Mliofanya usaili ajira za Afya tupeni update hali ilikuwaje

Mliofanya usaili ajira za Afya tupeni update hali ilikuwaje

Bado walimu,
Jamiii forums ita jam, watu tutashambuliwa ,utadhani sisi ndio akina Janabi.
Mbaga Jr amesema hawa watu wanahitaji ukaribu, anaweza ajiue.
Waalimu wana stress mno kuzidi watu wa afya, sasa hizi tabu zilizowatokea watu wa afya pamoja na kuwapa maelekezo namna ya kufanya ila bado ikifika zamu ya waalimu nao wataturudisha nyuma tuwape tena maelekezo.
 
Mkuu nani atakaye matatizo Dunia hii?.
Kwani wewe unataka interview? Au ndio akuna namna wenye mamlaka wamepanga hiwe hivyo TU .
Ata wewe upendi SEMA TU akuna namna utake usitake ndio ilivyo hivyo wenye nguvu washaamua .
Ishu n kwamba usaili unampa kazi mtu sahihi bila manung'uniko, kuliko ile kubeba hovyo. N sawa na kubet yn mkeka ukichanika unajua kabisa n Man U ndie kachana 😂 kuliko ile kubebana hujui hata wametumia vigezo gani na ukikosa kazi unajua kabisa kweny usaili nilizingua sehemu fulani.

Hv Mm naunga mkono usaili.
 
Ishu n kwamba usaili unampa kazi mtu sahihi bila manung'uniko, kuliko ile kubeba hovyo. N sawa na kubet yn mkeka ukichanika unajua kabisa n Man U ndie kachana 😂 kuliko ile kubebana hujui hata wametumia vigezo gani na ukikosa kazi unajua kabisa kweny usaili nilizingua sehemu fulani.

Hv Mm naunga mkono usaili.
Mkuu ni vile tu wewe ukunufaika na mfumo wa zoa zoa ndio mana.
Lakini ungenufaika ungeona mzuri TU
 
Back
Top Bottom