Waalimu wana stress mno kuzidi watu wa afya, sasa hizi tabu zilizowatokea watu wa afya pamoja na kuwapa maelekezo namna ya kufanya ila bado ikifika zamu ya waalimu nao wataturudisha nyuma tuwape tena maelekezo.Bado walimu,
Jamiii forums ita jam, watu tutashambuliwa ,utadhani sisi ndio akina Janabi.
Mbaga Jr amesema hawa watu wanahitaji ukaribu, anaweza ajiue.
Ishu n kwamba usaili unampa kazi mtu sahihi bila manung'uniko, kuliko ile kubeba hovyo. N sawa na kubet yn mkeka ukichanika unajua kabisa n Man U ndie kachana 😂 kuliko ile kubebana hujui hata wametumia vigezo gani na ukikosa kazi unajua kabisa kweny usaili nilizingua sehemu fulani.Mkuu nani atakaye matatizo Dunia hii?.
Kwani wewe unataka interview? Au ndio akuna namna wenye mamlaka wamepanga hiwe hivyo TU .
Ata wewe upendi SEMA TU akuna namna utake usitake ndio ilivyo hivyo wenye nguvu washaamua .
Unafikiri unaenda kufanya mtihani Kama anaofanya mwalimu wa biology.Mkuu hebu funguka kidogo yalikuwa specific kwenye somo/course au yalikuwa general
Amna tumeambiwa mpaka kesho asubuhiNi kweli matokeo unayapata hapohapo baada ya mtiani?
30 tuMaswal yalkuwa mangap?
Wamechanganya surgery, pediatric, Gynecology na internal medicineMkuu hebu funguka kidogo yalikuwa specific kwenye somo/course au yalikuwa general
Ngoja tusubirie majibu, ulibeba barakoa lakini?Wamechanganya surgery, pediatric, Gynecology na internal medicine
Yap lazima ngoja tusubiriNgoja tusubirie majibu, ulibeba barakoa lakini?
Barua utambulisho Serikali ya Mtaa ulibebaYap lazima ngoja tusubiri
Amna nilikua na kitambulisho cha nida sisi hatujasumbuliwaBarua utambulisho Serikali ya Mtaa ulibeba
Hongera kwa hii hatua.Amna nilikua na kitambulisho cha nida sisi hatujasumbuliwa
Shukran sanaHongera kwa hii hatua.
Siku moyo ukifeli ndo utaona ana timamuJanabi namuonaga kama hayupo timam😜
leta mfano wa swali moja tuonje ladha30 tu
Nitakua nishafariki mkuu...😥Siku moyo ukifeli ndo utaona ana timamu
Mkuu ni vile tu wewe ukunufaika na mfumo wa zoa zoa ndio mana.Ishu n kwamba usaili unampa kazi mtu sahihi bila manung'uniko, kuliko ile kubeba hovyo. N sawa na kubet yn mkeka ukichanika unajua kabisa n Man U ndie kachana 😂 kuliko ile kubebana hujui hata wametumia vigezo gani na ukikosa kazi unajua kabisa kweny usaili nilizingua sehemu fulani.
Hv Mm naunga mkono usaili.
Hizi ndio hints sasa hongera mkuu Mungu akujalie upite bila kupingwaWamechanganya surgery, pediatric, Gynecology na internal medicine
Shukran sana mkuuHizi ndio hints sasa hongera mkuu Mungu akujalie upite bila kupingwa
Wametambaa na scenario au ndio zile what is a cell? Tissue and organ?Wamechanganya surgery, pediatric, Gynecology na internal medicine