utawasikiaFundi namba haipatikani ....
Yeah hata mimi nashangaa hizo nyumba watu sijui wanazipendea nini hazina utofauti na zile nyumba za Lindi au Tabora zilizoachwa na waarabu miaka hoyoInapendeza zaidi kwenye hizo picha za 3d ila kiuhalisia inakuwa kama nyumba za long time ago
Haahaaa kiongozi utaki watoto waende chooniš¤£Nikikumbuka wale mafundi maneno yao ya kumshawishi tajiri atoe tenda huwa nacheka peke yangu utawasikia
"Shida sio aina ya paa shida hamkupata mafundi wataalamu ndio maana nyumba zinavuja,ukimpata fundi mtaalamu kuvuja sahau" baadae ukishampa tenda yanajitokeza yaleyale hahahaha
Nlitaka piga hii kitu ila fundi akaniambia mzee yani hii kitu ilibidi tuanze kuiandaa tukiwa kwenye msingi sio tumemwaga mkanda wa lenta ndipo unakuja na wazo hili nyumba itavuja mpaka uchanganyikiwe. Nikaachana nayo nikaezeka kawaida na sasa hakuna hata sehemu hata moja inayovuja.Nikikumbuka wale mafundi maneno yao ya kumshawishi tajiri atoe tenda huwa nacheka peke yangu utawasikia
"Shida sio aina ya paa shida hamkupata mafundi wataalamu ndio maana nyumba zinavuja,ukimpata fundi mtaalamu kuvuja sahau" baadae ukishampa tenda yanajitokeza yaleyale hahahaha
Ha ha ha! Katika harakati za ujenzi sijawahi kupenda hizi contemporary house.Vipi hali huko kwako/kwenu? Maji ya mvua yanaingia ndani au?
Haya kazi kwenu.....
Sitanazi biashara ya mtu ila utamtambua mtu kwa matendo yake...
View: https://youtu.be/OlSK2iaVAVM?si=l1RQdOHWyH82yMGC
Ila wabongo tunaroho mbaya sana wenyewe kwa wenyewe. Utakuta mtu kapata fundi mzuri bei nafuu ujenzi imara ila hatoi connection, akitoa anakuwa dalali bei juu ili na yeye afaidike.
Mwingine amepigwa halafu anaona na wewe unaelekea hukohuko kupigwa hakustui anakuacha na wewe uingie hasara.
Toboeni kishimo yatoke nje.Kwa jirani hapa Hali Tete maji yanaingia ndani utasema Kuna mafuriko.
Kuna jirani zangu wawili maji yalizama ndani kama masihara.Nlitaka piga hii kitu ila fundi akaniambia mzee yani hii kitu ilibidi tuanze kuiandaa tukiwa kwenye msingi sio tumemwaga mkanda wa lenta ndipo unakuja na wazo hili nyumba itavuja mpaka uchanganyikiwe. Nikaachana nayo nikaezeka kawaida na sasa hakuna hata sehemu hata moja inayovuja.
Haahaa acha woga.Ndani Kama Chini ya Mwembe.
Mtu kalala anashangaa gypsum inashukaKuna jirani zangu wawili maji yalizama ndani kama masihara.
Ilishuka kama masihara lakini haikuleta madhara kwa familia.Mtu kalala anashangaa gypsum inashuka
Kunavuja mbaya balaa fungus mpaka ndaniAaah, mafundi!!! Mhdastxsghtribcd zao.