Akijibu ni tag mkuu.Nauliza ,je wanatoa maswali ya content?Au general tu kutoka kwenye field?Yani inabidi mtu ale module kiaina?Na kama ndyo,hii ni shida mana itabid mtu asome ya mwaka wa kwanza adi finali?
Naomben mwanga wakuu
Tuliza akili kijana huna haja ya kupitia chochote pass mark yenyewe 58% kama unajua unajua tu na kama hujui hujui hata usome vipi.Akijibu ni tag mkuu.
ππTu
Tuliza akili kijana huna haja ya kupitia chochote pass mark yenyewe 58% kama unajua unajua tu na kama hujui hujui hata usome vipi.
ππππSehemu yoyote inayozungumziwa interview huwezi wakuta kirahisi.
Inategemea na ufaulu wa ujumla na idadi ya watu wanaotaka aitabiliki wanapiga panga kwenye pass mark yeyote hileTu
Tuliza akili kijana huna haja ya kupitia chochote pass mark yenyewe 58% kama unajua unajua tu na kama hujui hujui hata usome vipi.
Hilo jambo linatuhusu wengi sana nahisi kwa post hii utatusaidia wengi mkuu ahsante sanaKuna wapo waliokutana na hii ishu?View attachment 3086665
Nataka uthibitisho maana hayo maelezo yanatoka Facebook ndio maana nimeuliza hukuHilo jambo linatuhusu wengi sana nahisi kwa post hii utatusaidia wengi mkuu ahsante sana
Bila shaka huyo atakuwa ni wa afya huenda ikawa kweli ngoja tuendelee kufuatiliaNataka uthibitisho maana hayo maelezo yanatoka Facebook ndio maana nimeuliza huku
Walimu wakae kwa kutulia, wameshaona kwa wanzao wa afya walivyoingia kwenye 18 za PSRS-wakandaji. Wajipange haswa, usaili ndio mfumo mpya na utaendelea.Kuna mahali wanataka had kunipiga kisa nasapoti usaili π ety wanasingizia kuwa nna chuki na waalimu
Duh saiv kila course ni kupambana na usail yan mpaka unapata salary aisee unabid miaka 2 ule bata tu.Walimu wakae kwa kutulia, wameshaona kwa wanzao wa afya walivyoingia kwenye 18 za PSRS-wakandaji. Wajipange haswa, usaili ndio mfumo mpya na utaendelea.
Ndio hivyo mzee, kumbuka kila mwaka kuna kontena la wahitimu wanaingia mtaani na serikali inatangaza nafasi chache.Duh saiv kila course ni kupambana na usail yan mpaka unapata salary aisee unabid miaka 2 ule bata tu.
Hizo stori za mtaani tu mm vyeti vina majina mawili sijawahi kutana na hicho kitu maana majina matatu yapo kwenye NIDA na ndio yanayosoma kwenye mfumo,mwenye majina mawili harudishwiKuna wapo waliokutana na hii ishu?View attachment 3086665
Eti wanasema kama una initial katikati ya majina inabidi uthibitishe hiyo initial.Hizo stori za mtaani tu mm vyeti vina majina mawili sijawahi kutana na hicho kitu maana majina matatu yapo kwenye NIDA na ndio yanayosoma kwenye mfumo,mwenye majina mawili harudishwi
JiheshimuSehemu yoyote inayozungumziwa interview huwezi wakuta kirahisi.
πππππMtihani ulikua kawaida wameleta vitu vidogo vidogo na sisi tumejiandaa na vitu vikubwa unajikuta unakosa swali hadi unajitukana kimoyo moyo
Matokeo unaondoka nayo mkuu kama umepata 2/50 unajua tuNi kweli matokeo unayapata hapohapo baada ya mtiani?