Mjomba Fujo
JF-Expert Member
- Oct 27, 2012
- 2,438
- 6,313
Pole sana ndugu katika kipindi hichi kigumu.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Dah pole sana mkuuAisee inauma sana. Mimi aliondoka na 42.
Pole Sana.Umepata na muda wa kuandika
Nimefiwa na mama tar 1 mwezi huu ,sikua na hizi nguvu za kuandika
AnsantePole na wewe pia. Kifo hakizoeleki.
Dah sasa ambao mama zetu walitangulia tukiwa na 3yrs tukoment wapi jmni
ukiona lako zito ujue kwa jirani ni zito zaidi
Dah jamani, nimeumia sanaMkuu Mimi mama yangu alifariki akiwa na umri mdogo Sana yaani alikuwa na miaka 32 Mimi nikiwa na miaka 7 tu [emoji24][emoji24]
Dah nimekuwa speechless 😢😢Mkuu pole sana.
Haielezeki na haivumiliki ila unatakiwa kuukubali ukweli kwamba hayupo tena.
Mimi alifia mikononi mwangu halafu ndio nilikua nimeanza kupanda mlima wa mafanikio angalau nianze kulipa fadhila zake ila ikashindikana.
Kinachoniumiza zaidi ni kwamba ali sacrifice maisha yake kwa mafanikio yangu ya ya watoto wake wengine kwa maana kwamba nilitafta hela nimpeleke India akakataa kwamba hata kama akienda akapata nafuu bado atakufa so nisiharibu hela, akakataa kabisa.
Akasema kama nina hela ya kumtibu, basi niitumie kusaidia ndugu zangu wengine (nina ndugu zangu wengine mambo yao hayakua sawa) akaniambia niwasaidie hao ila sio yeye.
Nikapambana nae Muhimbili lakini ikawa hivyo so akafariki mikononi.
Kwa sacrifice aliyofanya, ikabidi na mimi niamue jambo moja, nikaamua ku sacrifice kila kitu changu kwa miaka 4 kuwabust hao jamaa, yaani sikufanya maendeleo yangu binafsi yoyote kwa miaka 4 angalau wakae level. Kwa miaka 4 mapato yangu yote nimeffanya hivyo.
Anyway, nimetoka kumuota usiku huu halafu naamka nakutana na hii mada, mada kama hizi hua sipendi kuzisoma maana naishia kulia tu.
Mama yangu endelea kupumzika kwa amani, najua sacrifice yako kwenye maisha yangu haina mfano na sitakaa kuja kuilipa hata robo. Namini one day tutaonana tena.
Asante nduguPole Sana.
Ahsante sana mkuu.Da
Dah pole sana mkuu
Ni kweli mimi kila ikifika au ikikaribia tarehe 07.02 huwa najisikia vibaya nakosa amani naanza kujichunguza ni kitu gani hakipo sawa bàadaye nakumbuka ni siku ambayo mama yangu alifariki. Huwa nakumbuka matukio yote inauma kwa kweli.Ansante
[emoji1545],tarehe ya leo tareh 25.... ni kumbukumbu ya kifo cha baba yangu[emoji24][emoji24][emoji24],
Naona kama vile bado yupo ndani ya nyumba[emoji24][emoji24][emoji24][emoji24]
Yaani kuna wakati napatwa na mitihani,najisemeaga tu angekuwepo baba[emoji24][emoji24][emoji24][emoji24]
Allah amrehemu
Pole sana.mkuu.Hata mimi nikimkumbuka mama yangu huwa namuona akitabasamu siku zote. Baba naye alishatangulia mbele ya haki tena 2012 lakini picha yake haiji kama ya mama .Nilikuwa masomoni, nikapanga likizo ya December 2020 nikafanyie sapraizi.
Tarehe 22 Okt 2022 nikadanganywa kesho uende nyumbani mama mgomjwa.
Nikajiandaa zangu mmajira ya saa 5 usiku nakuta SMS.
“Pole sana kwa kuwa na kipindi hiki kigumu cha kuondokewa na mama. Mungu akutie nguvu mdogo wangu.”
Nililia kama mtoto, nilishindwa kulala usiku. Yaani ile nafika nyumbani kila nikiangalia picha za mama pale ukitani akiwa anatabasamu naishia kulia tu[emoji24]
Kama ww n mwanaume n kukaza roho mkuu ...huwez badili kitu..mm nmefiwa na mama angu mwezi wa 6 mwaka huu nilipata taarifa asubuh nikiwa tayari naenda kazin tena n mbali na hakuna dereva n ww mwenyew ...IMAGINE NLIPGA KAZ HADI JION NKARUD ZEN NIKAWAAMBIWA WAFANYAKAZI WENZANGU kwamba maza gone!!! Ukizaliwa mwanaume tambua hutakiwi kutia huruma n kukubaliana na tukio lolote. .na katika maisha jiandae kuskia habar yoyote mbaya au zur...OVERWandugu habari, mama alikuwa mgonjwa na akaanza matibabu ila akiwa hospital akafariki. Hapa naenda msibani, ila siwezi kuvumilia kulia mara kwa mara licha ya kujikaza.
Kwa mliopata hii changamoto, mliwezaje kumove on? Nikifikiria ameenda bado mdogo hata 50 hajafika, ni mengi nawaza yananiumiza ila sometimes inabidi nifanye ujinga tuu ili kupoteza mawazo.
Pole Mkuu!!!Uzi mchungu sana huu leo namzika mamangu kipenzi Kiufupi wacha nilie tu maana maumivu hayaelezeki
Sent from my Infinix X650B using JamiiForums mobile app
Pole Sana Sana nduguUzi mchungu sana huu leo namzika mamangu kipenzi Kiufupi wacha nilie tu maana maumivu hayaelezeki
Sent from my Infinix X650B using JamiiForums mobile app