Sauti ya amani
Member
- Jul 19, 2022
- 64
- 89
Janabi namuonaga kama hayupo timamπNilisikia madogo wawili wanasema wanahisi pepa liliandaliwa na janabi mwenyewe
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Nilisikia madogo wawili wanasema wanahisi pepa liliandaliwa na janabi mwenyewe
Watu wa afya wameingia kwenye 18 za janabi πNilisikia madogo wawili wanasema wanahisi pepa liliandaliwa na janabi mwenyewe
WamegomaKama ilivo pangwa Leo usaili umeanza kwa kada ya afya Aya njooni mtupe update mtihan ulikuaje,mazingira ya mtihan n.k
Maswal yalkuwa mangap?Mtihani ulikua kawaida wameleta vitu vidogo vidogo na sisi tumejiandaa na vitu vikubwa unajikuta unakosa swali hadi unajitukana kimoyo moyo
30 tuMaswal yalkuwa mangap?
ππππππNilisikia madogo wawili wanasema wanahisi pepa liliandaliwa na janabi mwenyewe
Ni kweli matokeo unayapata hapohapo baada ya mtiani?Mtihani ulikua kawaida wameleta vitu vidogo vidogo na sisi tumejiandaa na vitu vikubwa unajikuta unakosa swali hadi unajitukana kimoyo moyo
Mkuu hebu funguka kidogo yalikuwa specific kwenye somo/course au yalikuwa general30 tu
Tatizo hamtaki interview..Tuacheni kwanza tutasema majibu yakitoka
Mkuu nani atakaye matatizo Dunia hii?.Tatizo hamtaki interview..