Amna wanakua wamenyoka wanasema kabsa uko kwenye emergency department amekuja mgonjwa mwenye Empyema utampa tiba ipi unaambiwa A . Oxygen therapy B middle aspiration vitu kama ivyo tuWametambaa na scenario au ndio zile what is a cell? Tissue and organ?
Kumbe yote ni multiple choices?Amna wanakua wamenyoka wanasema kabsa uko kwenye emergency department amekuja mgonjwa mwenye Empyema utampa tiba ipi unaambiwa A . Oxygen therapy B middle aspiration vitu kama ivyo tu
Mtihani ulikua kawaida wameleta vitu vidogo vidogo na sisi tumejiandaa na vitu vikubwa unajikuta unakosa swali hadi unajitukana kimoyo moyo
Multiple choice tukwahy kwa kutumia computer unatyp km unaandka assignment au ni multiple choice?komputa mmeitumiaje yaani
Ndio Mtihan saa moja tu nimemalizaKumbe yote ni multiple choices?
Rahisi sana tatizo ni pass mark itakayowekwa unaweza ambiwa ni 95%Ndio Mtihan saa moja tu nimemaliza
Ni noma na hawashindwi kabsaRahisi sana tatizo ni pass mark itakayowekwa unaweza ambiwa ni 95%
Kwahy kabla huu mwaka haujaisha lazima uwe na ofisi yako ya udaktari pale bugando au Muhimbili au siyo mkuuNdio Mtihan saa moja tu nimemaliza
Hahahaha..mwaka huu nimezichanga karata zangu vyema kabsaKwahy kabla huu mwaka haujaisha lazima uwe na ofisi yako ya udaktari pale bugando au Muhimbili au siyo mkuu
Safi sana mkuuHahahaha..mwaka huu nimezichanga karata zangu vyema kabsa
Saizi umekua mkorofi umu jukwaani.Kwahy matokeo bado tuu? π
Ukorofi wangu n upi mkuuSaizi umekua mkorofi umu jukwaani.
When you are out of the box everything is simple!Rahisi sana tatizo ni pass mark itakayowekwa unaweza ambiwa ni 95%
Nauliza ,je wanatoa maswali ya content?Au general tu kutoka kwenye field?Yani inabidi mtu ale module kiaina?Na kama ndyo,hii ni shida mana itabid mtu asome ya mwaka wa kwanza adi finali?30 tu
Sehemu yoyote inayozungumziwa interview huwezi wakuta kirahisi.Walimu piteni huku kuchukua madini.
Kuna mahali wanataka had kunipiga kisa nasapoti usaili π ety wanasingizia kuwa nna chuki na waalimuSehemu yoyote inayozungumziwa interview huwezi wakuta kirahisi.