mawardat
JF-Expert Member
- Apr 27, 2021
- 23,965
- 131,949
Yes fanya hivyo,Mama angu mlezi alifariki April 10 2019, toka kipindi hicho hua namuota sana. Mara nyingi nilikua namuota tupo kwenye nyumba niliyokulia namuona anapika. Mwezi uliopita nilimuota kafariki wakamleta kanisani akiwa kavishwa sanda. Niliokopa sana.
She was muislim, nimeulizia kwa wenye uelewa wa dini hii wananishauri nikamfamyie kisomo hiyo hali inaweza kuisha. Naplan kufanya hivyo siku moja, Hopefully Mungu ataniwezesha