Mliofiwa na wazazi (mama), mliwezaje kuvuka kipindi hiki?

Mliofiwa na wazazi (mama), mliwezaje kuvuka kipindi hiki?

Misiba mingi inaonekana inatokea ila hatukubaliani nayo.
Babu aliugua hadi nikatamani apumzike tu alikuwa 83.
Ila hawa wanao fariki 50s ni changamoto yan.
 
Ni kweli mimi kila ikifika au ikikaribia tarehe 07.02 huwa najisikia vibaya nakosa amani naanza kujichunguza ni kitu gani hakipo sawa bàadaye nakumbuka ni siku ambayo mama yangu alifariki. Huwa nakumbuka matukio yote inauma kwa kweli.

Halafu ukute kuna watu walikunyanyasa, kukutenga, kukudhulum mali za mzazi/wazazi wako baada ya kufariki unatamani uende kwa Mungu na kumshtakia awarudishe wazazi wasolve hilo tatizo, lakini ndio hivyo tena haiwezekani.
Kuhusu mali wala usiseme,wanafanyaga vile wanajua wataishi milele,
 
Tarehe 1.5.2020

Ilikuwa ijumaa majira ya saa moja asubuhi baba yangu alifariki. Siku hiyo tulikuwa na safari. Akiwa chumbani kwake anajiandaa nami niko nje naweka sawa gari kwa ajili ya safari. Baada ya kumaliza nilimgongea chumbani kwake ili kama yuko tayari tuweze kutoka, sikuamini nilicho kikuta aiseee. Namkuta mzee amelala kitandani huku tayari akiwa amefariki [emoji2357]

Siku hiyo hiyo, majira ya saa tatu usiku mama naye alifariki. Hii ni kufuatia mshituko alio upata. Ilikuwa ni siku ngumu sana maishani mwangu. Hakika jambo la uchungu halisahauliki [emoji26]

Jikaze mkuu, tuwaombee wazazi wetu kwa Mwenyezimungu maisha yao huko walipo yawe mazuri zaidi, nasi mwenyezimungu atujaalie mwisho mwema.
 
Tarehe 1.5.2020

Ilikuwa ijumaa majira ya saa moja asubuhi baba yangu alifariki. Siku hiyo tulikuwa na safari. Akiwa chumbani kwake anajiandaa nami niko nje naweka sawa gari kwa ajili ya safari. Baada ya kumaliza nilimgongea chumbani kwake ili kama yuko tayari tuweze kutoka, sikuamini nilicho kikuta aiseee. Namkuta mzee amelala kitandani huku tayari akiwa amefariki [emoji2357]

Siku hiyo hiyo, majira ya saa tatu usiku mama naye alifariki. Hii ni kufuatia mshituko alio upata. Ilikuwa ni siku ngumu sana maishani mwangu. Hakika jambo la uchungu halisahauliki [emoji26]

Jikaze mkuu, tuwaombee wazazi wetu kwa Mwenyezimungu maisha yao huko walipo yawe mazuri zaidi, nasi mwenyezimungu atujaalie mwisho mwema.
Aisee baba/mama siku moja[emoji24][emoji24]

Pole Sana.
 
Dah sasa ambao mama zetu walitangulia tukiwa na 3yrs tukoment wapi jmni

ukiona lako zito ujue kwa jirani ni zito zaidi
Kabisa mkuu, Kuna wengine tunaogopa hata kucomment, baba yangu alifariki nikiwa Nina miezi sita tu.
 
  • Masikitiko
Reactions: Ok9
Tarehe 1.5.2020

Ilikuwa ijumaa majira ya saa moja asubuhi baba yangu alifariki. Siku hiyo tulikuwa na safari. Akiwa chumbani kwake anajiandaa nami niko nje naweka sawa gari kwa ajili ya safari. Baada ya kumaliza nilimgongea chumbani kwake ili kama yuko tayari tuweze kutoka, sikuamini nilicho kikuta aiseee. Namkuta mzee amelala kitandani huku tayari akiwa amefariki [emoji2357]

Siku hiyo hiyo, majira ya saa tatu usiku mama naye alifariki. Hii ni kufuatia mshituko alio upata. Ilikuwa ni siku ngumu sana maishani mwangu. Hakika jambo la uchungu halisahauliki [emoji26]

Jikaze mkuu, tuwaombee wazazi wetu kwa Mwenyezimungu maisha yao huko walipo yawe mazuri zaidi, nasi mwenyezimungu atujaalie mwisho mwema.
Pole sana ndugu
 
Pole mkuu asee[emoji24]

Sipati picha mzazi kuondoka sijui ntakuwaje...wenye wazazi wote wawili tuzidi kumshukuru Muumba[emoji120][emoji120]
Nawazaga pia nikikutana mada kama hizi. Wakati mwingine najipa matumaini huenda nikatangulia nikawaacha.

Sijawah kuwalaumu kwa lolote licha ya wao kutengana im ok with them.
Kwa muda wote najitahidi nisiwape majitu ya mimi kua mwanao.

Namshukuru Mungu kwa uwepo wao kwangu.
 
Pole sana mkuu.

Tujifunze kua na moyo wa shukrani kwa kuona jema dogo kwenye ugumu mkubwa.

Wapo hawakuwah pata hisia za kuita baba/mama kwan walitangulia kwa kitambo sana.
Mshukuru Mungu(kama unamwamini) kwa kukujalia zawadi ya kua nae kwa kitambo hicho.

Mama amepumzika salama.
 
  • Thanks
Reactions: Ok9
Mkuu tulipita tu Kwa uwezo wa Yehova,na faraja za ndugu,jamaa na marafiki.
Aliniacha ndo namalizia darasa la sita kuingia la Saba.,niliumia ila hatimaye nikazoe na Leo Nina miaka 30+ napambana na maisha.
Asante Mungu wa mbinguni.
 
Wandugu habari, mama alikuwa mgonjwa na akaanza matibabu ila akiwa hospital akafariki. Hapa naenda msibani, ila siwezi kuvumilia kulia mara kwa mara licha ya kujikaza.

Kwa mliopata hii changamoto, mliwezaje kumove on? Nikifikiria ameenda bado mdogo hata 50 hajafika, ni mengi nawaza yananiumiza ila sometimes inabidi nifanye ujinga tuu ili kupoteza mawazo.
Acha kbs , binafsi nilipita Kwa shida mno , muombe Mungu azidi kukuimarisha tu.

Sent from my M2004J19C using JamiiForums mobile app
 
  • Thanks
Reactions: Ok9
I can't image and I don't want to happen plz very sorry mkuu
 
  • Masikitiko
Reactions: Ok9
Wandugu habari, mama alikuwa mgonjwa na akaanza matibabu ila akiwa hospital akafariki. Hapa naenda msibani, ila siwezi kuvumilia kulia mara kwa mara licha ya kujikaza.

Kwa mliopata hii changamoto, mliwezaje kumove on? Nikifikiria ameenda bado mdogo hata 50 hajafika, ni mengi nawaza yananiumiza ila sometimes inabidi nifanye ujinga tuu ili kupoteza mawazo.
Pole sana aisee ni kipindi kigumu sana
Ila muda utakuponya
 
  • Thanks
Reactions: Ok9
Hapa nipo naskiliza ngoma DEAR MAMA by legend 2Pac

Mama alifariki niko F4, nilichomolewa Class kupewa taarifa za Msiba!

RIP Mama

Pole sana Mkuu
 
  • Thanks
Reactions: Ok9
Ndugu zangu wapendwa habari za muda mrefu tena.
Ninajitahidi kuzoea hali ya kutokuwa na mama ila bado siamin kama ndo mazima.... Inauma lkn hakuna namna.
Mama tulimzika na matanga tayri.

Kuna kauli nilizokutana nazo kwa kipindi hiki nazikumbuka sana naomba niweke hapa.

Dadammoja ambaye yeye ni Yatima na amekuwa vizuri mikononi mwa ndugu wengine na sasa yupo JWTZ alinipigia simu na kuniambia: SHUKURU WEWE MZAZI AMEKUKUZA HADI HAPO ILA WENGINE WANAPOTEZA WAZAZI MAPEMA ZAIDI.
hii kauli iliniingia kichwani.

Binamu yangu mmoja aliniambia.
Nimekuja msibani sio kwa ajili ya baba yenu(kwake ni mjomba) wala ninyi (sisi sasa) ila ni sababu za mama yenu (marehemu) the way alivyoishi na sisi....ana heshima kubwa. Kuna vitu alitengeneza ambavyo vina msaada mkubwa kwetu na sisi tuendeleze.
Pia SWALA MSIBA LISAHAU MAPEMA MAANA KUNA MAISHA BAADA YA MSIBA.

Wa tatu ni broo mmoja ambye hata simjui.
Mama yako yupo sehemu salama zaidi ya hapa duniani hakuna haja ya kusikitika.

Hizi ni chache zinazo run kichwani muda wote ila ni nyingi sana ninazo kumbuka .
Nathamini kila mchango wa mwana JF kwan nimepitia kila comment na zimenifariji sana sana.
 
Ndugu zangu wapendwa habari za muda mrefu tena.
Ninajitahidi kuzoea hali ya kutokuwa na mama ila bado siamin kama ndo mazima.... Inauma lkn hakuna namna.
Mama tulimzika na matanga tayri.

Kuna kauli nilizokutana nazo kwa kipindi hiki nazikumbuka sana naomba niweke hapa.

Dadammoja ambaye yeye ni Yatima na amekuwa vizuri mikononi mwa ndugu wengine na sasa yupo JWTZ alinipigia simu na kuniambia: SHUKURU WEWE MZAZI AMEKUKUZA HADI HAPO ILA WENGINE WANAPOTEZA WAZAZI MAPEMA ZAIDI.
hii kauli iliniingia kichwani.

Binamu yangu mmoja aliniambia.
Nimekuja msibani sio kwa ajili ya baba yenu(kwake ni mjomba) wala ninyi (sisi sasa) ila ni sababu za mama yenu (marehemu) the way alivyoishi na sisi....ana heshima kubwa. Kuna vitu alitengeneza ambavyo vina msaada mkubwa kwetu na sisi tuendeleze.
Pia SWALA MSIBA LISAHAU MAPEMA MAANA KUNA MAISHA BAADA YA MSIBA.

Wa tatu ni broo mmoja ambye hata simjui.
Mama yako yupo sehemu salama zaidi ya hapa duniani hakuna haja ya kusikitika.

Hizi ni chache zinazo run kichwani muda wote ila ni nyingi sana ninazo kumbuka .
Nathamini kila mchango wa mwana JF kwan nimepitia kila comment na zimenifariji sana sana.
Pole Sana.yalinikuta.hayo,nilikuwa Nalia kila siku kwa Maana Mimi ndo nilikuwa namuuguza,masaa ya kumpa dawa nilikuwa nayajua Mimi.Kila inapofika siku ya xmass Ni msiba Tena,yaani Nalia Mimi,Nalia Sana.Chakula Cha siku hiyo huwa Ni kichungu Sana kwangu.Yaani huwa sipendi siku ya xmass.Nimeshindwa kumove on kwa kweli kuhusu xmass yaani Ni kilio kila mwaka.Yote Tisa kumi kuifuta namba ya simu ya MAREHEMU mama,ilikuwa Ni mtihani kwangu.yaaani nimelia saaaana.Usijali mkuu,Mungu mwema,atakuvusha tu.
 
ni kweli inaumiza ila ninachokiona kwako ni kama unajiendekeza unalazimisha uchungu. Huenda wewe ni mnyak. Likipita piga moyo konde ruhusu maisha mengine yasonge Mkuu kila mtu maewahi kufiwa na mtu wake wa karibu. Ila kuendelea kuandika andika kila saa huku ni utoto na kutafuta faraja ya lazima na kutafuta Huruma

Pole sana Yesu akutie Nguvu na Roho ya uchungu ikutoke
 
  • Thanks
Reactions: Ok9
Shukuru Mungu..kuna majembe toka wadogo hawajui Baba na Mama.
Kula yao na vaa yao ni Rehema za Mungu.
Wakisikia mtu kaita Mama...au Baba..wanapata maumivu makali ndani ya roho zao .
 
  • Thanks
Reactions: Ok9
Back
Top Bottom