Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mambele nako kuna kuku wa kienyeji na kisasa lo???
Hela ndogo tu laki moja wewe siwezi kukukomoa na shopping kidogoShingapi unataka?
vipi kuhusu hao broila wanafugwa sana na kuliwa sana na wazungu kama huku tz?Wa kienyeji wapo wengi tu.
Pande za huku kuna watu wengi tu wanawafuga.
Majirani zangu wanafuga hao wa kienyeji. Wanafuga na mbuzi pia 😀.
Pia farmer’s markets huwa zina options nyingi, ikiwemo kuku wa kienyeji.
Sijui. Huwa siendi kukagua majiko na meza za watu kuona wanapika na kula vitu gani.vipi kuhusu hao broila wanafugwa sana na kuliwa sana na wazungu kama huku tz?
Ndiyo na wanakula ndiyo maana hata wanawake wa ulaya siyo watamu...Mambele nako kuna kuku wa kienyeji na kisasa lo???
Wamekaa kihasara hasara but wako na brain mingi sana eti
Nakupa laki mbiliHela ndogo tu laki moja wewe siwezi kukukomoa na shopping kidogo
Wapo ndiyo, hata mbwa koko wapo.Ulaya na Marekani bado kuna kuku wa kienyeji??
Weee kumbe!!Ndiyo na wanakula ndiyo maana hata wanawake wa ulaya siyo watamu...
Hahaha...
Mada hivi Texas na new york ipi imejengekanipo texas apa
aisee kuku wakienyeji kwa nadra sana labda waagize kutoka huko uwapate supermarket wana umbo dogo sana kutokana na maisha yao mchakamchaka kukimbizana na mwewe kunguru nk.,
huku kuku ni wakubwa bila shaka wamekuzwa kihuni na makampuni makubwa $12.5
Weka nanusu kabisaNakupa laki mbili
Siyo watamu kama haujahonga pakubwa!Ndiyo na wanakula ndiyo maana hata wanawake wa ulaya siyo watamu...
Hahaha...
Swali la kujiuliza je wazungu wanakula kuku wa nyama au wa Mayfair....bro kuku wa Mayfair waxungu hawali wanakula hao mnaoita wa wk wa nyama cause ndo special kwa kuliwa wa mayai wakimaliza kazi zao wanawateketezaNani alikuambia kuku wa kienyeji ndiye bora??
Haya njooWeka nanusu kabisa
Ulosema ni kweli tupu. Kuku wa kienyeji, Ulaya wanaitwa free range. Utakuta mtu ana shamba lakini limezungushiwa uzio. Cha ajabu kuku wa nazunguka humo ila wana pewa chakula hiki hiki cha viwandani. Hao Ndiyo wanaitwa wa kienyeji. Bei yake iku juu watu wengi hawanunui. Watu wengi almost 95% wananunua caged chicken meat. Matajiri ulaya wanakula pheasant huku kwetu anaitwa Kwale hao Ndiyo 100% organic na bei yake kitu kama nusu kilo ni kama sh 50,009 za Tanzania.Sio kienyeji halisi kwa maana wanawalisha madawa sana na wao ndio wanzilishi wa kuku za kisasa so vitu vingi vyao sio original . Why unauliza si ugoogle
Kuku ni kuku tu,wapo wa kienyeji na kisasa popote dunianiNachojua mzungu ana hela nyingi na kama ni kula daima anapendelea kula vilivyo bora sijajua kwa maendeleo tulionayo hapa duniani kiasi cha kuanza kufuga broiler wa biashara na wanaliwa kwelikweli.
Nachojua hii teckonolojia ni ya kwao mataifa yaliyoendelea sasa swali ni je na wao wanawatafuna hawahawa broiler na je ulaya huko wanafuga pia wa kienyeji kama hawa wa kwetu.?
Vijijini wapoUlaya na Marekani bado kuna kuku wa kienyeji??
Hata akili za kuvukia barabara hazikusaidii kukwambia kipi bora kati ya artificial and natural foods?Nani alikuambia kuku wa kienyeji ndiye bora??