Mlioezeka paa contemporary mvua zimeanza hali ikoje kwako?

Mlioezeka paa contemporary mvua zimeanza hali ikoje kwako?

Mafundi Michael wa Bongo ni tatizo kwenye ujenzi wa hizo nyumba.Kama mtu unapenda hizo nyumba bora utumia wahandisi sio hawa mafundi wetu ili kukwepa gharama,mwisho utalia.
Wahandisi wa hovyo tuu!kuna mafundi local wapo na uwezo mkubwa sana kuliko hao wahandisi wa kwenye makaratasi, Kifupi ujenzi huo haukuwa kwa ajili ya bati sema watu wanalazimisha tu
 
Hii style ni kama kausha damu kwangu sijaweka hivo Mimi ni zaidi ya hasara
 
Wahandisi wa hovyo tuu!kuna mafundi local wapo na uwezo mkubwa sana kuliko hao wahandisi wa kwenye makaratasi, Kifupi ujenzi huo haukuwa kwa ajili ya bati sema watu wanalazimisha tu
Kwahiyo mkuu ukitaka hii bora upige zege sio?
 
Back
Top Bottom