kambagasa
JF-Expert Member
- Aug 18, 2014
- 2,269
- 1,803
Naamini kuna Watanzania wengi mliofika China inasemakana kipindi cha miaka ya 1960 tulikuwa sawa kimaendeleo.
Hatua waliyofikia hawa watu hususani katika nyaja ya miundo mbinu, viwanda na usalama katika nchi yao hivi kuna Mtanzania yoyote anaota kuna siku tutawafikia hata asilimia 3 tu hawa Wachina.
Hakuna trafiki barabarani ni camera tupu na hakuna bango la Raisi wa China mitaani, jinsi Wachina walivyo busy kazini, hakuna muda wa kucheza Pool table Wala foleni iliyosababiahwa na kiongozi kwamba anapita.
Kwa kifupi sioni hata umuhimu wa kuwepo bunge nimevurugwa kweli.
Hatua waliyofikia hawa watu hususani katika nyaja ya miundo mbinu, viwanda na usalama katika nchi yao hivi kuna Mtanzania yoyote anaota kuna siku tutawafikia hata asilimia 3 tu hawa Wachina.
Hakuna trafiki barabarani ni camera tupu na hakuna bango la Raisi wa China mitaani, jinsi Wachina walivyo busy kazini, hakuna muda wa kucheza Pool table Wala foleni iliyosababiahwa na kiongozi kwamba anapita.
Kwa kifupi sioni hata umuhimu wa kuwepo bunge nimevurugwa kweli.