o_2
JF-Expert Member
- Jul 20, 2017
- 428
- 385
Akijibu ni tag mkuu.Nauliza ,je wanatoa maswali ya content?Au general tu kutoka kwenye field?Yani inabidi mtu ale module kiaina?Na kama ndyo,hii ni shida mana itabid mtu asome ya mwaka wa kwanza adi finali?
Naomben mwanga wakuu