Mliokaririshwa uongo kuwa mishahara ya walimu ni midogo kuliko watumishi wengine wa serikali, nawaanikia hapa

Mliokaririshwa uongo kuwa mishahara ya walimu ni midogo kuliko watumishi wengine wa serikali, nawaanikia hapa

Mkuu,
Hebu achana na hekaya za
"za mwizi arobaini"

Za mwizi zinafika kwa yule anaepiga hela za kipumbavu, ila yule anaepiga ufisadi wa kueleweka hata jela haendi.

Mf: unapiga dili la billion moja ,
afu ukipelekwa mahakamani unahonga Kama mil.200 kwa waendesha mashtaka,mawaliki wa serikali na majaji,
Mchongo ni unakiri kosa HARAKA ili usisote Sana jela ili kusubir uchunguzi.
afu jaji anakuhukumu kulipa faini ya mil.10 au kifungo Cha miaka 5 kwa kuisababishia serikali hasara ya bil.10.
unalipa faini unatoka, unatembe zako na bakshishi ya mil. 710 kibindoni[emoji4]
Waliokuwa na akili kama zako saa hii wanasota!! Mfano wa karibu ni Sabaya!
 
Hicho ni kipato cha ziada na hana sababu ya kutokukihitaji! Hiyo ni akili kubwa! Nimekuambia kuwa kimsingi watumishi wa serikali walio wengi mishahara yao ni kidogo sana. Huyo ambaye hajaomba si kwamba yeye ndiyo mwenye mshahara mkubwa. Halafu taaluma ya ualimu imewafanya wawe na ufahamu wa mambo mengi na wanajiamini kuwa kwenye usaili watafanya vizuri!! Wengine yawezekana wanapenda pia kuomba nafasi hizi lakini hawajiamini kama watafailu kwenye usaili maana huko watapambana na walimu pia ambao ubongo wao una chaji muda wote!!
Mkuu wewe unawatetea kwa maneno tu lakini huku mtaani hali zinawaumbua.

Waalimu ndio watu wasioamika kukopeshwa kwenye mabar huko, yaani akikopeshwa mwalimu basi muuzaji anahesabia maumivu tu.
 
Mikopo wanayo watumishi wote! Kama ni mikopo ya bodi ya elimu ya juu wanayo watumishi wa kada zote, kama ni mikopo ya benki na sakosi wanayo pia watumishi wote! Hayo ndiyo mambo waliyokaririshwa kuwa eti ni walimu tu wenye mikopo wakati siyo!
Shikamoo Mwalimu
 
Mkuu wewe unawatetea kwa maneno tu lakini huku mtaani hali zinawaumbua.

Waalimu ndio watu wasioamika kukopeshwa kwenye mabar huko, yaani akikopeshwa mwalimu basi muuzaji anahesabia maumivu tu.
Ni kwa sababu ya uelewa mdogo wa watu!! Walimu hawazidiwi chochote na kada zingine zaidi ya wizi na utapeli!! Nimehakikisha kuwa ndani ya miaka 10, walimu hufanikiwa na kuwa mbele sana katika maisha kuliko wenzao wa kada zingine!!

Huko vijijini wanalima sana, wala hawana shida ya maisha! Kuna mwalimu mmoja jirani yangu alijenga bonge la nyumba, watu hawakuamini kama ni nyumba yake, wakawa wanasema anasimamia nyumba ya mtu!!

Alipokuja kuhamia ndio wakaamini kuwa ni nyumba yake!! Wengine wakasema labda ni pesa ya kustaafu wakati bado ana miaka zaidi ya 15 ya kufanya kazi kabla ya kustaafu!! Alipojenga nyumba akaelekeza nguvu kwenye usafiri na sasa ana usafiri wake mzuri!! Akisikia watu wanadharau ualimu yeye anawachora tu!!
 
Ni kwa sababu ya uelewa mdogo wa watu!! Walimu hawazidiwi chochote na kada zingine zaidi ya wizi na utapeli!! Nimehakikisha kuwa ndani ya miaka 10, walimu hufanikiwa na kuwa mbele sana katika maisha kuliko wenzao wa kada zingine!! Huko vijijini wanalima sana, wala hawana shida ya maisha! Kuna mwalimu mmoja jirani yangu alijenga bonge la nyumba, watu hawakuamini kama ni nyumba yake, wakawa wanasema anasimamia nyumba ya mtu!! Alipokuja kuhamia ndio wakaamini kuwa ni nyumba yake!! Wengine wakasema labda ni pesa ya kustaafu wakati bado ana miaka zaidi ya 15 ya kufanya kazi kabla ya kustaafu!! Alipojenga nyumba akaelekeza nguvu kwenye usafiri na sasa ana usafiri wake mzuri!! Akisikia watu wanadharau ualimu yeye anawachora tu!!
Mkuu hapa hatubishani kuhusu ukubwa wa mishahara bali unafuu wa maisha.
Sasa peaa ya wizi sio pesa ama??
 
Mwalimu mwenye degree Basic yake ni 771,000/=..? Kwan Askar Jesh au Polisi mwenye degree nae analipwa sh ngap nliwahi sikia wao wana mishahara miwili na katikat ya mwez wanalipwa
 
Nataka jamii ibadili kabisa mtazamo hasi na potofu kuhusu walimu!! Mwalimu si fukara, mwalimu si maskini, japo mwalimu anapunjwa mshahara (japo uko juu kuliko wengine) kulingana na ugumu wa kazi yake1! Kwenye nchi zilizoendelea mwalimu ndiye hulipwa mshahara mkubwa sana!

Mabinti msiogope kuolewa na walimu! walimu wanajua maisha, walimu wana mipango bora ya maisha! Ukitaka kulijua hilo linganisha walimu wastaafu na watumishi wastaafu wa kada zingine!! Mwisho wa siku mwalimu yuko juu!!
 
Jamii ya watanzania wanavyoelewa ni kwamba kazi ya ualimu ndiyo yenye mshahara mdogo kuliko kazi zingine zote. Hivyo hii imepelekea hadhi ya mwalimu kwenye jamii kushuka sana na mwalimu kuhesabika kuwa ni duni katika jamii. Lakini hii si kweli hata kidogo. Msichana akitaka kuchumbiwa na mwalimu anajisikia mnyonge, na mara nyingi hukataa labda akihisi kuwa umri unamtupa mkono au akiona hajapata chaguo la moyo wake.

Ukweli ni kwamba watumishi wote wa serikali (walimu na kada zingine) mishahara yao iko chini sana! Lakini ukiilinganisha hiyo mishahara yao midogo, mshahara wa mwalimu unakuwa juu kidogo kuliko kada zingine isipokuwa kwa kada ambazo wanasoma miaka mingi zaidi kama madaktari, wafamasia na wahandisi.

Ngoja niwaanikie hapa:

Mishahara ya walimu wanaoanza wenye digrii ya kwanza:
Hadi Juni 2022 walikuwa kwenye TGTS D1 = 716,000/=
Kuanzia Julai 2022 wanakuwa kwenye TGTS D1 = 771,000/=

Mishahara ya kada zingine wasio walimu wenye digrii ya kwanza:
Hadi June 2022 walikuwa kwenye TGS D1 = 710,000/=
Kuanzia Julai 2022 wanakuwa kwenye TGS D1 = 765,000/=

Kwa hiyo hadi Juni 2022 mshahara wa mwalimu ulikuwa unazidi mshahara wa kada nyingine kwa sh 6,000/=.
Kuanzia Julai 2022 mshahara waq mwalimu unazidi mshahara wa kada zingine kwa sh 6,000/= pia.

Kwa wastani mishahara ni midogo kwa wote japo jamii inaamini kuwa mwalimu ndiye mwenye mshahara mdogo wakati siyo kweli. Wahanga wa uongo huu wamekuwa ni wasichana kukataa kuolewa na walimu na kushobokea kada zingine kwa kigezo cha mshahara.

Mtumishi wa serikali akilalamika kuwa mshahara ni mdogo watu wanakimbilia kusema kuwa huyo lazima atakuwa ni mwalimu.

Nashauri tuwaheshimu sana walimu wetu, tusiwabeze bali tuwatie moyo maana kazi yao ni ngumu na ni muhimu sana. Kinachoendelea kwenye mitandao ya kijamii kwa sasa ni kukejeli walimu eti ndio wanaolalamikia nyongeza kiduchu ya mshahara mwaka huu kinyume na matarajio yao.
Watumishi wengine wanalipwa overtime kwa siku 15 kwa mwezi ambazo hazikatwi kodi , kwa rate ya sasa 60,000 × 15 = 900,000
Analipwa posho ys vikao na kazi, kupitia madokezo,
Mealimu ukitoa mshahara hana chochote kingine anachotegemea,akiukopea mshahara ndo kabisaaaaa utamuonea huruma!
 
Mwalimu mwenye degree Basic yake ni 771,000/=..? Kwan Askar Jesh au Polisi mwenye degree nae analipwa sh ngap nliwahi sikia wao wana mishahara miwili na katikat ya mwez wanalipwa
Kwa mwanajeshi sina uhakika, lakini kwa polisi wanapigwa gepu na walimu!! Halafu kupanda cheo kwenye upolisi ni ngumu sana!!Kwa zamani ukijiunga polisi na digrii autoimatically unakuwa afisa muda mfupi, lakini siyo leo!! Unabaki private na digrii yako hadi miaka ya kueleweka!! Hizo ndizo kazi zinazotegemea kipato ambacho si rahisi kukielezea kimaadili! rushwa, uonevu nk!1
 
Walimu Hawana dili Wala marupurupu ya ziada Kama kada nyingine, hiki Ndo kinawafanya kua maskini Sana

1. Dreva wa halmashaur ana mshahara mdg kuliko mwalimu ila atapiga dili za vifusi,mchanga,kokoto n.k night za misafara n.k

2. Afisa biashara au ardhi wa halmashaur ana mshahara mdg kuliko mwalimu,
Ila atapiga rushwa za leseni za kufa mtu.

3. Afisa mifugo au kilimo atapiga elfu tano tano za sindano mifugo ya watu au atalima mashamba yake uko uchochoroni kwa kutumia dawa au pembejeo za ruzuku za serikali.

4. Mfamasia atakula laki tano tano kila mwezi for free za cheti chake tu kutumika kwny maduka ya dawa ya watu uko mitaani uku katulia tu..

5. Daktar au nesi wa halmashaur,
Hawa dili za semina,mafunzo n.k Ni nyingi mno(covid 19, chanjo, ukoma, malelia n.k). Hapo bado hawajaiba vifaa Tiba na kuviingiza mtaani kwenye hospital binafs.
[emoji117] Kuna na mabwana afya kaam matrafiki TU, wanatupiga Sana elfu hamsin hamsi Za faini uku mitaani

6. Wahasibu na maafisa manunuzi wa halmashaur wanapiga Sana dili za kimahesabu na 10% wakishirikiana na maboss wao (wakurugenz) ili Kupiga Cha juu kwenye tenda na matumiz mbalimbali ya fedha kwny halmashaur.

7. Maengineer wa halmashaur Ndo kabsaa wezi wakubwa, wao kila mradi wa serikali wakipewa kusimamia Lazima umalizike na yeye tayar ana kijumba keshakijenga kwa material zile zile za mradi.

8. Maafisa masjala wao Ni Kama matrafiki au madalali wa viunga vya halmashaur, una faili lako pale kwa mkurugenz au mkuu wa wilaya,ili likimbie chap chap Lazima utamwachia elfu 2 au elfu 5 ya maji.

9. Afisa maliasili wa halmashaur Hawa Ni wazee wa madili na rushwa za misitu,mikaa,mbao na magendo mbalimbali ya serikali.

10. Afisa utumiishi Hawa ndio wazee wa madili ya watumishi hewa.
[emoji117]Mtu anafariki, ripoti haiendi hazina kusitisha mshahara. Inatolewa ripoti ya mwajiriwa kubadili account yake, mshahara wa marahemu wanaula hata miaka 10 mfulurizo bila yeyote kujua.
[emoji117]mtu anamakosa ya kinidhamu,kasimamishiwa mshahara. Ripoti haiendi hazina, inabadilishwa tu account. Wanaupiga kimya kimya. Ukisamehewa ukarudishiwa mshahara, ule wa nyuma hata uulizii.
[emoji117]mtu anaripoti Ila haendi kituo Cha KAZI, au anaacha kazi anaenda zake private kwa muda.
wanakula dili na afisa utumishi, wanaugawana nusu nusu huku yeye Yuko zake private sector anapiga Ela nyingine.

Kama Kuna mtumish mwngne wa halmashaur nmemsahau nikumbushe.

Ila kiuhaisia mwalimu nje ya mshahara sijui atapiga dili gani atoboe,

ukiachilia mbali suala la twisheni ambalo bado kipato chenyewe Ni kidg mno na jasho linalomtoka Ni jingi mno

Sijui atapiga dili gan jingine maana vitabu vyote vya serikali vimeandikwa "HAKIUZWI", boksi lenyewe la chaki Mtaani halizidi hata elfu 2.
Kujisifia wizi na madili kinyume na maadili kwa kada zingine ni aibu kwa Taifa na siku zote hakuna mwisho mzuri. WAlimu wana pesa za halali kwa mfano tuition ambazo ni nyingi sana mitaani. Mwalimu akistaafu bado taaluma yake inahitajika kwenye jamii na anaendelea kupiga pesa ya halali na yenye heshima! Lakini kichwa cha mwalimu kina chaji muda wote hadi uzeeni na anawasaidia sana watoto wake!! Ualimu ni mzuri na unastahili kuheshimiwa sana!
 
Of course, Walimu hawana mishahara midogo.

Mwalimu anazidiwa mshahara na kada za Afya, Engineering, na Sheria ( Advocate ) peke yake.
 
Ni afadhali niishi kwa kiwango kinachoendana na kipato changu kuliko kupokea rushwa na kujidanganya kuwa una kipato kikubwa, fainali ikifika kuna mmoja anaumbuka! Hivi mlishawahi kushuhudia maisha ya polisi wastaafu huko mitaani!!! Ni fedheha!! Wengi huishia kulinda kwenye majumba na maduka ya watu kwa kutumia virungu!! Mambo ya rushwa kwishney!!
 
Walimu Hawana dili Wala marupurupu ya ziada Kama kada nyingine, hiki Ndo kinawafanya kua maskini Sana

1. Dreva wa halmashaur ana mshahara mdg kuliko mwalimu ila atapiga dili za vifusi,mchanga,kokoto n.k night za misafara n.k

2. Afisa biashara au ardhi wa halmashaur ana mshahara mdg kuliko mwalimu,
Ila atapiga rushwa za leseni za kufa mtu.

3. Afisa mifugo au kilimo atapiga elfu tano tano za sindano mifugo ya watu au atalima mashamba yake uko uchochoroni kwa kutumia dawa au pembejeo za ruzuku za serikali.

4. Mfamasia atakula laki tano tano kila mwezi for free za cheti chake tu kutumika kwny maduka ya dawa ya watu uko mitaani uku katulia tu..

5. Daktar au nesi wa halmashaur,
Hawa dili za semina,mafunzo n.k Ni nyingi mno(covid 19, chanjo, ukoma, malelia n.k). Hapo bado hawajaiba vifaa Tiba na kuviingiza mtaani kwenye hospital binafs.
[emoji117] Kuna na mabwana afya kaam matrafiki TU, wanatupiga Sana elfu hamsin hamsi Za faini uku mitaani

6. Wahasibu na maafisa manunuzi wa halmashaur wanapiga Sana dili za kimahesabu na 10% wakishirikiana na maboss wao (wakurugenz) ili Kupiga Cha juu kwenye tenda na matumiz mbalimbali ya fedha kwny halmashaur.

7. Maengineer wa halmashaur Ndo kabsaa wezi wakubwa, wao kila mradi wa serikali wakipewa kusimamia Lazima umalizike na yeye tayar ana kijumba keshakijenga kwa material zile zile za mradi.

8. Maafisa masjala wao Ni Kama matrafiki au madalali wa viunga vya halmashaur, una faili lako pale kwa mkurugenz au mkuu wa wilaya,ili likimbie chap chap Lazima utamwachia elfu 2 au elfu 5 ya maji.

9. Afisa maliasili wa halmashaur Hawa Ni wazee wa madili na rushwa za misitu,mikaa,mbao na magendo mbalimbali ya serikali.

10. Afisa utumiishi Hawa ndio wazee wa madili ya watumishi hewa.
[emoji117]Mtu anafariki, ripoti haiendi hazina kusitisha mshahara. Inatolewa ripoti ya mwajiriwa kubadili account yake, mshahara wa marahemu wanaula hata miaka 10 mfulurizo bila yeyote kujua.
[emoji117]mtu anamakosa ya kinidhamu,kasimamishiwa mshahara. Ripoti haiendi hazina, inabadilishwa tu account. Wanaupiga kimya kimya. Ukisamehewa ukarudishiwa mshahara, ule wa nyuma hata uulizii.
[emoji117]mtu anaripoti Ila haendi kituo Cha KAZI, au anaacha kazi anaenda zake private kwa muda.
wanakula dili na afisa utumishi, wanaugawana nusu nusu huku yeye Yuko zake private sector anapiga Ela nyingine.

Kama Kuna mtumish mwngne wa halmashaur nmemsahau nikumbushe.

Ila kiuhaisia mwalimu nje ya mshahara sijui atapiga dili gani atoboe,

ukiachilia mbali suala la twisheni ambalo bado kipato chenyewe Ni kidg mno na jasho linalomtoka Ni jingi mno

Sijui atapiga dili gan jingine maana vitabu vyote vya serikali vimeandikwa "HAKIUZWI", boksi lenyewe la chaki Mtaani halizidi hata elfu 2.
Kwa haraka haraka tu, nimeelewa kwamba katika kada zote ni walimu pekee wasioiba Mali za umma, umasikini mkubwa kwa sisi wananchi unachombezwa na hao wezi uliowataja, TAKUKURU ingekuwa serious kushughulikia rushwa naamini serikali ingepata pesa nyingi mnooo!

Ila sasa TAKUKURU wapo busy kukimbizana na wanaoinanga CCM, nje ya hapo na wao wanalamba zao asali tu...
 
Back
Top Bottom